Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utakua ulikimbia hesabu, Kama anaingiza buku 6/sec kwa kwa saa ni milioni 21 na sio laki 3.View attachment 1688970so what's your point? Na meno ukatoa nje kabisa!
Lakini ukirudi kwenye mambo ya hela inatakiwa displine ya hela na malengo,kuna polisi wanastaafu hawajajenga na kuna wenzao mishahara hiyo hiyo wana majumba hatari na usafiri.MTU anayelipwa mshahara wa senior officer ana uhakika wa muendelezo wa maisha mazuri kuliko hawa wasanii wakubwa wa bongo wanaopata hela nyingi at their peak. Mr Nice na wengineo ukirudi nyuma
Lakini mkuu hiyo ishu ya kupanga ni kweli au propaganda ?kweli diamond hadi leo hajajenga? Kama hajajenga kuna something wrongYeah, mbunge yule alisema namba hazidanganyi....angekaa na kalikuleta kwanza.
Ni pesa nyingi kwa mtu anayeishi kwenye nyumba ya kupanga anayolipa kodi ya Tsh 1,500,000
Unafananisha Diamond na Mr nice seriously SeriouslyMTU anayelipwa mshahara wa senior officer ana uhakika wa muendelezo wa maisha mazuri kuliko hawa wasanii wakubwa wa bongo wanaopata hela nyingi at their peak. Mr Nice na wengineo ukirudi nyuma
Domond muongo muongo sanaaa 😀😀😀 hadi leo hakuna cha Roli Roisi wala bibi yake na RRChai
inauzwa Shilling ngapiHuyu huyu ambaye nyumba anayoishi / amepanga, mwenyewe kaamua kuiweka sokoni huku mpangaji akiwa ndani?
Mtu amiliki magar ya kifahar namna , Ile awe na vituo vya redio , afanye show nje ya nchi dozen na dozen , ashindwe kujenge nyumba ??? Au tunapenda Tu kumdharau kijana wa watu ....Huyu huyu ambaye nyumba anayoishi / amepanga, mwenyewe kaamua kuiweka sokoni huku mpangaji akiwa ndani?
Diamond yuko juu sana ya niceLakini ukirudi kwenye mambo ya hela inatakiwa displine ya hela na malengo,kuna polisi wanastaafu hawajajenga na kuna wenzao mishahara hiyo hiyo wana majumba hatari na usafiri.
Kuna wasinii mziki ukiwakataa wanafulia kuna wengine mziki unakataa ila wameinvest na Wana hela
Zaid ya mil 400 analipa kodi Kwa mwaka na hyo ilikuwa ni 2017
Ipo kwa dalalikiongozi naona wanapenda kupanga kwa huyo mtu hata rayvan alipanga kodi ikamshinda,nyumba ikatangazwa inapangishwa.Mtu amiliki magar ya kifahar namna , Ile awe na vituo vya redio , afanye show nje ya nchi dozen na dozen , ashindwe kujenge nyumba ??? Au tunapenda Tu kumdharau kijana wa watu ....
Lakini mkuu hiyo ishu ya kupanga ni kweli au propaganda ?kweli diamond hadi leo hajajenga? Kama hajajenga kuna something wrong
Mtu amiliki magar ya kifahar namna , Ile awe na vituo vya redio , afanye show nje ya nchi dozen na dozen , ashindwe kujenge nyumba ??? Au tunapenda Tu kumdharau kijana wa watu ....
Hivi mnajua Mil 400 kweli au huwa mnaandika tu?
Zaidi ya Miaka 6 ameshindwa kuleta Rozi Rozi amebakiza porojo tu ila ni technik nzuri sana ya kuwapanga wadhamini wakija ili waje vizuri.
Mtu mwenye pesa angalia nyumba yake tu,sasa mtu mwenye pesa kweli anaendelea kupanga? Kama anaingiza mil 55 kwa wiki ,ameshindwa kabisa kununua beach plot ya mil 600 na kuweka mansion?
Tajiri anashindwa kumpa baba yake mlezi hata ka raum atembelee?
Atasingizia anajenga wachafu tower😂😂😂😂😂 japo anajitahidi kuongeza sifuri ila watu wake wa pembeni wanazipunguza kwa kuumbuka hasa lile gari la zawadi ya esma