Kumbe Ali Kiba aliomba msaada kwa Wema kumkabili Diamond! Wema atoboa

Kumbe Ali Kiba aliomba msaada kwa Wema kumkabili Diamond! Wema atoboa

Eti baba lao!!halafu FA na AY,PROFESA J na JIDE wasemeje???!hatulazimishi lifestyle ya kiba iwe vipi ila tunataka Muache kuudanganya umma na kulazimisha diamond asikubalike!

Sisi wote humu ndani tulikuwa fans wa KIBA!Wakati huo Diamond hatumjui!kiba mwenyewe kwa matakwa yake alikaa chini kwa muda mrefu!!akaibuka na collabo za kuwatoa Underground kina PRINCE SESEME,Na kumwinua mdogo wake ABDU,ALLY akapotea kwa mapenzi yake huku watu wakimuhitaji!!

Narudia tena kusema mziki ni wakati!!wakati wako ukishapita umepita!usikatae kwamba eti Ally hajaporomoka kimuziki unakosea!

Kutoka kufanya collabo ya kidunia ya ONE8 na Kina R-KELLY Mpaka leo hii kuomba Wema amuombee kura ili ashinde!!hili ni ANGUKO la aibu!!!

Kula like mkuu,umeongee nadhan wamekosoma.Waache kulazimisha mambo.
 
View attachment 254861
Yeye anadili na ma X wa Diamond tu.

UNAJUA VEMA kabisa yeye kama KIBA hamuwezi diamond baada ya kujitutumua na kauli yake ya kurudi kufuta vumbi na akabuma ameamua kuapply plan B, angalau eeehuuuuu plan B imemuwezesha kupata tuzo. sasa mnaobisha kuwa kiba hapa alipofika ni kwa kutumia mgongo wa diamond kama kupe ni nani?????? eti king king kabwela au??? oooh diamond anatumia kick za wanawake, kiba mbona nae kapita mule muleee??? tena wanawake wale waleeeeee???? aibuuuuuuuuuuuu aibu yenuuuuuu. kiba tumia wanawake wakoooo wakupaishe acha kutumia maX wa KIBOKO YAKO utaaaibikaaaaa, au kwa vile ulizaa na mahausigelooooo hihihihihihihihiiiiii!!!!! am so happy kuona u just cant breath bila diamond, ungekuwa umeipata hii tuzo kwa bidii yako mwenyewe na kwa suport ya team yako ningeshtuka BUT kwa vile ninauhakika umeipata kwa hisani ya mgongo wa RAIS tupa kuleeeeeeeeeeeee
 
UNAJUA VEMA kabisa yeye kama KIBA hamuwezi diamond baada ya kujitutumua na kauli yake ya kurudi kufuta vumbi na akabuma ameamua kuapply plan B, angalau eeehuuuuu plan B imemuwezesha kupata tuzo. sasa mnaobisha kuwa kiba hapa alipofika ni kwa kutumia mgongo wa diamond kama kupe ni nani?????? eti king king kabwela au??? oooh diamond anatumia kick za wanawake, kiba mbona nae kapita mule muleee??? tena wanawake wale waleeeeee???? aibuuuuuuuuuuuu aibu yenuuuuuu. kiba tumia wanawake wakoooo wakupaishe acha kutumia maX wa KIBOKO YAKO utaaaibikaaaaa, au kwa vile ulizaa na mahausigelooooo hihihihihihihihiiiiii!!!!! am so happy kuona u just cant breath bila diamond, ungekuwa umeipata hii tuzo kwa bidii yako mwenyewe na kwa suport ya team yako ningeshtuka BUT kwa vile ninauhakika umeipata kwa hisani ya mgongo wa RAIS tupa kuleeeeeeeeeeeee

Nakwambia wataendelea kupiga kelele weee!sie tunakula buffee tu kwa raha zetu!wanatuletea shida zao mpauko sie zinatuhusu!

Wema amejua kunikomeshea watu wallah!!
 
mwanaume mzima full kuhaha na wanawake wa wenzako, si ndio nyie team kiba nyie mlikuwa full kumponda dai eti bila kick za wanawake hawiki???? mmejisahalisha au???? hivi lakini kwanini kiba kakosa aibu kiasi hiki???? muone sura yake ilivyokosa haya, maselfie na maX wawezake,umeshamuona diamond akihangaika na wale wanawake zako uliozalisha kila mtaaa???? (leo mtakaochefukwa kufwa for me) kama nawaona akina fulani wanavyosunya kufweniii, leo nina mood na muda pia, kumbe inawaumaa diamond anavyowalambisha ndimu eee?? lazima muote magaga ya ulimi this time.
 
mwanaume mzima full kuhaha na wanawake wa wenzako, si ndio nyie team kiba nyie mlikuwa full kumponda dai eti bila kick za wanawake hawiki???? mmejisahalisha au???? hivi lakini kwanini kiba kakosa aibu kiasi hiki???? muone sura yake ilivyokosa haya, maselfie na maX wawezake,umeshamuona diamond akihangaika na wale wanawake zako uliozalisha kila mtaaa???? (leo mtakaochefukwa kufwa for me) kama nawaona akina fulani wanavyosunya kufweniii, leo nina mood na muda pia, kumbe inawaumaa diamond anavyowalambisha ndimu eee?? lazima muote magaga ya ulimi this time.

ahahahaaaaa!!wameishiwa hoja wamebaki kutukana tu
 
Tehe tehe teheeeee duu Kiba anapigiwa promo kinoma kila kona kiba watoto nao kiba weweeeeeeeeee
Team domo kibuyu mwaka huu mtakunya fenesi izo mimba za chuki tunazifanyia abortion..... hahahaaaaaaaaa Chezea maumivu ya kukosa tuzo weweeeeeee....
Lazma mtembee kama mna busha kwa ajili ya kipigo kiba anachowatembezeaa...
 
Nakwambia wataendelea kupiga kelele weee!sie tunakula buffee tu kwa raha zetu!wanatuletea shida zao mpauko sie zinatuhusu!

Wema amejua kunikomeshea watu wallah!!

hahahahhahahaaaa yani leo nimejua kucheka jamani, wema nae hana dogooo jamaniiii, pyeeeeee!!! sasa kumuanika mwenzake hadhani ndio nini??? ME SIJAPENDA yaani me nilijua tuuu wale team uchwara wa kiba kuchwa kutupigia kelele humu ndani jeuri ya kumpa tuzo kiba wao kama wao hawanaaaaaaaaaaaaaa!!!!, hivi kiba kwa kipi alichonachooo, kipi kinachomfanya apendwe kuliko diamond, kama umalaya nae malaya tuuuuuu, bora hata umalaya wa diamond anafanya umalaya with purpose in luluz voice, sasa huyu king kabwela umalaya wake haujamsaidia coz alikuwa anazalisha mahausigeloooooo huhuhuhuuuuuu, sasa ndio anakuja na mbinu zake za kijinga kujiweka kwa maX wa diamond kilazima ptuuuuuuuuu mara huyu nipostie picha zangu nipate tuzo, akatoka hapo akajipeleka kwa jokate njoo nijiselfie na wewe ili watu waniongelee, sio kwa strategies hizo za mkijinga kiba utamfikia diamond japo robo!! come with your own strategic plan dude, this an't a shit any more. aliyetangulia katangulia tuuu.
 
mwanaume mzima full kuhaha na wanawake wa wenzako, si ndio nyie team kiba nyie mlikuwa full kumponda dai eti bila kick za wanawake hawiki???? mmejisahalisha au???? hivi lakini kwanini kiba kakosa aibu kiasi hiki???? muone sura yake ilivyokosa haya, maselfie na maX wawezake,umeshamuona diamond akihangaika na wale wanawake zako uliozalisha kila mtaaa???? (leo mtakaochefukwa kufwa for me) kama nawaona akina fulani wanavyosunya kufweniii, leo nina mood na muda pia, kumbe inawaumaa diamond anavyowalambisha ndimu eee?? lazima muote magaga ya ulimi this time.

Ndimu ndimu wanahitaji hadi ziwakaushe
 
Kiba alishindwa kulala, tuzo hiyo iitwe ya Wema maana akitendewa wema kwa kuomba omba.

Sijui sasa hivi anamuomba omba nani chaketutwa yake ipate kideo

Ila uzi huu umenichekesha sana 😃😃😃😃😃😃😃😃
 
Hahahaaaa swaga nyingine bhanaaa.....
 

Attachments

  • 1432745585074.jpg
    1432745585074.jpg
    26.5 KB · Views: 102
Kiba kamzidi kila kitu domo...
Kiba anaimba kuliko domo..
Kiba kapata tuzo domo kakosa...
Kiba ana watoto domo ni mgumba
Heheheiyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mtaalam wa DNA
 
😃😃😃😃😃😃
 

Attachments

  • 1432746212569.jpg
    1432746212569.jpg
    17.9 KB · Views: 106
  • 1432746230948.jpg
    1432746230948.jpg
    46.5 KB · Views: 101
  • 1432746241218.jpg
    1432746241218.jpg
    52.9 KB · Views: 93
Kiba alishindwa kulala, tuzo hiyo iitwe ya Wema maana akitendewa wema kwa kuomba omba.

Sijui sasa hivi anamuomba omba nani chaketutwa yake ipate kideo

Ila uzi huu umenichekesha sana 😃😃😃😃😃😃😃😃

umenena point kabisa, tuzo aliyopokea kiba alipaswa kuipokea wema, manake kazi waliifanya team wema bwana, hawa team kiba zao kelele tuu, boss wa team matusi alipowaambia wafuasi wake hayaaaaaa aaaamriiii moja kushotooooo geukaaaaaaa, piga kura kwa kibaaaa sasa, si unawajua tena wale team wema nao ni mazuzu flani mirembe PLUS. alafu mimi hao team wema wala siwashangai, tatizo ni hawa wafuasi wa kiba, eti tulipiga kura ndio maana akashinda,trust me team kiba hata mngepiga kuraa mpaka mwisho wa dunia NO WAY!NOOOOO WAY kiba angeshinda tuzo kwa kuwategemea ninyi, u an't a shit when its comes to support , V/S diamondz team mazeeee!!
 
😃😃😃😃😃😃😃
 

Attachments

  • 1432746508676.jpg
    1432746508676.jpg
    86.2 KB · Views: 193
  • 1432746519058.jpg
    1432746519058.jpg
    59.8 KB · Views: 183
  • 1432746527884.jpg
    1432746527884.jpg
    34.4 KB · Views: 182
mwanaume mzima full kuhaha na wanawake wa wenzako, si ndio nyie team kiba nyie mlikuwa full kumponda dai eti bila kick za wanawake hawiki???? mmejisahalisha au???? hivi lakini kwanini kiba kakosa aibu kiasi hiki???? muone sura yake ilivyokosa haya, maselfie na maX wawezake,umeshamuona diamond akihangaika na wale wanawake zako uliozalisha kila mtaaa???? (leo mtakaochefukwa kufwa for me) kama nawaona akina fulani wanavyosunya kufweniii, leo nina mood na muda pia, kumbe inawaumaa diamond anavyowalambisha ndimu eee?? lazima muote magaga ya ulimi this time.

Kumbe Kiba anaha ha na wanawake wa WENZIE!
 
Ndio utakapojua lengo la Kiba sio kukamata soko la mziki bali kupambana na Diamond.

Yeye anaamini Wema na Kidoti ndio waliochangia mafanikio ya Diamond anasahau kuwa kujituma kwa Diamond ambako yeye hata robo hamfikii.

Mpeni mbinu mbadala mtu wenu sio kupita alimopita Diamond, tunajua mnapenda lakini ndio hivyo.

Najua Kiba ni mwanamziki mzuri ila sio level ya Diamond.

nisaidie na wewe kushangaaaa, yeye si anasauti nzuri jamni si anakipaji jamni? yeye si hapendi show off jamni? yeye si hategemei wanawake kuwika jamni??? sasa ghafla mbona na yeye kaanza kutumia wanawake CHA AJABU KULIKO VYOOOOOTE ETI WANAWAKE WALE WALE AMBAO DIAMOND ALIKUWA ANASHUTUMIWA KUWA ANAWATUMIA ILI KUPAAA KIMZIKI, yaani this sound sooo weird aiseeee, alafu wasikilize thiz ze mbururaz wanavyoipoonza, NOW they dare to say hawaoni ubaya wema kumsupport kiba, but hapo kabla wakati dai akiwa na wema walikuwa hawakomi kumtukana dai kuwa anategemea kubebwa na wema, hivi ninyi team kiba hamuoni aibu mnavyojikaanga na mafuta yenu wenyewe kama dagaa wa kigoma tena kwa mambo ya wazi wazi kaa haya????? mtaacha lini kuropokwaaaaaa????? mliyokuwa mnamkejeli nayo dai si ndio haya anayofanya kiba sasa????? ptuuuuuuuuuu!!!! aibu gani hiiii!!????
 
Kiba alishindwa kulala, tuzo hiyo iitwe ya Wema maana akitendewa wema kwa kuomba omba.

Sijui sasa hivi anamuomba omba nani chaketutwa yake ipate kideo

Ila uzi huu umenichekesha sana 😃😃😃😃😃😃😃😃

Twende hapa;
KTMA 2015.VOTE DIAMOND.
Mwimbaji bora-Send BB4 to 15415.
Mtumbuizaji bora.-DA3 to 15415.
Mtunzi bora-FB2 to 15415
Video bora-mdogomdogo GA1 to 15415.NITAMPATA WAPI-send GA2.
WIMBO BORA-Mdoomdogo-Send AH2 to 15415.
wimbo bora Zhouk-NNitampata wapi AJ3 to 15145
Collabo Bora-Kipi sijasikia Send AL3 to 15145
KEREWA -AL5 to 15415
Wimbo Bora EAST AFRICA-PROTOCO-send AG4 to 15415

WWW.KTMA.CO.TZ AU TUMA KWA WHATSSAP 0686528813
 
najaribu kutafakar kitu juu ya hizi picha mbele wana copy na paste kumbe pia
 
Back
Top Bottom