Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi ku-comment bila kumponda mtuItakuhitaji darasa kidogo kuhusu withholding tax mkuu
Imagine angekua analipwa yote, si angetakiwa kulipa Kodi ile ile mkuu
Mbona hesabu ndogo tu, na unajiita IFRS
6000× 60×60 = 21,000,000/ hour, 😂😂😎😎
MTU anayelipwa mshahara wa senior officer ana uhakika wa muendelezo wa maisha mazuri kuliko hawa wasanii wakubwa wa bongo wanaopata hela nyingi at their peak. Mr Nice na wengineo ukirudi nyumaMkwe wangu alistaafu mwaka jana na alikua senior officer serikalini akaramba mafao ya mil 500
Hii ni sawa na miezi miwili tu ya huyu chizi
Kweli maisha hayajawahi kuwa fair
Hiyo statement ya Chibu inapingana Na hesabuView attachment 1688970so what's your point? Na meno ukatoa nje kabisa!
Nime quote alichosema yeye !Umeona kama jamaa hajui hata hesabu
Ok sawa,kwahiyo haingizi hizo hela sio?Hiyo statement ya Chibu inapingana Na hesabu
Kwenye option ya per second ndio sio hiyo. Ni watu tu walikuwa wanaweka hesabu sawa kwamba wamekosea kugawanyaOk sawa,kwahiyo haingizi hizo hela sio?
Vina.nivile na mishono ka zulia tofauti na midosho ya kipambe, tofauti na ngono au drama za domo na wenzake
Ngoja siku akilivuruga TRA kama hajawakuta mlangoni.....Analipa kodi????
Yeah, mbunge yule alisema namba hazidanganyi....angekaa na kalikuleta kwanza.Hio ni tofauti ya domo na wenzake ukiachana na madrama yake.