Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
- Thread starter
-
- #41
Historia nzuri sana. Sikuyafahamu mengi.Lyc...
Naomba kusahihisha kidogo.
Abushiri bin Salim si mtu wa Tanga yeye kwao ni Zanzibar na aliishi Pangani baada ya kuondoka Zanzibar.
Unaweza kupata historia ya Abushiri hapo chini:
Abushiri hakuwa mtawalaHata wakina Mirambo waliuza watumwa ...hutakuja kuwaponda humu....
Una sababu zako kumchagua Abushiri ambae utawala wake hauna tofauti na Mirambo na Mangi sina na Mangi Meli....
Kumbe alikuja Tanga kunyonya wenyeji na biashara yake ya kuuzwa wazawaLyc...
Naomba kusahihisha kidogo.
Abushiri bin Salim si mtu wa Tanga yeye kwao ni Zanzibar na aliishi Pangani baada ya kuondoka Zanzibar.
Unaweza kupata historia ya Abushiri hapo chini:
Kwa kuwa ni Muislam au siyo?Shuleni tulifundishwa habari ya Abushiri wa Tanga kupigana na wakoloni wa kijerumani. Alitajwa kama shujaa mpigania uhuru kumbe hamna lolote. Kumbe jamaa alikuwa anamiliki mashamba makubwa na watumwa. Kifupi alikuwa anapigania nafasi ya kuendelea kukandamiza wengine. Hakuwa na maana kabisa.
View attachment 2644629
Kinyungu,Kumbe alikuja Tanga kunyonya wenyeji na biashara yake ya kuuzwa wazawa
Sawasawa, elimu haijaleta ukombozi Afrika..Achana na huyo mpigania Uhuru, soma historia ya Chief Mangungo aliyeonekana ameingia Mkataba wa Kitapeli na Carl Peters kutokana na Kukosa Elimu na Exposure.
Siku hizi Watawala wetu wamesoma hadi Elimu za Masters au PhD lakini Mikataba wanayosainishana ni zaidi ya ile ya Chifu Mangungo 🙌
SawasawaUna library ya vitabu vya History hapo nyumbani kwako?
Vitabu vingi vya Kiada vya miaka hii vimeondolewa Mada nyingi sana tofauti na Vitabu tulivyotumia miaka yetu
Kwanza ufahamu mkuu Utumwa ulikua ni Mfumo kama mifumo mingine Ubepari, Jamaa Feudal etc.Bushiri, Mkwawa, Mirambo wote walikuwa watemi na walikuwa wakifanya biashara na waarabu ya kuuza watumwa na pembe za ndovu, dhahabu n.k
Hata watawala maarufu wa Afrika Magharibi kama akina Mansa Musa walikuwa wakiuza watumwa kwa Waarabu na wazungu
Ila haya yanafichwa
Hujui unachokiongea, UtumwaKwanza ufahamu mkuu Utumwa ulikua ni Mfumo kama mifumo mingine Ubepari, Jamaa Feudal etc.
Utumwa ulifanywa na watu wote Na kulikua na njia maalum za kuwapata.
Zamani Hakukua na Jela prisoners of wars waliuzwa kama watumwa, wenye madeni sugu waliuzwa etc, na ulikua pia unaweza nunua Uhuru wako, Pia watumwa hawakuwa treated vibaya kama historia inavyopotoshwa, watumwa wengi hasa toka Africa walitumika kama war Mercenaries na walipata vyeo vikubwa tu.
So ulikua ni Mfumo wa maisha kama mifumo mingine kulikua na watu weusi wanamiliki watumwa wa kiarabu, warabu wenye watumwa wazungu etc.
Historia ya Utumwa ilikuja Kubadilika baada ya Kugunduliwa America na kuwa target watu weusi hapo ndio ilikua kamata Kamata na watu kuonewa.
Kwa akili zetu fupi unatumia time line ya sasa kuwa Judge ila kwa wakati wao walikua ni Mashujaa na waliwatendea haki wanaowaongoza kwa kupigana hadi kufa,
Watawala wa Ki Zamani walikua makatili kwa Makabila ya Nje ila makabila yao walikua mstari wa Mbele kuyapigania.
Unafikiria Mkwawa, Bushiri, Kinjikitile na wengine walishindwa kuchukua 10% toka kwa Wakoloni na kuuza Makabila yao? Waliweza kufanya hivyo ila wakaamua bora kufa kuliko kusaliti watu wao. Kitu hichi hukipati popote sasa hivi nchi hii.
wazigua wakamsnitch wakampeleka kwa wajeru, wajeru wakammalizaShuleni tulifundishwa habari ya Abushiri wa Tanga kupigana na wakoloni wa kijerumani. Alitajwa kama shujaa mpigania uhuru kumbe hamna lolote. Kumbe jamaa alikuwa anamiliki mashamba makubwa na watumwa. Kifupi alikuwa anapigania nafasi ya kuendelea kukandamiza wengine. Hakuwa na maana kabisa.
View attachment 2644629
Alikuwa mfanyabiashara mwenye ukwasi enzi hizo isitoshe upinzani wake ndio ulikuwa wa kwanza dhidi ya wajerumani ?, .....ni mmoja wa mashujaa wa Tanganyika waliopinga ukoloni wa Kijerumani.Shuleni tulifundishwa habari ya Abushiri wa Tanga kupigana na wakoloni wa kijerumani. Alitajwa kama shujaa mpigania uhuru kumbe hamna lolote. Kumbe jamaa alikuwa anamiliki mashamba makubwa na watumwa. Kifupi alikuwa anapigania nafasi ya kuendelea kukandamiza wengine. Hakuwa na maana kabisa.
View attachment 2644629
Kabisa.Haya tunaitaga mapinduzi na kugombea uhuru mara nyingi huwa ni kubadili shetani mmoja kuleta mwingine. Tunatafuta tu shetani mwenya afadhaliHata wapigania Uhuru walipigania maslai Yao binafsi na Sio maslai ya waafrika wote,waliwatumia waafrika Kama hadaa tu ili kupata sapoti ya Uhuru,baada ya kupata wakageuka miungu watu wakifanya yaleyale aliyoyafanya mkoloni kwa mwafrika ikiwemo kujimilikisha utajiri wao na familia zao hadi kesho.
Huku wakiwacha mamilioni ya waafrika wakitopea kwenye lindi la umasikini mkubwa kuliko hata enzi ya mkoloni.
Huyo atakuwa karogwa na utaahira wq dini ya kifedhuli za kiarabu na kizunguHujui unachokiongea, Utumwa
ulikuwa ni unyama, binadamu alifanywa kama punda
Mtu anatolewa ujiji kigoma mpaka Pwani kwa miguu wakiwa wamefungwa mikono na shingoni kwa miti wengi walifia njiani
Vijiji vilikuwa vinavamiwa na nyumba kuchomwa moto wakati wa kukamata watumwa
Watumwa wengi walifia baharini kwa kuuawa na Waarabu au magonjwa
Wengi pia walifia shambani kutokana na kazi za shurba
Kumuuza binadamu mwenzako kama mtumwa hata kama sio wa kabila lako ni unyama wa hali ya juu, sijui ni akili gani unatumia kuhalalisha huo ujinga
Ndiyo maana juzi kati nilisema ukabila siyo kitu kibaya. Mtu hupigania kabila lake kufa kupona na si rahisi kuliuza. Ila nchi yenye makabila mengi simple tu.Kwanza ufahamu mkuu Utumwa ulikua ni Mfumo kama mifumo mingine Ubepari, Jamaa Feudal etc.
Utumwa ulifanywa na watu wote Na kulikua na njia maalum za kuwapata.
Zamani Hakukua na Jela prisoners of wars waliuzwa kama watumwa, wenye madeni sugu waliuzwa etc, na ulikua pia unaweza nunua Uhuru wako, Pia watumwa hawakuwa treated vibaya kama historia inavyopotoshwa, watumwa wengi hasa toka Africa walitumika kama war Mercenaries na walipata vyeo vikubwa tu.
So ulikua ni Mfumo wa maisha kama mifumo mingine kulikua na watu weusi wanamiliki watumwa wa kiarabu, warabu wenye watumwa wazungu etc.
Historia ya Utumwa ilikuja Kubadilika baada ya Kugunduliwa America na kuwa target watu weusi hapo ndio ilikua kamata Kamata na watu kuonewa.
Kwa akili zetu fupi unatumia time line ya sasa kuwa Judge ila kwa wakati wao walikua ni Mashujaa na waliwatendea haki wanaowaongoza kwa kupigana hadi kufa,
Watawala wa Ki Zamani walikua makatili kwa Makabila ya Nje ila makabila yao walikua mstari wa Mbele kuyapigania.
Unafikiria Mkwawa, Bushiri, Kinjikitile na wengine walishindwa kuchukua 10% toka kwa Wakoloni na kuuza Makabila yao? Waliweza kufanya hivyo ila wakaamua bora kufa kuliko kusaliti watu wao. Kitu hichi hukipati popote sasa hivi nchi hii.
Waziguawakinga wakamsnitch wakampeleka kwa wajeru, wajeru wakammaliza
Inaonekana alikuwa anapigania previleges zake tu. Kumiliki watumwa, monopoly ya biashara nk nk. Yeye na wakoloni wa kijerumani hawana tofauti. mapinduzi na resistance nyingi huendeshwa na watu wanaotaka nafasi ya kunyonya.Alikuwa mfanyabiashara mwenye ukwasi enzi hizo isitoshe upinzani wake ndio ulikuwa wa kwanza dhidi ya wajerumani ?, .....ni mmoja wa mashujaa wa Tanganyika waliopinga ukoloni wa Kijerumani.
FaizaFoxy Mohamed Said