bongodili tele
JF-Expert Member
- Jun 8, 2024
- 1,520
- 3,022
Lilith aligeuzwa kuwa samaki nguvu au malkia wa pwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Agenda za kishetani hizo.Hio Habari ipo kitambo kabla ya upako
Kama unashindwa kunielewa mimi Biblia utaiweza kweli.kwa hyo biblia iliandikwa kwa ajili ya wanatheolojia wenye phd siyo?
Hampendi kusikia nje ya kilee mlchokalilishwa na mitumeAisee Mzee wa Upako amekuwa mlopokaji ni balaa! Atupe vitabu tusome anachosema.
Sheria mkononiHata mimi nimefikiria hivi, maana hadi Mungu aseme si vema huyu kukaa peke yake itakuwa alimkuta anafanya nini?
Miaka 18 kivipi wakati Yesu alianza huduma yake akiwa na miaka 30 na huduma yake ilikuwa ni miaka mitatu tu.Si kila Habari waambiwe watu wote only wanaofika level za juu tu za ujuzi na maarifa ili kuibalance dunia.
Hata hii Biblia ni Roman Catholic ndio walioamua kipi upewe wewe wa chini thus vitabu vingine vyenye siri mbali mbali vimefichwa maktaba za Vatican utakiwi wewe masikini kuzijua.
Unajua kitabu cha Enoko,unajua kuhusu miaka 18 ya Yesu iliyopotea kwann waliitoa wakakuachia only injili,
Kuna zaidi ya vitabu 300 havipo kwenye Biblia waliona yaliyomo ndio yanafaa vitabu vyote vingewekwa kwenye Biblia isingetosha na isingebebeka.
Kuna Apocrypha books, hivyo vitabu ni kweli vimefichwa havijawekwa wazi kwa waumini wote.Hivi huwa mnakua na maana gani mnaposema maandiko hayo yamefichwa fichwa.
Ni sawa na useme katiba ya nchi imefichwa fichwa. Ipo ila kwamba watu hawataki kuisoma ipo tu pale.
Wenye uhitaji nayo wanaisoma wasio na uhitaji nayo wanakausha.
Ndivyo yalivyo hayo maandiko, kama ni mpenda maarifa utayakuta tu, ila kama wewe ni mzee wa tiktok basi usubiri mpaka mzee wa upako akusanue wakati hapa jf hizo nyuzi ziko karibu 100+ kuhusu hilo.
Na mbaya zaidi, kama sio mpenzi wa kusoma na kupembua mambo utaishia pabaya kwa kuamini visivyopaswa kuaminika.
18 ya kabla ya huduma.Miaka 18 kivipi wakati Yesu alianza huduma yake akiwa na miaka 30 na huduma yake ilikuwa ni miaka mitatu tu.
Yesu alisurubiwa, kufa na kufufuka na kupaa mbinguni akiwa na miaka 33 tu.
18 kabla ya huduma haina umuhimu, waislamu ndio sababu wameandika Vitabu vya Sunna hadithi na Sila kwa sababu kwenye Quran hakuna Biography ya Mtume Muhammad.18 ya kabla ya huduma.
Yapo maandiko mengi tu hawajayaweka.18 kabla ya huduma haina umuhimu, waislamu ndio sababu wameandika Vitabu vya Sunna hadithi na Sila kwa sababu kwenye Quran hakuna Biography ya Mtume Muhammad.
Hata hiyo injiri hajaandika Yesu, ni waandishi ndio wameandika mfano Luka alikutana physical na watu ambao walikuwa na Yesu na kuwahoji.
Halafu usisahau kuna miaka 600 ya ukimya hakukuwa na maandiko yoyote.
achen uzwazwa biblia ni kitabu kama vitabu vingine tu, haya maujinga ya kusema et sijui usisome biblia kama gazet, sijui unahitaji upako ili uelewe biblia, sijui unahitaj ufunuo, sijui unahitaj roho mtakatifu, sijui unahitaj keki na maji ya upako, sijui hiki sijui kile ni ujuha mtupu.Kama unashindwa kunielewa mimi Biblia utaiweza kweli.
Mkuu kwa dunia hii ya utandawazi useme hivyo vitabu vimefichwa kweli??Kuna Apocrypha books, hivyo vitabu ni kweli vimefichwa havijawekwa wazi kwa waumini wote.
Mfano book of Enock unaweza kukikuta hicho kitabu kwenye Biblia ya Waethiopia na Orthodox.
Huna uwezo wa kuisoma Bible wewe unahitaji msaada.achen uzwazwa biblia ni kitabu kama vitabu vingine tu, haya maujinga ya kusema et sijui usisome biblia kama gazet, sijui unahitaji upako ili uelewe biblia, sijui unahitaj ufunuo, sijui unahitaj roho mtakatifu, sijui unahitaj keki na maji ya upako, sijui hiki sijui kile ni ujuha mtupu.
Watu tumesoma quantum chemistry tukaelewa tusindwe kuielewa bible?
ila sio msaada wa manabii wapigaj, hili suala la mke wa kwanza wa adamu wala sio mjadala tena, watu walishamalizana nalo kitambo. ni sawa uanzishe mada ya kuku na yai, watu watakushangaa tuHuna uwezo wa kuisoma Bible wewe unahitaji msaada.
Unayeshangaa ni wewe mwenye uelewa mdogo na hao wenzako.ila sio msaada wa manabii wapigaj, hili suala la mke wa kwanza wa adamu wala sio mjadala tena, watu walishamalizana nalo kitambo. ni sawa uanzishe mada ya kuku na yai, watu watakushangaa tu
sawa mkuuUnayeshangaa ni wewe mwenye uelewa mdogo na hao wenzako.
Ila wenye akili zao hawajisumbui na mambo yaliyopo wazi kama hili kuwa Adam na Eve ndio binadamu wa kwanza kuumbwa.
Huyo mwingine ni mama yenu nyie watoto wa shetani.