Hahahaaa.
Timbwili liko hivi now, imagine Q chief naye atake kuchua kiti,.. si itakua blood shed???
Kwa taarifa yako msukuma wangu ana pesa mpaka naumwaaaaaw,hizo gari sie tunazo zaidiii,napenda mziki mengine yenu timu kiba,,uje pm nikuoneshee mme wangu alivyo handsome na pesa anayo utanitakaaaaaa,ndio masaa 24 naperuz jamii sina muda wa kuosha vyombo au kupikaaaaq
Kiba na Ti wataimba nn jaman😀😀😀😀 acheni promo za uongo
atambue hakuna mtu mbaya kama mtanzania akikuchoka kwa matendo kukukubali tena ni hadithi aangalie sana.
Ukishangaa ya Kiba na TI utastaajabu ya Shilole na J lo....heheheeeeee!
Hahahaaaaa chezea watu na waume zao wewe???
Taratibu mama lupita nyongo asimvizie....
Chezea shombe shombe beiby...mna visima vya mafuta uarabuni nyiee...
Wakati nipo shule nlikuwa na rafiki shombe shombe ...Kaka yangu akawa ananambia, akitaka tutoroke nimwache atoroke nisimgeze...hata akifeli pesa wanazo...chezea visima vya Mafuta weweee.....
Ngoja wakugeze kushinda humu wafe njaaa..
Araaaaaaaa inaitwa iga ufe ooooh kunya kwa tembo utapasuka mkun.du
Hehehe...hiyo video yao itakua ya ajabu Ti bize anachana mwanakwetu anakata mauno na kushka nanihii maana anapenda sana tna shoping zake anazozifanyia karume mbona atatuaibisha😡:
Hahahaaa...ndo mana me sikugezi shoga angu...nawajua nyieee...
Shoga ni sheeedraaaaaaa leo nililala mapema nimeamka tena,nimekumissijee kule kwa kiba ngoja niende kuna mtu namtafutia ban akinipotezea tu ntaumiajeee