Kumbe CHADEMA ni wazushi, waongo na wazandiki. Wakimchukia mtu wanamzushia uongo

Kumbe CHADEMA ni wazushi, waongo na wazandiki. Wakimchukia mtu wanamzushia uongo

Chadema wakimshindwa mtu wanalialia sana kumpakazia mambo ya hovyo

USSR
Mbowe walisema kabambikiwa ila sabaya hajapambikiwa chadema bwana ukiwasikiliza utafikiri wanapoint kumbe hamna kitu kabisa sasa hivi cdm iko hoi icu Hela ya ruzuku halali ila wabunge haramu njaa tu inawasumbua
 
Walimsema sana Sabaya kuwa aliua watu, alitesa watu, aliteka mali za watu. Leo hii umekosekana ushahidi wa kueleweka wa kumfunga.

Mdogo wangu Makonda ndo alisingiziwa mengi sana. Mpaka akahusishwa na kupigwa risasi kwa Lissu Antipas (Mungu azidi mponya) kumbe wala maskini. Makonda hakuwa na baya. Na tumeona hamna kesi ambayo hata wamejaribu kumfungulia.

Hii inaonesha wapinzani hasa Chadema huwa tu wanazusha mambo ambayo hata ushahidi wanakosa wakibanwa. Huwa wanakurupuka tu. Makonda walisema akifa baba yake atapata taabu sana.

Mpaka leo nakutana na Makonda sioni kama ana tabu yoyote ile. Yupo salama kabisa anakula maisha tu. Na kwa sasa anasema amepumzika na kelele za watu anakula pensheni.
Wewe ni chizi na uchizi wenu wa kuendelea kulindana unalitafuna Taifa pole pole siku mkishtuka mtakuwa mmechelewa.Ninakuambia kuwa aliyekuroga kafa lakini ukweli wa hao mashetani bado upo pale pale na Mungu anajua adhabu yake ni nini sisi ni watazamaji tu.Fanyeni yooote lakini sote tupo mikononi mwa Mungu.
 
Ndiyo maana hii vita waliyoianzisha kengeza na wenzake ayatola haina kwisha mpaka nao wafe kabisa na kuzikwa (ingawa wana muda wa kuomba msamaha hasa kwa kumdhihaki Dkt Magufuli juu ya kifo chake), na kibaya hawawafahamu adui zao and that’s a generational revenge ambayo iko. Na wajue hasira iliyopo ni kuu mno, Dkt Magufuli alifanya yale yote aliyofanya siyo yeye kama yeye kulikuwa na washauri ambao hawajafa na ndiyo maana kushughulikiwa kengeza na Ayatola ni taratibu and silent killing they will die
Adui wa Chadema ni MAGUFURI na Sukuma gang.
 
Kwani sabaya laishinda kesi? si amefungwa mwaka mmoja nje na fidia ya 5M kwa makosa yote saba baada ya kukikiri(kukubali) makosa na akaomba maridhiano maaalum na DPP nje ya mahakama. sasa wewe unatuchanganya hapa
Mkuu tuna taifa lenye vijana wa ajabu na akili fichu sanaa, na kwa mujibu wa sensa ya majuzi hawa vijana ndiyo walio wengi, tuna safari ndefu mnooo...
 
Mtoa uzi huna akili hata hujui kilichotokea, unajua maana ya plea bargain? Huyo Dogo amekiri makosa ndiyo maana amepata msamaha, majitu ya ccm ni empty head kabisa
Wewe bwege sana kama wote ingekuwa wanakiri wanapata msamaha hivyo basi wengi wasingefungwa.
 
Mimi siyo mpenzi wa chedema wala mwanachama ila huu utakhira aliouandika huyu mtoa post hauvumiki na ni kuonesha namna gani ana upenzi wa kitakhira

samahani nimetumia maneno haya kwa kukosa neno lililo bora la kuelezea mawazo yagu hapa

hivi kumbe Chadema ndiyo waliompeleka huyo Sabaya wako mahakamani na wala siyo nwendesha mashita baada ya kujiridhisha na masitaka yalikuwa yanamkabili

waswahili husema msaidie nduguyo faini siyo kesi.
 
Walimsema sana Sabaya kuwa aliua watu, alitesa watu, aliteka mali za watu. Leo hii umekosekana ushahidi wa kueleweka wa kumfunga.

Mdogo wangu Makonda ndo alisingiziwa mengi sana. Mpaka akahusishwa na kupigwa risasi kwa Lissu Antipas (Mungu azidi mponya) kumbe wala maskini. Makonda hakuwa na baya. Na tumeona hamna kesi ambayo hata wamejaribu kumfungulia.

Hii inaonesha wapinzani hasa Chadema huwa tu wanazusha mambo ambayo hata ushahidi wanakosa wakibanwa. Huwa wanakurupuka tu. Makonda walisema akifa baba yake atapata taabu sana.

Mpaka leo nakutana na Makonda sioni kama ana tabu yoyote ile. Yupo salama kabisa anakula maisha tu. Na kwa sasa anasema amepumzika na kelele za watu anakula pensheni.
Hilo genge la magaidi, watanzania hawana hata vibe nalo. Wazee wa asali
 
Wapinzani waliulizia ili kujihakikishia kafa kweli ili wafanye sherehe, tena huyo kengeza na ayatola walikuwa na sherehe kama lile jaribio la kumuua Dkt Magufuli lilivyoshindwa mtwara ayatola alipositi akionesha Rais Samia kawa rais. Hivyo hao ni adui wa kudumu wa taifa mpaka nao wafeeee
Sasa kwanini wasilaaniwe mnaodai aliuawawa... Eti walaaniwe wanaoshangilia? Mnamfanya Mungu baba yenu eeh? JPM alikufa kwa laana ya kutaka kumuua Lissu!!
 
Mbona Kengeza mmeshindwa kumkamata ina maana Kengeza ana nguvu kuliko serikali inayoongozwa na ccm?
Lisu a.k.a Punga alikataa kutoa ushirikiano na polisi, kamficha dereva kwa sababu anaogopa ataumbuka kengeza
 
Back
Top Bottom