Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
soma biblia kwa kutulia, soma mwanzo 1 na mwanzo 2 kwa utulivu kabisa na tafakuri ya kina utamwelewa mzee wa upako.Aisee Mzee wa Upako amekuwa mlopokaji ni balaa! Atupe vitabu tusome anachosema.
soma biblia mwanzo 1 na mwanzo 2 kwa utulivu kabisa utamwelewa mzee wa upako.Kama kazungumza huyo jamaa aliyepo kwenye picha.
Usimwamini sana maana keshachanganyikiwa huyo.
mzee wa upako yupo sahihi kabisa according to holy bible.Wakuu hii ni kwa mujibu wa nguli wa mambo ya imani mzee wa upako.
Anasema huyo mama yetu aliumbwa sambamba na Adamu
Jina lake aliitwa Lilith
Baadaye alizinguana na Adamu akasepa zake kwenda kuanzisha life yake solo nje ya bustani ya Eden.
Ndio ikabidi aumbwe Hawa kutoka ubavu wa Adamu
Sasa najiuliza mbona huku kitaa hatuambiwi habari hizi kwa uwazi na ukubwa wake kwanini habari hizi zinafichwafichwa kama bangi? shida nini hasa?
Na kwa wajuvi mtujuze huyu mama yetu wa mwanzo Lilith aliishia/alienda wapi?
Kumbe haya mambo ya watu kuzinguana yalianza toka dunia inaanza?
View attachment 3050156
Kamba tu hizo.soma biblia mwanzo 1 na mwanzo 2 kwa utulivu kabisa utamwelewa mzee wa upako.
Mwanzo 1:27-28Kamba tu hizo.
Acheni upotoshaji. Huyo Mzee wa upako siku zake zimefika ndio maana anaropoka tu. Mara Yesu sio Mungu, mara Biblia sio neno la Mungu, mara make wa kwanza wa Adam hakuwa Hawa, endeleeni kupotoshwa.mzee wa upako yupo sahihi kabisa according to holy bible.
Wewe ndio u some kwa kutulia. Acheni kupotosha maandiko.soma biblia kwa kutulia, soma mwanzo 1 na mwanzo 2 kwa utulivu kabisa na tafakuri ya kina utamwelewa mzee wa upako.
Ukisoma biblia kama kasuku unaweza changanyikiwa.Mwanzo 1:27-28
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
Kwanini mabinti au hakupata uzao wa kiume??Ngoja mabinti wa Lilith waje watuambie...
Alipata wa mabinti tu.Kwanini mabinti au hakupata uzao wa kiume??
kwa hyo mke wa kwanza wa adam ni hawa?Acheni upotoshaji. Huyo Mzee wa upako siku zake zimefika ndio maana anaropoka tu. Mara Yesu sio Mungu, mara Biblia sio neno la Mungu, mara make wa kwanza wa Adam hakuwa Hawa, endeleeni kupotoshwa.
kama biblia mwanzo 1 inasema Mungu alimuumba mwanadamu, mwanaume na mwanamke waliumbwa, mwanzo 2 inasema mwanamke alitoka ubavuni mwa mwanaume, na baada ya adam kukabidhiwa demu wake anashukuru na kusema "huyu sasa........." kama hakuwepo mwingine mwanzo kwa nn aseme huyu sasa.Wewe ndio u some kwa kutulia. Acheni kupotosha maandiko.
mwambie asome na mwanzo 2Mwanzo 1:27-28
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
kwa hyo biblia iliandikwa kwa ajili ya wanatheolojia wenye phd siyo?Ukisoma biblia kama kasuku unaweza changanyikiwa.
Ndio maana makanisa yanayojitambua yanafundisha theology na kuna mpaka PHd.
Soma Biblia in a literal way na sio strict interpretation.
Hio Habari ipo kitambo kabla ya upakoKama kazungumza huyo jamaa aliyepo kwenye picha.
Usimwamini sana maana keshachanganyikiwa huyo.