Kumbe CHADEMA wameanza kupokea ruzuku kimya kimya na hawasemi?

Kumbe CHADEMA wameanza kupokea ruzuku kimya kimya na hawasemi?

Kwa hiyo lengo la hii press ni nini? Hapo ndio utaona kazi hasa ya ZZK kwa upinzani ni ipi, si kujenga bali kubomoa tangu mwanzo ...
Hapo na kuelewa sana! Huyu Jamaa anavizia CDM wakosee tu yeye ndo aje ili awaangushe! Hata kutangaza kwake kustaafu 2024, ni ili Mbowe naye atangaze kustaafu akiamini yeye na Washirika wake watapata nafuu!
Nakumbuka siku CDM walipotangaza UKUTA, malumbano yalipo pamba moto na polisi, yeye akaibuka na kusema wao kama chama wanasubiri kwenda kuchangia damu kwa majeruhi Muhimbili!
Ktk hili ameona mikutano ya CDM umepamba moto, yeye haangalii hamasa ya Watanzania kutaka mabadiliko kupitia CDM, yeye kuamua kufanya biashara kwa maslahi yake ili CDM ianguke, watu waondoe imani yao kwa CDM ili yeye abaki na washirika wake!
Nadhani huyu anafaa atangazwe adui wa madiliko kwa Watanzania hadi hapo atakapobadilike!
 
Hawa mapambano yao ni kuwa chama kipi ni chama kikuu cha upinzani nchini. Yaani wanapambana kuhakikisha chama kinakuwa kikuu cha upinzani.
 
Inasikitisha sana kuona Chadema wanakula matapishi kama tulivyozoea.

Walisema chochote kilichotokana na uchaguzi wa 2020 ni haramu ikiwemo ruzuku.

Sasa wanalamba asali ya mama wanapokea ruzuku mil 800 na inatafunwa kimya kimya pale ufipa Mbowe na kikundi chake kilichojimilikisha chama.

Bado kuwa halalisha wale wabunge 19.
Nyerere aliwahi sema watu fulani fulani kamwe wasipewe nchi wana tamaa sana ya pesa wapo tayari kuuza utu wao mbele ya pesa.

View attachment 2537619
Njaa Haijawahi muacha mtu salama
 
Inasikitisha sana kuona Chadema wanakula matapishi kama tulivyozoea.

Walisema chochote kilichotokana na uchaguzi wa 2020 ni haramu ikiwemo ruzuku.

Sasa wanalamba asali ya mama wanapokea ruzuku mil 800 na inatafunwa kimya kimya pale ufipa Mbowe na kikundi chake kilichojimilikisha chama.

Bado kuwa halalisha wale wabunge 19.
Nyerere aliwahi sema watu fulani fulani kamwe wasipewe nchi wana tamaa sana ya pesa wapo tayari kuuza utu wao mbele ya pesa.

View attachment 2537619
Hivi ile kesi ya akina halima mdee iliishia wapi? Hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasikitisha sana kuona Chadema wanakula matapishi kama tulivyozoea.

Walisema chochote kilichotokana na uchaguzi wa 2020 ni haramu ikiwemo ruzuku.

Sasa wanalamba asali ya mama wanapokea ruzuku mil 800 na inatafunwa kimya kimya pale ufipa Mbowe na kikundi chake kilichojimilikisha chama.

Bado kuwa halalisha wale wabunge 19.
Nyerere aliwahi sema watu fulani fulani kamwe wasipewe nchi wana tamaa sana ya pesa wapo tayari kuuza utu wao mbele ya pesa.

View attachment 2537619
Kwa mtu mwenye Maarifa anaweza kuona kabisa kuwa, hii barua ni ya uongo (haijatoka kwenye chama)
Shukrani kwa muheshimiwa Raisi haziwezi kuchanganywa na mambo mengine ya hovyo hovyo
Hata hivyo, kama Chadema wangepokea Ruzuku kungekuwa na tatizo gani wakati wamesha ridhiana?
 
Kwa mtu mwenye Maarifa anaweza kuona kabisa kuwa, hii barua ni ya uongo (haijatoka kwenye chama)
Shukrani kwa muheshimiwa Raisi haziwezi kuchanganywa na mamboi mengine ya hovyo hovyo
Na hata kama Chadema wangepokea Ruzuku kungekuwa na tatizo gani wakati wamesha Ridhiana?
Kwenye maisha ya kawaida ni sawa ila kwenye mambo ya siasa inakuwa sio sawa. Yaani kosa lako linakuwa ni mtaji kwa mpinzani au mshindani wako.
 
Inasikitisha sana kuona Chadema wanakula matapishi kama tulivyozoea.

Walisema chochote kilichotokana na uchaguzi wa 2020 ni haramu ikiwemo ruzuku.

Sasa wanalamba asali ya mama wanapokea ruzuku mil 800 na inatafunwa kimya kimya pale ufipa Mbowe na kikundi chake kilichojimilikisha chama.

Bado kuwa halalisha wale wabunge 19.
Nyerere aliwahi sema watu fulani fulani kamwe wasipewe nchi wana tamaa sana ya pesa wapo tayari kuuza utu wao mbele ya pesa.

View attachment 2537619

IMG_8397.jpg
 
Inasikitisha sana kuona Chadema wanakula matapishi kama tulivyozoea.

Walisema chochote kilichotokana na uchaguzi wa 2020 ni haramu ikiwemo ruzuku.

Sasa wanalamba asali ya mama wanapokea ruzuku mil 800 na inatafunwa kimya kimya pale ufipa Mbowe na kikundi chake kilichojimilikisha chama.

Bado kuwa halalisha wale wabunge 19.
Nyerere aliwahi sema watu fulani fulani kamwe wasipewe nchi wana tamaa sana ya pesa wapo tayari kuuza utu wao mbele ya pesa.

View attachment 2537619
We mpuuzi unashangaa kwamba CDM wanapokea ruzuku lakini unashindwa kushangaa kwanini walinyimwa?!
 
Inasikitisha sana kuona Chadema wanakula matapishi kama tulivyozoea.

Walisema chochote kilichotokana na uchaguzi wa 2020 ni haramu ikiwemo ruzuku.

Sasa wanalamba asali ya mama wanapokea ruzuku mil 800 na inatafunwa kimya kimya pale ufipa Mbowe na kikundi chake kilichojimilikisha chama.

Bado kuwa halalisha wale wabunge 19.
Nyerere aliwahi sema watu fulani fulani kamwe wasipewe nchi wana tamaa sana ya pesa wapo tayari kuuza utu wao mbele ya pesa.

View attachment 2537619
Kwa hiyo mnataka mkaipokeee badala yao au🤔
 
Wakati wanakataa ruzuku walitujulisha Ila wakati wa kupokea (kula) hatujulishwi hiki chama hovyo sana,mbow.e kwenye hela humuambii kitu
 
Inasikitisha sana kuona Chadema wanakula matapishi kama tulivyozoea.

Walisema chochote kilichotokana na uchaguzi wa 2020 ni haramu ikiwemo ruzuku.

Sasa wanalamba asali ya mama wanapokea ruzuku mil 800 na inatafunwa kimya kimya pale ufipa Mbowe na kikundi chake kilichojimilikisha chama.

Bado kuwa halalisha wale wabunge 19.
Nyerere aliwahi sema watu fulani fulani kamwe wasipewe nchi wana tamaa sana ya pesa wapo tayari kuuza utu wao mbele ya pesa.

View attachment 2537619
Kumbe na chadema nao wanalamba sega la asali kiunyama namna hii.
Hoi nchi ngumu sana walahi😁😁
 
Teh teh teh 😂😂 siasa za Tanzania ni comedy tosha teh teh 😂😂😂....



Cdm wanakula haramu waliyoikataa kimya kimya huku Act wanaizodoa Cdm ambao ni wapinzani wenzao wakati adui yao ni mmoja au kwa kuwa ni sehemu ya serikali huko Zenji ?

JokaKuu zitto junior brazaj
Chadema hawapokei ruzuku mkuu, na Hilo suala lilijadiliwa kwenye maridhiano.
 
Back
Top Bottom