Ukiona mwanamke dj ujue asilimia kubwa ni tomboy.Aman iwe juu yenu
Nilikuwa sijui hivi kumbe kale kambea kambea kanakoitwa ka Carrymastory ni ka DJ afu ni karembo hivi
View attachment 1018987
Nilikuwa sijui aisee ndo nimejua. Hongera kwake
View attachment 1018986
View attachment 1018988
Sasa nauliza kwanini kawa mumbea mumbea wakati ana kazi yake au umbea nao ni kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Washikaji had wanauliza kama huyu ni mwanaume au mwanamkeWabongo tunakandia sana aisee..yani saa zingine hua natembeleaga Jamiiforums ya Nigeria inayoitwa Nairaland yani kule mtu akianzisha mada dem wa kawaida ila mtu akisema mzuri washkaji wote wanashow love kusifia uumbaji wa Mungu lakini bongo sasa cheki waliomponda mdada wa watu daaah aiseee...
Hakika maana wengine hatuoni kitu hapo...mpaka tunashangaaKweli uzuri uko machoni mwa ndugu mtazamaji
Umeuliza swali zur sana ambalo kamwe hawawezi kulijibumkipewa shoo mtajimsemesha hivi au ndo mtamwaga sifa kedekede
hahahahaaahv picha ya no.1 na picha no.3 ni mtu mmoja ama?? Yaani make up hizi wadada zinawaokoa sana[emoji13][emoji13][emoji13]
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha ya pili nimegundua huyu demu hana tako kabisaa hafai kwa matumizi ya kibinadamu
Wabongo tunakandia sana aisee..yani saa zingine hua natembeleaga Jamiiforums ya Nigeria inayoitwa Nairaland yani kule mtu akianzisha mada dem wa kawaida ila mtu akisema mzuri washkaji wote wanashow love kusifia uumbaji wa Mungu lakini bongo sasa cheki waliomponda mdada wa watu daaah aiseee...
kupewa show na sura ya mtu ni vitu viwili tofauti....!!ndo maana mademu wengi wazuri wanakosa wamme ila wabovu wanaolewa..!!mkipewa shoo mtajimsemesha hivi au ndo mtamwaga sifa kedekede