Kumbe anayemuoa Flora Mbasha ni member wa humu JF: Hongera sana mdau, imarisheni uhusiano na JF

Hapa bado walikuwa hawajavua(na) nguo
 
Nikimuangalia umri wa Hutu dogo na huyu mdada nakumbuka hadithi fulan niliwahi kusikia kuhusu ndoa ya mke wa kwanza wa kiongozi wa imani fulan
 
Utakuta wengine humu waume zao ni wakubwa kwao ila hiyo midomo sasa, wale waislam wenzangu ukute wanaponda pia huku wamesahauMtume na mke wake mkubwa Bi Khadija
 
" Alionewa Bwana Yesu, Msalabani Bwana Alionewa. . . . ." Moja Kati Ya Maneno Yaliyo Ktk Wimbo Wake Maarufu. Mm Pia Naamin Yesu Walimuonea, Yan Walikosa Watu Wakuwasurubisha? Inamaana Wazinifu, Wezi Hawakuwaona? Na Mm Kwa Kumuona Huyu Jamaa Naanza Kuhisi Madam Anaonekana Mtu Acyependa Kabsa bamia, Yeye Ni Milunda Tu. Sema Aangalie Jamaa Nae Acje Akawa Mtu Wa Kutumia Kisamvu, Mbona Wataachana Mapema. Maana Ndoa Za Kukurupukia Hz. . .
 
FROM UNKNOWN TO KNOWN....... Halafu nasikia jamaaa ana asili ya koromije..hhhahahhaha
 
The chalii reflects no love but the old woman's pay slip in the pocket
 

SAFI sana mdau KUSEKWA, hayo ndio maumbo yetu wembamba watu wenye MISHEDEDE!!safi Mkuu TAFUNA HIYO KITU MDAU.
 
Mmmmh jamani

Nimekua na sasa nayaona

Hivi walokole toka lini wameanza kufunga ndoa Mara mbili mbili?


HAKUNA ULOKOLE, HAPO NI KWENYE UCHUMBA NDUGU, WAPO ROOM HAPO NA MABUSU, MOST PROBABLY NA KITUMBUA KIMELIWA
 
Aache nyimbo za injili aimbe za kidunia atabamba tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…