Kulipa mamilioni kusomesha 'Generation Z' ni kama kucheza kamari!

Mbona vitabu vinavyoandikwa na waafrica kwa mazingira ya ki-Africa vipo vingi sana? Sema tu unachukia vitabu.
 
Wewe ni Gen z.? , naona unajadili hayo mambo ya ma "celebrity"...!
ni watoto wetu na wadogo zetu hawa lazima tujue kuhusu changamoto zao. Hapo msisitizo upo kwenye hiyo age ya Paula wakati anamtongoza Konde. I can just imagine coz i have a 16 years old girl.
 
ni watoto wetu na wadogo zetu hawa lazima tujue kuhusu changamoto zao. Hapo msisitizo upo kwenye hiyo age ya Paula wakati anamtongoza Konde. I can just imagine coz i have a 16 years old girl.
Umezipata wapi hizo taarifa mkuu..?
Mtandaoni.?
 
Hii ndo maana halisi ya jamii forum as de homie of great thinkerz.umeshusha madini Safi Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…