mzee wa kijiwe dar
Member
- Feb 28, 2017
- 35
- 12
Mkubwa sana yani kanipita almost 5yrsHivi shem kaka yangu wa JF ni mkubwa sana kwako??[emoji53][emoji53][emoji53]
Ana 24yrs kamaliza form four 2014Huyu kijana anaonekana less than 27 hivi
Akipata mshubaki mpya hachelewi kumsingizia kambaka mwanae hafai huyo mama kwani ya mbasha yalikuajeKama ni member humu bila shaka atasoma koment, naomba nikuombe kitu ki1 bwana kusweka, huyo mtoto wa flora kula wewe acha uzabezabe wa wanaume wa dar, kula kuku na mayai yake kuonesha urijali wako.
usijali ndugu hakuna tena upako hapo na tunasubiri muda tu kwani Mungu hadhihakiwiMimi siamini kama ni kweli kwa sababu zifuatazo:
1. Iweje ndoa hiyo ifungwa siku ya J2?? Au ni wasabato siku hizi?
2. Huyo mtumishi anayekwenda wafungia ndoa, akili zake ziko sawa kweli?? Ukristo gani jamani huo?? Uache mume (Kwani yeye Flora ndo aliomba hiyo talaka.) Hata mwaka bado ati tiyari anaoa tena. Huoni hawa waliyaanza maisha hata alipokuwa na Mbasha??
3. Je, huyu ndiye babake yule mtoi tuloambiwa ni wa Gwaji??
4. Madam F, umepatapi ujasiri wa kuitangaza injili iokoayo kwa nyimbo za injili hata baada ya kumtaliki Mbasha??
Acha kulitukanisha jina kuu la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. Ukristo wa aina yako haupo
picha tu na si kinginehapo hotelini walienda tu kupiga picha ama walilala pia?????
ulitaka kusema washatombana kabla ya ndoa?Hahaaaaaa nilitaka kusema kitu hapa
Kuolewa mara mbili si hoja hoja ni kuolewa na mtoto mdogo ndio nini kama si kuharibu watoto wa wenzake?! Aibu aibu halafu eti mlokole uchafu mtupu! Kwani Peter naye mtoto mdogo aliyemzalisha mtoto wa mwisho hakufa kumuwowaaa?! Kha ulokole huu watakaochomwa wengi haluuu!
Ukiona mtu anaponda jua ni mchaga!imewauma sana kijana wao kutupiwa virago!acheni msukuma afaidi![emoji38]Nimejaribu kusoma comments naona nyingi mnamponda Mara chalii anoa mtu mzima mbona mi sion tatizo coz on the other side mtu anaamua kufanya Yale yanayompendeza na huwezi kuishi kwa matamanio ya watu unaishi utakavyo.. Give the man a break age it's just a number love doesn't care about that let em be
May yo wedding be full of joy n happiness
Safi sana shem![emoji122] [emoji122] [emoji122] .....ila siku hizi mnatubaka sana na Mungu anawaona!!......Kama Miss Natafuta anasubiri umri uende ili aje kubaka vijana wadogo!![emoji1]Mkubwa sana yani kanipita almost 5yrs
Yaani Bedford inavuta Nissan march"Mlokole" anafunga ndoa mpya huku mumewe bado yu hai na madam akiwa na katoto kadogo. Tena inaonekana amemzidi umri pakubwa yule bwana mdogo. Yaani hapa dogo anaolewa na hili Nyangumi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji87]Maskini kaka Wa watu anaenda kubakwa
Wewe usituletee mambo ya ufaransa hapa. Umeambiwa kwamba jamaa mlokole au mke wake?? Jamaa pia wanamponda vilevile
Wabongo tuache maneno mengi! Huyo ni rais wa ufaransa umemuona na kifaa chake??