Kumbe CHADEMA ni wazushi, waongo na wazandiki. Wakimchukia mtu wanamzushia uongo

Kumbe CHADEMA ni wazushi, waongo na wazandiki. Wakimchukia mtu wanamzushia uongo

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Walimsema sana Sabaya kuwa aliua watu, alitesa watu, aliteka mali za watu. Leo hii umekosekana ushahidi wa kueleweka wa kumfunga.

Mdogo wangu Makonda ndo alisingiziwa mengi sana. Mpaka akahusishwa na kupigwa risasi kwa Lissu Antipas (Mungu azidi mponya) kumbe wala maskini. Makonda hakuwa na baya. Na tumeona hamna kesi ambayo hata wamejaribu kumfungulia.

Hii inaonesha wapinzani hasa Chadema huwa tu wanazusha mambo ambayo hata ushahidi wanakosa wakibanwa. Huwa wanakurupuka tu. Makonda walisema akifa baba yake atapata taabu sana.

Mpaka leo nakutana na Makonda sioni kama ana tabu yoyote ile. Yupo salama kabisa anakula maisha tu. Na kwa sasa anasema amepumzika na kelele za watu anakula pensheni.
 
Hata Mwenyekiti wao aliwakataza....aling'aka na kuziita "Propaganda za Kitoto" hebu fikiria mtu kakaa zake humu jamvini shughuli yake kubwa ni kuzusha!

Kuongopa na kutukana matusi tu, akijua wakuu kule watawarehemu na kuwafuta jasho....lah!

Sasa subiri uone watakavyo zusha kuhusu uzushi wao wenyewe
 
Walimsema sana Sabaya kuwa aliua watu, alitesa watu, aliteka mali za watu. Leo hii umekosekana ushahidi wa kueleweka wa kumfunga.

Mdogo wangu Makonda ndo alisingiziwa mengi sana. Mpaka akahusishwa na kupigwa risasi kwa Lissu Antipas (Mungu azidi mponya) kumbe wala maskini. Makonda hakuwa na baya. Na tumeona hamna kesi ambayo hata wamejaribu kumfungulia.

Hii inaonesha wapinzani hasa Chadema huwa tu wanazusha mambo ambayo hata ushahidi wanakosa wakibanwa. Huwa wanakurupuka tu. Makonda walisema akifa baba yake atapata taabu sana.

Mpaka leo nakutana na Makonda sioni kama ana tabu yoyote ile. Yupo salama kabisa anakula maisha tu. Na kwa sasa anasema amepumzika na kelele za watu anakula pensheni.
Uongo utakusaidia nini? Huna akili kabisa
 
Walimsema sana Sabaya kuwa aliua watu, alitesa watu, aliteka mali za watu. Leo hii umekosekana ushahidi wa kueleweka wa kumfunga.

Mdogo wangu Makonda ndo alisingiziwa mengi sana. Mpaka akahusishwa na kupigwa risasi kwa Lissu Antipas (Mungu azidi mponya) kumbe wala maskini. Makonda hakuwa na baya. Na tumeona hamna kesi ambayo hata wamejaribu kumfungulia.

Hii inaonesha wapinzani hasa Chadema huwa tu wanazusha mambo ambayo hata ushahidi wanakosa wakibanwa. Huwa wanakurupuka tu. Makonda walisema akifa baba yake atapata taabu sana.

Mpaka leo nakutana na Makonda sioni kama ana tabu yoyote ile. Yupo salama kabisa anakula maisha tu. Na kwa sasa anasema amepumzika na kelele za watu anakula pensheni.
Ndiyo maana hii vita waliyoianzisha kengeza na wenzake ayatola haina kwisha mpaka nao wafe kabisa na kuzikwa (ingawa wana muda wa kuomba msamaha hasa kwa kumdhihaki Dkt Magufuli juu ya kifo chake), na kibaya hawawafahamu adui zao and that’s a generational revenge ambayo iko. Na wajue hasira iliyopo ni kuu mno, Dkt Magufuli alifanya yale yote aliyofanya siyo yeye kama yeye kulikuwa na washauri ambao hawajafa na ndiyo maana kushughulikiwa kengeza na Ayatola ni taratibu and silent killing they will die
 
Walimsema sana Sabaya kuwa aliua watu, alitesa watu, aliteka mali za watu. Leo hii umekosekana ushahidi wa kueleweka wa kumfunga.

Mdogo wangu Makonda ndo alisingiziwa mengi sana. Mpaka akahusishwa na kupigwa risasi kwa Lissu Antipas (Mungu azidi mponya) kumbe wala maskini. Makonda hakuwa na baya. Na tumeona hamna kesi ambayo hata wamejaribu kumfungulia.

Hii inaonesha wapinzani hasa Chadema huwa tu wanazusha mambo ambayo hata ushahidi wanakosa wakibanwa. Huwa wanakurupuka tu. Makonda walisema akifa baba yake atapata taabu sana.

Mpaka leo nakutana na Makonda sioni kama ana tabu yoyote ile. Yupo salama kabisa anakula maisha tu. Na kwa sasa anasema amepumzika na kelele za watu anakula pensheni.
Chadema wakimshindwa mtu wanalialia sana kumpakazia mambo ya hovyo

USSR
 
Walimsema sana Sabaya kuwa aliua watu, alitesa watu, aliteka mali za watu. Leo hii umekosekana ushahidi wa kueleweka wa kumfunga.

Mdogo wangu Makonda ndo alisingiziwa mengi sana. Mpaka akahusishwa na kupigwa risasi kwa Lissu Antipas (Mungu azidi mponya) kumbe wala maskini. Makonda hakuwa na baya. Na tumeona hamna kesi ambayo hata wamejaribu kumfungulia.

Hii inaonesha wapinzani hasa Chadema huwa tu wanazusha mambo ambayo hata ushahidi wanakosa wakibanwa. Huwa wanakurupuka tu. Makonda walisema akifa baba yake atapata taabu sana.

Mpaka leo nakutana na Makonda sioni kama ana tabu yoyote ile. Yupo salama kabisa anakula maisha tu. Na kwa sasa anasema amepumzika na kelele za watu anakula pensheni.
Wakuu.. mweny zile clip sabaya akivamia maduka Arusha mjin na hotel ya aishi machache atuwekee tafadhali!!
 
Walimsema sana Sabaya kuwa aliua watu, alitesa watu, aliteka mali za watu. Leo hii umekosekana ushahidi wa kueleweka wa kumfunga.

Mdogo wangu Makonda ndo alisingiziwa mengi sana. Mpaka akahusishwa na kupigwa risasi kwa Lissu Antipas (Mungu azidi mponya) kumbe wala maskini. Makonda hakuwa na baya. Na tumeona hamna kesi ambayo hata wamejaribu kumfungulia.

Hii inaonesha wapinzani hasa Chadema huwa tu wanazusha mambo ambayo hata ushahidi wanakosa wakibanwa. Huwa wanakurupuka tu. Makonda walisema akifa baba yake atapata taabu sana.

Mpaka leo nakutana na Makonda sioni kama ana tabu yoyote ile. Yupo salama kabisa anakula maisha tu. Na kwa sasa anasema amepumzika na kelele za watu anakula pensheni.
Dadek
 
Walimsema sana Sabaya kuwa aliua watu, alitesa watu, aliteka mali za watu. Leo hii umekosekana ushahidi wa kueleweka wa kumfunga.

Mdogo wangu Makonda ndo alisingiziwa mengi sana. Mpaka akahusishwa na kupigwa risasi kwa Lissu Antipas (Mungu azidi mponya) kumbe wala maskini. Makonda hakuwa na baya. Na tumeona hamna kesi ambayo hata wamejaribu kumfungulia.

Hii inaonesha wapinzani hasa Chadema huwa tu wanazusha mambo ambayo hata ushahidi wanakosa wakibanwa. Huwa wanakurupuka tu. Makonda walisema akifa baba yake atapata taabu sana.

Mpaka leo nakutana na Makonda sioni kama ana tabu yoyote ile. Yupo salama kabisa anakula maisha tu. Na kwa sasa anasema amepumzika na kelele za watu anakula pensheni.
Kwani Chadema ndiyo walimfungulia mashtaka au ni dola ndiyo ilimshtaki? Kweli wewe chizi

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom