Kumbe Adamu alikuwa na mke zaidi ya Hawa?

Kumbe Adamu alikuwa na mke zaidi ya Hawa?

Adam. Ni mshua wetu, na Hawa ndio Mother wetu sasa huko alikopita pita mshua huwa hatuambiwi.
 
Lily alikuwa Mtovu wa Nidhamu haswaa,,Mamii yake
daah mambo ya dini bana

sasa apa nani alishuhudia haya yote maana wote sisi hatukuwepo hata walioandika ivo vitabu hawakuwepo
 
Soma vizuri Biblia uumbaji umeandikwa mara mbili
1.
Mwanzo 1:27
[27]Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
So God created man in his own image, in the image of God created he him; male and female created he them.

2.
Mwanzo 2:7
[7]BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
And the LORD God formed man of the dust of the ground, and breathed into his nostrils the breath of life; and man became a living soul.

Hapo Mungu aliumba watu wawili yaani mwanaume na mwanamke waliumbwa kama ambavyo viumbe vingine vilipoumbwa viwili viwili tunapata kuona bila shaka Adam na Lilith waliumbwa siku hiyo na inasemekana walikuwa na maumbo ya kufanana mwanamke alikuwa na misuli kama mwanaume walitofautiana kwa jinsia tu.

Lilith inasemekana alikuwa mjeuri na kiburi na hakutaka kuwa chini ya Adam akaamua kusepa bustanini na kwenda kuishi na malaika Samaeli kama kimada wake.

Ndipo Adam akawa mnyonge na hata Mungu alipojaribu kumfariji kwa kumletea wanyama mbalimbali lakini hakuwa na furaha ndipo Mungu alipoamua kumpa usingizi na kuumbia mwanamke.

Mwanzo 2:21-23

[21]BWANA Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake,
And the LORD God caused a deep sleep to fall upon Adam, and he slept: and he took one of his ribs, and closed up the flesh instead thereof;

[22]na ule ubavu alioutwaa katika Adamu BWANA Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.
And the rib, which the LORD God had taken from man, made he a woman, and brought her unto the man.

[23]Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.
And Adam said, This is now bone of my bones, and flesh of my flesh: she shall be called Woman, because she was taken out of Man.

Uwepo wa neno 'sasa huyu' (mwanzo 2:23) inathibitisha kuwa kulikuwapo na mwingine kabla ya huyo.
 
Soma vizuri Biblia uumbaji umeandikwa mara mbili
1.
Mwanzo 1:27
[27]Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
So God created man in his own image, in the image of God created he him; male and female created he them.

2.
Mwanzo 2:7
[7]BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
And the LORD God formed man of the dust of the ground, and breathed into his nostrils the breath of life; and man became a living soul.

Hapo Mungu aliumba watu wawili yaani mwanaume na mwanamke waliumbwa kama ambavyo viumbe vingine vilipoumbwa viwili viwili tunapata kuona bila shaka Adam na Lilith waliumbwa siku hiyo na inasemekana walikuwa na maumbo ya kufanana mwanamke alikuwa na misuli kama mwanaume walitofautiana kwa jinsia tu.

Lilith inasemekana alikuwa mjeuri na kiburi na hakutaka kuwa chini ya Adam akaamua kusepa bustanini na kwenda kuishi na malaika Samaeli kama kimada wake.

Ndipo Adam akawa mnyonge na hata Mungu alipojaribu kumfariji kwa kumletea wanyama mbalimbali lakini hakuwa na furaha ndipo Mungu alipoamua kumpa usingizi na kuumbia mwanamke.

Mwanzo 2:21-23

[21]BWANA Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake,
And the LORD God caused a deep sleep to fall upon Adam, and he slept: and he took one of his ribs, and closed up the flesh instead thereof;

[22]na ule ubavu alioutwaa katika Adamu BWANA Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.
And the rib, which the LORD God had taken from man, made he a woman, and brought her unto the man.

[23]Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.
And Adam said, This is now bone of my bones, and flesh of my flesh: she shall be called Woman, because she was taken out of Man.

Uwepo wa neno 'sasa huyu' (mwanzo 2:23) inathibitisha kuwa kulikuwapo na mwingine kabla ya huyo.
Lengo ni nini hasa kuandika hii mkuu?
 
Back
Top Bottom