Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Mkuu mbona ile siku ya kuteuliwa na jiwe alisema kabisa kuwa nakuteua ingawa wewe ni CUF lkn nataka ukachape kazi
Inapendeza sana, hapo ali2mia akili kubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona ile siku ya kuteuliwa na jiwe alisema kabisa kuwa nakuteua ingawa wewe ni CUF lkn nataka ukachape kazi
Sawa mkubwaInapendeza sana, hapo ali2mia akili kubwa.
KWELI, mpaka kada wa CCM (Lowassa) Kawa raisi wa CHADEMA! Huu ndio Uzuri wa kuwa mtanzania.
Kama nyie mlivyozoa Lowasa, mtu mliyemwita Fisadi kwa miaka 10!!
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]MaCCM akili zenu hazina akili, hivi kuna ulazima gani kwa Chama maiti kuiga kila wanalofanya CHADEMA hata likiwa ni baya.
Ni kupoteza muelekeo tu, mmeishiwa raslimali watu. .?!
Sasa unamuaminije mtu aliyekula pesa za shule
pamoja na yote hayo ukweli unabaki palepale kuwa Dr. Bashiru Ally Kakurwa alishawahi kuwa mwanaCUFSasa unamuaminije mtu aliyekula pesa za shule
Duniani Kuna Mambo. Hana kadi lkn alieatingisha kina Makamba na Kinana waliokua na makadi tangu 5/2/77.Si kwamba aliwahi kuwa , ni mwanachama wa cuf , hana kadi ya ccm
Akili ndogoMare umesahau mlikuwa mna mshangilia raisi, raisi, raisi, Lowassa, Lowassa, raisi, CHADEMA, CHADEMA. Sikuhizi bado Lissu mnamshamgilia hivyo hivyo. Akili zako kidogo nini? Umeisha sahau! Lo! Sasa nimekukumbusha wewe
Hapo tukisema mlipa rushwa ya ngono tutakuwa tunakosea? "Role modal" akachepuka mbele ya kamaera, hahaaaPolepole tulizinguana Ofisini kwake nikatulia nikamdanganya jambo fulani kuwa wewe role model wangu kisiasa badae akacheka na kuagiza soda jioni tukakutana sehemu...mitaa ya Sinza Hotel Fulani hivi...
Tukamlengesha kadem kamoja ka chuo kutoka pale Diplomasia akaruka nako kumbe tunamchora ahahahahha..
Amna MTU pale
Haya endeleeni kujifarijiMko mbioni MDA sio mrefu mtatoka tuuuu
Propaganda na uzinzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] embu jazia nyama hapo kidogo [emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli kabisa. Hata Polepole hakuwa mwana CCM bali alikuwa CHADEMA. Hata Magufuli mwenyewe alikuwa mwana NCCR Mageuzi.
Anyway mwisho wa siku sisi sote ni watanzania sioni tatizo.
Magufuli alikuwa na vigezo vyake vya kutafuta wasaidizi wenye HULKA kama yake ya ukatili, ubaguzi, ubabe na UWONGO na uwizi.
Angalia hawa wote; Makonda (kuua na dhuluma), Ole Sabaya (kuua na dhuluma), Bashiru (propaganda za uwongo), Chalamila (vurugu na ukosefu maadili), Deus Kakoko (uwizi wa fedha), Kabudi (propaganda za uwongo), Polepole (propaganda na uzinzi), Cyprian Musiba (matusi kuropoka)
Wote Polepole na Magufuli ni waongo hasa kwenye takwimu. Lakini wote walikuwa wanaishi na VVU zutokanazo na ngono zembe (unprotected sex).Propaganda na uzinzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] embu jazia nyama hapo kidogo [emoji23][emoji23][emoji23]
Eeeh????? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Clinical Dx hiyoWote Polepole na Magufuli ni waongo hasa kwenye takwimu. Lakini wote walikuwa wanaishi na VVU zutokanazo na ngono zembe (unprotected sex).
Hivi unaionaje ngozi ya Polepole? Au mabaka aliyokuwa nayo Mwendazake siku za mwisho? Ukuona herpe zoster?
Wote Polepole na Magufuli ni waongo hasa kwenye takwimu. Lakini wote walikuwa wanaishi na VVU zutokanazo na ngono zembe (unprotected sex).
Hivi unaionaje ngozi ya Polepole? Au mabaka aliyokuwa nayo Mwendazake siku za mwisho? Ukuona herpe zoster?
Na ndipo watu wengine wanapata fursa. Bila ya hiyo misuguano usingemjua Polepole au MakondaUnajifariji tuu mkuu,mambo ya misuguano ccm ni kawaida.
Hahahahaaaaa mbavu zangu. We jamaa wewe Mungu anakuona ujuePolepole tulizinguana Ofisini kwake nikatulia nikamdanganya jambo fulani kuwa wewe role model wangu kisiasa badae akacheka na kuagiza soda jioni tukakutana sehemu...mitaa ya Sinza Hotel Fulani hivi...
Tukamlengesha kadem kamoja ka chuo kutoka pale Diplomasia akaruka nako kumbe tunamchora ahahahahha..
Amna MTU pale
MaCCM akili zenu hazina akili, hivi kuna ulazima gani kwa Chama maiti kuiga kila wanalofanya CHADEMA hata likiwa ni baya.
Ni kupoteza muelekeo tu, mmeishiwa raslimali watu. .?!
Yule HAYAWANI akawa anamtumia polepole kununua binaadamu kama samaki wabichi.