Kumbe Adamu alikuwa na mke zaidi ya Hawa?

Kumbe Adamu alikuwa na mke zaidi ya Hawa?

Si kila Habari waambiwe watu wote only wanaofika level za juu tu za ujuzi na maarifa ili kuibalance dunia.
Hata hii Biblia ni Roman Catholic ndio walioamua kipi upewe wewe wa chini thus vitabu vingine vyenye siri mbali mbali vimefichwa maktaba za Vatican utakiwi wewe masikini kuzijua.
Unajua kitabu cha Enoko,unajua kuhusu miaka 18 ya Yesu iliyopotea kwann waliitoa wakakuachia only injili,
Kuna zaidi ya vitabu 300 havipo kwenye Biblia waliona yaliyomo ndio yanafaa vitabu vyote vingewekwa kwenye Biblia isingetosha na isingebebeka.
Miaka 18 kivipi wakati Yesu alianza huduma yake akiwa na miaka 30 na huduma yake ilikuwa ni miaka mitatu tu.

Yesu alisurubiwa, kufa na kufufuka na kupaa mbinguni akiwa na miaka 33 tu.
 
Hivi huwa mnakua na maana gani mnaposema maandiko hayo yamefichwa fichwa.

Ni sawa na useme katiba ya nchi imefichwa fichwa. Ipo ila kwamba watu hawataki kuisoma ipo tu pale.

Wenye uhitaji nayo wanaisoma wasio na uhitaji nayo wanakausha.
Ndivyo yalivyo hayo maandiko, kama ni mpenda maarifa utayakuta tu, ila kama wewe ni mzee wa tiktok basi usubiri mpaka mzee wa upako akusanue wakati hapa jf hizo nyuzi ziko karibu 100+ kuhusu hilo.

Na mbaya zaidi, kama sio mpenzi wa kusoma na kupembua mambo utaishia pabaya kwa kuamini visivyopaswa kuaminika.
 
Hivi huwa mnakua na maana gani mnaposema maandiko hayo yamefichwa fichwa.

Ni sawa na useme katiba ya nchi imefichwa fichwa. Ipo ila kwamba watu hawataki kuisoma ipo tu pale.

Wenye uhitaji nayo wanaisoma wasio na uhitaji nayo wanakausha.
Ndivyo yalivyo hayo maandiko, kama ni mpenda maarifa utayakuta tu, ila kama wewe ni mzee wa tiktok basi usubiri mpaka mzee wa upako akusanue wakati hapa jf hizo nyuzi ziko karibu 100+ kuhusu hilo.

Na mbaya zaidi, kama sio mpenzi wa kusoma na kupembua mambo utaishia pabaya kwa kuamini visivyopaswa kuaminika.
Kuna Apocrypha books, hivyo vitabu ni kweli vimefichwa havijawekwa wazi kwa waumini wote.

Mfano book of Enock unaweza kukikuta hicho kitabu kwenye Biblia ya Waethiopia na Orthodox.
 
18 ya kabla ya huduma.
18 kabla ya huduma haina umuhimu, waislamu ndio sababu wameandika Vitabu vya Sunna hadithi na Sila kwa sababu kwenye Quran hakuna Biography ya Mtume Muhammad.

Hata hiyo injiri hajaandika Yesu, ni waandishi ndio wameandika mfano Luka alikutana physical na watu ambao walikuwa na Yesu na kuwahoji.

Halafu usisahau kuna miaka 600 ya ukimya hakukuwa na maandiko yoyote.
 
18 kabla ya huduma haina umuhimu, waislamu ndio sababu wameandika Vitabu vya Sunna hadithi na Sila kwa sababu kwenye Quran hakuna Biography ya Mtume Muhammad.

Hata hiyo injiri hajaandika Yesu, ni waandishi ndio wameandika mfano Luka alikutana physical na watu ambao walikuwa na Yesu na kuwahoji.

Halafu usisahau kuna miaka 600 ya ukimya hakukuwa na maandiko yoyote.
Yapo maandiko mengi tu hawajayaweka.
Kumbuka Roman Katoliki ndio walioutunza Ukristo hadi sasa kabla ya ujio wa haya makanisa ya miujiza yaliyotokea Marekani
 
Kama unashindwa kunielewa mimi Biblia utaiweza kweli.
achen uzwazwa biblia ni kitabu kama vitabu vingine tu, haya maujinga ya kusema et sijui usisome biblia kama gazet, sijui unahitaji upako ili uelewe biblia, sijui unahitaj ufunuo, sijui unahitaj roho mtakatifu, sijui unahitaj keki na maji ya upako, sijui hiki sijui kile ni ujuha mtupu.

Watu tumesoma quantum chemistry tukaelewa tusindwe kuielewa bible?
 
Tatizo linaanza na kuamini bible ni neno la mungu. Hapo ndo tatizo limeanza. Genesis mule Kuna madudu kibao hayajulikani mwandishi nani yamewekwa tu kama story za abunuasi. Pale story ya Adam na Hawa Kuna story mbili moja ya male n female kuumbwa pamoja nyingine ya female kutoka kwenye mbavu... Watu wa dini watazuga hoo ya mbavu inaelezea mwanamke aliumbwaje cjui...nonsense.
Ni makosa ya kupachika pachika na kuplagiarize story za ancient middle eastern cultures na religion ndo yameleta haya matatizo na pastors hawawezi ongelea coz wanajua hamsomi bible hamuwezi gundua na ukigundua wanakuambia usisome kama gazeti... bullshit
 
Kuna Apocrypha books, hivyo vitabu ni kweli vimefichwa havijawekwa wazi kwa waumini wote.

Mfano book of Enock unaweza kukikuta hicho kitabu kwenye Biblia ya Waethiopia na Orthodox.
Mkuu kwa dunia hii ya utandawazi useme hivyo vitabu vimefichwa kweli??

Makanisani wanafundishana kile wanaamini ni sahihi, kuona kwamba hivyo vitabu sio sahihi na kutovifundisha haimaanishi wanavificha bali hawaviamini how comes wawafundishe kitu hata wao hawana imani nacho.
Ni kuwaonea kusema wanaficha ficha.
 
achen uzwazwa biblia ni kitabu kama vitabu vingine tu, haya maujinga ya kusema et sijui usisome biblia kama gazet, sijui unahitaji upako ili uelewe biblia, sijui unahitaj ufunuo, sijui unahitaj roho mtakatifu, sijui unahitaj keki na maji ya upako, sijui hiki sijui kile ni ujuha mtupu.

Watu tumesoma quantum chemistry tukaelewa tusindwe kuielewa bible?
Huna uwezo wa kuisoma Bible wewe unahitaji msaada.
 
Huna uwezo wa kuisoma Bible wewe unahitaji msaada.
ila sio msaada wa manabii wapigaj, hili suala la mke wa kwanza wa adamu wala sio mjadala tena, watu walishamalizana nalo kitambo. ni sawa uanzishe mada ya kuku na yai, watu watakushangaa tu
 
ila sio msaada wa manabii wapigaj, hili suala la mke wa kwanza wa adamu wala sio mjadala tena, watu walishamalizana nalo kitambo. ni sawa uanzishe mada ya kuku na yai, watu watakushangaa tu
Unayeshangaa ni wewe mwenye uelewa mdogo na hao wenzako.

Ila wenye akili zao hawajisumbui na mambo yaliyopo wazi kama hili kuwa Adam na Eve ndio binadamu wa kwanza kuumbwa.

Huyo mwingine ni mama yenu nyie watoto wa shetani.
 
Unayeshangaa ni wewe mwenye uelewa mdogo na hao wenzako.

Ila wenye akili zao hawajisumbui na mambo yaliyopo wazi kama hili kuwa Adam na Eve ndio binadamu wa kwanza kuumbwa.

Huyo mwingine ni mama yenu nyie watoto wa shetani.
sawa mkuu
 
Back
Top Bottom