Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Ujinga umewajaa san, linapokuja suala la kwel kuhusu nyie walinda legacy mnasema za kutengeneza!! Zile ni CCTV cameras. Wachunga ng'ombe ni lin mtakua na akil?Zile clip alizotengeneza Mbowe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga umewajaa san, linapokuja suala la kwel kuhusu nyie walinda legacy mnasema za kutengeneza!! Zile ni CCTV cameras. Wachunga ng'ombe ni lin mtakua na akil?Zile clip alizotengeneza Mbowe?
Yaani weee ndo maiti kweli kweli, kwn sabaya kashinda kesi ??? Una akili za kishoga shoga sana wee jamaaChadema wengi wana mtindio wa ubongo
Mbowe walisema kabambikiwa ila sabaya hajapambikiwa chadema bwana ukiwasikiliza utafikiri wanapoint kumbe hamna kitu kabisa sasa hivi cdm iko hoi icu Hela ya ruzuku halali ila wabunge haramu njaa tu inawasumbuaChadema wakimshindwa mtu wanalialia sana kumpakazia mambo ya hovyo
USSR
Wewe ni chizi na uchizi wenu wa kuendelea kulindana unalitafuna Taifa pole pole siku mkishtuka mtakuwa mmechelewa.Ninakuambia kuwa aliyekuroga kafa lakini ukweli wa hao mashetani bado upo pale pale na Mungu anajua adhabu yake ni nini sisi ni watazamaji tu.Fanyeni yooote lakini sote tupo mikononi mwa Mungu.Walimsema sana Sabaya kuwa aliua watu, alitesa watu, aliteka mali za watu. Leo hii umekosekana ushahidi wa kueleweka wa kumfunga.
Mdogo wangu Makonda ndo alisingiziwa mengi sana. Mpaka akahusishwa na kupigwa risasi kwa Lissu Antipas (Mungu azidi mponya) kumbe wala maskini. Makonda hakuwa na baya. Na tumeona hamna kesi ambayo hata wamejaribu kumfungulia.
Hii inaonesha wapinzani hasa Chadema huwa tu wanazusha mambo ambayo hata ushahidi wanakosa wakibanwa. Huwa wanakurupuka tu. Makonda walisema akifa baba yake atapata taabu sana.
Mpaka leo nakutana na Makonda sioni kama ana tabu yoyote ile. Yupo salama kabisa anakula maisha tu. Na kwa sasa anasema amepumzika na kelele za watu anakula pensheni.
Adui wa Chadema ni MAGUFURI na Sukuma gang.Ndiyo maana hii vita waliyoianzisha kengeza na wenzake ayatola haina kwisha mpaka nao wafe kabisa na kuzikwa (ingawa wana muda wa kuomba msamaha hasa kwa kumdhihaki Dkt Magufuli juu ya kifo chake), na kibaya hawawafahamu adui zao and that’s a generational revenge ambayo iko. Na wajue hasira iliyopo ni kuu mno, Dkt Magufuli alifanya yale yote aliyofanya siyo yeye kama yeye kulikuwa na washauri ambao hawajafa na ndiyo maana kushughulikiwa kengeza na Ayatola ni taratibu and silent killing they will die
Mkuu tuna taifa lenye vijana wa ajabu na akili fichu sanaa, na kwa mujibu wa sensa ya majuzi hawa vijana ndiyo walio wengi, tuna safari ndefu mnooo...Kwani sabaya laishinda kesi? si amefungwa mwaka mmoja nje na fidia ya 5M kwa makosa yote saba baada ya kukikiri(kukubali) makosa na akaomba maridhiano maaalum na DPP nje ya mahakama. sasa wewe unatuchanganya hapa
Mbowe walisema kabambikiwa ila sabaya hajapambikiwa chadema bwana ukiwasikiliza utafikiri wanapoint kumbe hamna kitu kabisa sasa hivi cdm iko hoi icu Hela ya ruzuku halali ila wabunge haramu njaa tu inawasumbua
Hahaha aseeMkuu tuna taifa lenye vijana wa ajabu na akili fichu sanaa, na kwa mujibu wa sensa ya majuzi hawa vijana ndiyo walio wengi, tuna safari ndefu mnooo...
Wewe bwege sana kama wote ingekuwa wanakiri wanapata msamaha hivyo basi wengi wasingefungwa.Mtoa uzi huna akili hata hujui kilichotokea, unajua maana ya plea bargain? Huyo Dogo amekiri makosa ndiyo maana amepata msamaha, majitu ya ccm ni empty head kabisa
Hilo genge la magaidi, watanzania hawana hata vibe nalo. Wazee wa asaliWalimsema sana Sabaya kuwa aliua watu, alitesa watu, aliteka mali za watu. Leo hii umekosekana ushahidi wa kueleweka wa kumfunga.
Mdogo wangu Makonda ndo alisingiziwa mengi sana. Mpaka akahusishwa na kupigwa risasi kwa Lissu Antipas (Mungu azidi mponya) kumbe wala maskini. Makonda hakuwa na baya. Na tumeona hamna kesi ambayo hata wamejaribu kumfungulia.
Hii inaonesha wapinzani hasa Chadema huwa tu wanazusha mambo ambayo hata ushahidi wanakosa wakibanwa. Huwa wanakurupuka tu. Makonda walisema akifa baba yake atapata taabu sana.
Mpaka leo nakutana na Makonda sioni kama ana tabu yoyote ile. Yupo salama kabisa anakula maisha tu. Na kwa sasa anasema amepumzika na kelele za watu anakula pensheni.
Sasa kwanini wasilaaniwe mnaodai aliuawawa... Eti walaaniwe wanaoshangilia? Mnamfanya Mungu baba yenu eeh? JPM alikufa kwa laana ya kutaka kumuua Lissu!!Wapinzani waliulizia ili kujihakikishia kafa kweli ili wafanye sherehe, tena huyo kengeza na ayatola walikuwa na sherehe kama lile jaribio la kumuua Dkt Magufuli lilivyoshindwa mtwara ayatola alipositi akionesha Rais Samia kawa rais. Hivyo hao ni adui wa kudumu wa taifa mpaka nao wafeeee
Hapana Lisu alitaka kuuawa na Kengeza.Sasa kwanini wasilaaniwe mnaodai aliuawawa... Eti walaaniwe wanaoshangilia? Mnamfanya Mungu baba yenu eeh? JPM alikufa kwa laana ya kutaka kumuua Lissu!!
Mbona Kengeza mmeshindwa kumkamata ina maana Kengeza ana nguvu kuliko serikali inayoongozwa na ccm?Hapana Lisu alitaka kuuawa na Kengeza.
Lisu a.k.a Punga alikataa kutoa ushirikiano na polisi, kamficha dereva kwa sababu anaogopa ataumbuka kengezaMbona Kengeza mmeshindwa kumkamata ina maana Kengeza ana nguvu kuliko serikali inayoongozwa na ccm?
Basi sheria za nchi hii ni dhaifu sana chini ya Bunge linaloongozwa na wabunge wa ccm.Lisu a.k.a Punga alikataa kutoa ushirikiano na polisi, kamficha dereva kwa sababu anaogopa ataumbuka kengeza
Ili iweje? Yaani Mbowe alifungwa kwa kifo cha Akwilina alafu wamuache kwa kutaka kumuua Lissu? Si wangemhukumu kunyongwa kabisa.Hapana Lisu alitaka kuuawa na Kengeza.
Kengeza ni killer!Ili iweje? Yaani Mbowe alifungwa kwa kifo cha Akwilina alafu wamuache kwa kutaka kumuua Lissu? Si wangemhukumu kunyongwa kabisa.
Wewe ni empty head and bodyUjui kitu tulia wewe empty head
Unasadifu I'd yakoWewe ni empty head and body