Kumbe Adamu alikuwa na mke zaidi ya Hawa?

Kumbe Adamu alikuwa na mke zaidi ya Hawa?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Wakuu hii ni kwa mujibu wa nguli wa mambo ya imani mzee wa upako.

Anasema huyo mama yetu aliumbwa sambamba na Adamu

Jina lake aliitwa Lilith

Baadaye alizinguana na Adamu akasepa zake kwenda kuanzisha life yake solo nje ya bustani ya Eden.

Ndio ikabidi aumbwe Hawa kutoka ubavu wa Adamu

Sasa najiuliza mbona huku kitaa hatuambiwi habari hizi kwa uwazi na ukubwa wake kwanini habari hizi zinafichwafichwa kama bangi? shida nini hasa?

Na kwa wajuvi mtujuze huyu mama yetu wa mwanzo Lilith aliishia/alienda wapi?

Kumbe haya mambo ya watu kuzinguana yalianza toka dunia inaanza?

Screenshot_20240723-175129_YouTube.jpg
 
huyo lilith wanasema alikuwa hakamatiki akiambiwa na adam osha vyombo,adam akawa anakula kichapo anaosha yeye! adam alipochoka akaenda kulialia kwa Mungu ndo akaletewa eva!.. sasa eva nae akaona adam kazubaa sana ndo akala tunda kumchangamsha! yani kiufupi adam alikuwa zwazwa!
 
huyo lilith wanasema alikuwa hakamatiki akiambiwa na adam osha vyombo,adam akawa anakula kichapo anaosha yeye! adam alipochoka akaenda kulialia kwa Mungu ndo akaletewa eva!.. sasa eva nae akaona adam kazubaa sana ndo akala tunda kumchangamsha! yani kiufupi adam alikuwa zwazwa!
Lily alikuwa Mtovu wa Nidhamu haswaa,,Mamii yake
 
Wakuu hii ni kwa mujibu wa nguli wa mambo ya imani mzee wa upako.

Anasema huyo mama yetu aliumbwa sambamba na Adamu

Jina lake aliitwa Lilith

Baadaye alizinguana na Adamu akasepa zake kwenda kuanzisha life yake solo nje ya bustani ya Eden.

Ndio ikabidi aumbwe Hawa kutoka ubavu wa Adamu

Sasa najiuliza mbona huku kitaa hatuambiwi habari hizi kwa uwazi na ukubwa wake kwanini habari hizi zinafichwafichwa kama bangi? shida nini hasa?

Na kwa wajuvi mtujuze huyu mama yetu wa mwanzo Lilith aliishia/alienda wapi?

Kumbe haya mambo ya watu kuzinguana yalianza toka dunia inaanza?
Hapo Mzee wa Upako alikuwa ameshapiga mizinga mingapi ya Konyagi?
 
Wakuu hii ni kwa mujibu wa nguli wa mambo ya imani mzee wa upako.

Anasema huyo mama yetu aliumbwa sambamba na Adamu

Jina lake aliitwa Lilith

Baadaye alizinguana na Adamu akasepa zake kwenda kuanzisha life yake solo nje ya bustani ya Eden.

Ndio ikabidi aumbwe Hawa kutoka ubavu wa Adamu

Sasa najiuliza mbona huku kitaa hatuambiwi habari hizi kwa uwazi na ukubwa wake kwanini habari hizi zinafichwafichwa kama bangi? shida nini hasa?

Na kwa wajuvi mtujuze huyu mama yetu wa mwanzo Lilith aliishia/alienda wapi?

Kumbe haya mambo ya watu kuzinguana yalianza toka dunia inaanza?
Labda tutajuaje kama kipindi hicho Mzee wa upako alikuwepo?
 
huyo lilith wanasema alikuwa hakamatiki akiambiwa na adam osha vyombo,adam akawa anakula kichapo anaosha yeye! adam alipochoka akaenda kulialia kwa Mungu ndo akaletewa eva!.. sasa eva nae akaona adam kazubaa sana ndo akala tunda kumchangamsha! yani kiufupi adam alikuwa zwazwa!
duu we umeuwa kabisa zwazwa tena[emoji1787]
 
Back
Top Bottom