Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ushamba na umaskini ucharaza ujinga hapo kumbe unajifariji mwanao anasoma kajamba nani darasa linawatoto 90 usiteseke wazazi wakipeleka watoto wao shule nzuri malezi hayafundishwi shuleni malezi ni kazi ya wazazi shule watafundishwa kuchangamana na jamii. Umaskini wako usifanye kila unaloshindwa ww basi na wengine washindweGeneration Z au Zoomers ni kizazi cha waliozaliwa kuanzia mwaka 1997 hadi 2012. Umri wao ni kati ya miaka 9 hadi 24. Kizazi kitakachofuata baada ya Generation Z kitaitwa Generation Alpha (Generation Alpha and the generations that will come thereafter will be more worse than Generation Z).
Kizazi hiki "Generation Z" kiliandaliwa (kilikuwa programmed) miaka mingi iliyopita na kikundi cha watu wanao itawala dunia.
Moja kati ya sifa za watu wa kizazi Z ni pamoja na:
1. They are 100% ruled and controlled by the internet and social media in general (they are the truly "Digital natives" and netizens of this planet.
2. Their behaviours and life style in general are easily and heavily influenced by celebrities (they don't like to do what their parents are teaching them, they don't like to do what their teachers are telling them, they don't like to do what their imams and pastors are preaching to them, ut they love to do what their favourite celebrities are doing or saying or preaching )
3. They are lenient to homosexuality and Lgbt life style in general.
4. Lack of fear of God.
5. They make very poor and dangerous decisions which are detrimental to their own lives.
6. Low IQs and EQs.
7. Poor health.
8. They are okay with drinking liquors and smoking ( both cigarettes and marijuana)
9. They are okay with drugs ( cocaine etc)
10. Life expectancy ( 40-45 years)
Mzazi chagua mwenyewe.
1. Mpeleke mtoto wako shule ya kayumba ajifunze uhalisia wa maisha kwa kuanza kuwa responsible kuanzia akiwa darasa la kwanza kama vile kufanya usafi shuleni, kujichanganya na watoto wenzake wengi aanze kupata changamoto mapema, kuadhibiwa na walimu anapokosea, kwenda na kurudi shuleni kwa miguu nk, (bado haitamzuia na athari za Generation Z but mzazi hutopata hasara mara mbili 1. Kulipa.mamilioni na mtoto kuathiriwa na gen z).
Au
2. Mlipie mamilioni akae sehemu ambayo anafanyiwa kila kitu (anapewa chakula, anapelekwa shule na gari na kurudishwa na gari, darasani anakuwa spoon fed, etc but mwisho wa siku upate hasara mara mbili (kulipa mamilioni + mtoto kuharibikiwa).
Improve your reasoning ability.Bado tu hujamaliza hili mkuu, kwanini unaumia watu wakitumia hela zao na ambazo hujui wamezitafuta vipi??
Inatosha mwanao kusoma shule za kama so usi force tufanane. Mwisho wa yote hakuna atakae kuja kwako kuomba ada au hifazi siku mtoto akikwama
Una uwezo mdogo wa kufikiri, endelea kula samaki.Acha ushamba na umaskini ucharaza ujinga hapo kumbe unajifariji mwanao anasoma kajamba nani darasa linawatoto 90 usiteseke wazazi wakipeleka watoto wao shule nzuri malezi hayafundishwi shuleni malezi ni kazi ya wazazi shule watafundishwa kuchangamana na jamii. Umaskini wako usifanye kila unaloshindwa ww basi na wengine washindwe
😂😂generation Z amekomenti
Kiukweli jamani "Kila mtu na uwezo wake yaani mtu akiwa na pesa ni ngumu kusomesha mtoto wake saint kayumba hilo halipo kabisa",Hivyo cha muhimu nikuhakikisha malezi bora yanaanzia nyumbani na pia kufuatilia malezi ya shuleni kwa ukaribu ili kuokoa kizazi hiki kwa kweli for now it is very scary.Unatumia milioni 50 kumsomesha mtoto mpaka anamaliza chuo alafu akigraduate analipwa laki tatu. Huo si wehu huo?
Mkuu,Bado tu hujamaliza hili mkuu, kwanini unaumia watu wakitumia hela zao na ambazo hujui wamezitafuta vipi??
Inatosha mwanao kusoma shule za kama so usi force tufanane. Mwisho wa yote hakuna atakae kuja kwako kuomba ada au hifazi siku mtoto akikwama
Mbona ameongea kwa kunyoosha maelezo vema kabisa labda kama umemuelewa kwa mtazamo wako. Ameongea kuwa watoto waliozaliwa kuanzia mwakan1997 mazingira wanayokulia yanakuwa influenced sana na mitandaoni na yanawatoa katika uhalisia wa maisha yetu ya kiafrika na kitanzania.Bado tu hujamaliza hili mkuu, kwanini unaumia watu wakitumia hela zao na ambazo hujui wamezitafuta vipi??
Inatosha mwanao kusoma shule za kama so usi force tufanane. Mwisho wa yote hakuna atakae kuja kwako kuomba ada au hifazi siku mtoto akikwama
Na ndio wapo hivi wao kila kitu ni kupinga tu kama mazezeta.generation Z amekomenti