pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,083
Ki Ben ten cha madamu fulola mtoto kamaliza form four 2014 hataki kwenda shule kaona bora kubunyua papuchi ya kibibi sijui unaharaka ya wapi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana ni mdogo sana jmn. Alaf mkali.. mbona kuna wadada size yake wazur na wenye kujiheshimu tuHalafu huyu kijana si km mdogo wake tu
Dogo atazamishwa mgodini.... Apige dekiiii bidada ndio ugonjwa wake.Halafu naona kakijana bado kadogo nadhani hakajafika hata miaka 30.!
Maskini kwa jinsi nnavyosikiaga kuhusu huyu mdada sijui kama huyo dogo ataweza kumkojoza sawasawa..!!,
Hahaha we jamaaIla psychologically tu Jamaa anaonekana atapelekeshwa mno na Flora. Sura yake imejaa uwoga mtupu na hana confidence ya kutukuka.
Kiben10Halafu huyu kijana si km mdogo wake tu
Dogo maisha yake ni magumu sanaaDogo anabemendwa yeye anafurahia
Kumbe unapajua... Naomba uniekekeze sehemu ilipoMmmh... kumbe wamefikia Belmont Fair mount hotel???
Ndio hivyo k inamuwasha sanaaUroda uroda labda amekuta bado panatoa maji kem kem, kama hata anajua kuwa hayo yanaongeza uroda wa grade ya juuuuuuuuuuuu.
Ila kazuri jamani kavulana hako, naona bibie kaakua kuachana na wazee na apate dogodogo ampe furaha na mapenzi motomoto amfunze kijana uroda wa maisha ya faragha. Ila najua wazee wengime nao hawajambo ha ha ha haaaaaa
Nasikiaaa madam anapenda ndogoHalafu naona kakijana bado kadogo nadhani hakajafika hata miaka 30.!
Maskini kwa jinsi nnavyosikiaga kuhusu huyu mdada sijui kama huyo dogo ataweza kumkojoza sawasawa..!!,
Ana umri gani?Hongera sana kijana Daudi Kusekwa mwanafunzi wangu huko chona kahama
Huyo sio mlokole ni muimbaji tuu wa nyimbo za injili hamna kitu hapoMmmmh jamani
Nimekua na sasa nayaona
Hivi walokole toka lini wameanza kufunga ndoa Mara mbili mbili?