Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Mzee wa upako lazima alikuwa konyagi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haahaa kwann unasema ivoMzee wa upako lazima alikuwa konyagi sana.
duuh adi vpn tena?Tumia VPN na U.K. IP hiyo ni online TV intended for their audience and a laptop kwenye simu pia kufunguka ni shida.
Ni online TV kama kwako aifunguki maana ni restricted nje ya nchi husika.duuh adi vpn tena?
6Hapo Mzee wa Upako alikuwa ameshapiga mizinga mingapi ya Konyagi?
🤣🤣🤣🤣🤣🙌huyo lilith wanasema alikuwa hakamatiki akiambiwa na adam osha vyombo,adam akawa anakula kichapo anaosha yeye! adam alipochoka akaenda kulialia kwa Mungu ndo akaletewa eva!.. sasa eva nae akaona adam kazubaa sana ndo akala tunda kumchangamsha! yani kiufupi adam alikuwa zwazwa!
Hawa =nafsi ya pili umoja inamaana wako wengi ndio wakawa hawaWakuu hii ni kwa mujibu wa nguli wa mambo ya imani mzee wa upako.
Anasema huyo mama yetu aliumbwa sambamba na Adamu
Jina lake aliitwa Lilith
Baadaye alizinguana na Adamu akasepa zake kwenda kuanzisha life yake solo nje ya bustani ya Eden.
Ndio ikabidi aumbwe Hawa kutoka ubavu wa Adamu
Sasa najiuliza mbona huku kitaa hatuambiwi habari hizi kwa uwazi na ukubwa wake kwanini habari hizi zinafichwafichwa kama bangi? shida nini hasa?
Na kwa wajuvi mtujuze huyu mama yetu wa mwanzo Lilith aliishia/alienda wapi?
Kumbe haya mambo ya watu kuzinguana yalianza toka dunia inaanza?
View attachment 3050156
anhaa kumbe sikuhizi unaeza kumwangalia mtu usoni ukajua kala monde ngapi
Hadithi za Waislamu? Mtakula sana matango porihuyo lilith wanasema alikuwa hakamatiki akiambiwa na adam osha vyombo,adam akawa anakula kichapo anaosha yeye! adam alipochoka akaenda kulialia kwa Mungu ndo akaletewa eva!.. sasa eva nae akaona adam kazubaa sana ndo akala tunda kumchangamsha! yani kiufupi adam alikuwa zwazwa!
Huyo ni chapombeHaahaa kwann unasema ivo
Na Eva?Hawa =nafsi ya pili umoja inamaana wako wengi ndio wakawa hawa
kwan pombe ina shida gani?Huyo ni chapombe
Ila jamni 😃😃alikuwa mgomvi mno kuna siku alimng'ata adam kwenye komwe! yani yule demu alikuwa kama anawazimu!
vipi haujapenda..??Ila jamni 😃😃
Nimependavipi haujapenda..??
Ndio Maana lily kaniacha Kumbe alimuacha hadi Mshua ADAMLily alikuwa Mtovu wa Nidhamu haswaa,,Mamii yake
Haahaaa [emoji1787]Ndio Maana lily kaniacha Kumbe alimuacha hadi Mshua ADAM