Kumbe Diamond ana nyodo kiasi hiki

Kumbe Diamond ana nyodo kiasi hiki

Makavu Ya Leo: Masikini Akipata ------ Hulia Mbwata, bwana mdogo Diamond mtoto wa Tandale ambae wakati Wema Sepetu anakuwa miss yeye alikuwa anauza mitumba kule Tandale kapata pesa sasa naona makalio yake yanalia Mbwata.

Kama unampenda sana Diamond usipanic endelea kusoma utanielewa tu Diamond amewakera mashabiki ndio maana yamemkuta yale yaliomkuta pale Leaders.

Kijana Diamond alikuwa moja kati ya watu masikini sana nchini, alikuwa ANALALA kwenye mazingira magumu ila leo amediriki kusema kuwa MBEYA HAKUNA HOTELI YENYE HADHI YAKE, hahahaa inachekesha sana. Anasahau kuwa umaarufu wake umekuja kwasababu mashabiki WALIAMUA kumkubali.

Wema Sepetu wakati ana make headlines akiwa Miss Tanzania hakuwa anatambua kuwa pale mitaa ya Tandale kuna kijana anaitwa Nassibu anauza mitumba, na ninaamini hata kama angeonana na Diaomnd kipindi kile HAKIKA asingemuangalia mara mbili.

Ila dogo leo kapata hela anaanza kuleta dharau kwa mashabiki. Dogo ana kauli chafu sana, anapenda kujikweza.

Ukitaka ufanikiwe na ufaidi kuwa msanii bongo hakikisha UNAWAFURAHISHA mashabiki wako mdogo wangu.

Waache watu wakusifie wewe. Kitu ambacho hujui ni kwamba hapa bongo kulikwa na wasanii wakubwa kama akina Mr. Nice lakini walilewa sifa na sasa wanaishia kucheza pool pale Sinza Ambiance na kutia huruma.

Usipoangalia wewe na kaka yako Nice mtakaa kijiwe kimoja na kusema ZAMANI NILIKUWA MAARUFU.

Diamond umekuwa na tabia ya kusema wewe ni maarufu na kukataa mara kadhaa (HATA UKIOMBWA) kufanya show sehemu mbali mbali, unajiona ni msanii wa kufanya SHOO ZA MILL 30, kuna cases kadhaa za wewe kuwatolea nje mashabiki kufanya shoo eti kwa madai unataka hela nyingi.

Unasahau watanzania hawa hawa ndio waliokupigia kura ukapata hizo tuzo na kuwa nominated hata kwenye hizo BET, lakini naona sasa UMEUCHOKA umaarufu wako na uko tayari kuupoteza kwa upuuzi tu usio wa maana.

Kuna mambo mengi sana unakosea kama binadamu ila kuna mengi unayafanya makusudi kwasababu wewe ni LIMBUKENI, kwa mfano suala la kutoka na mabinti kadhaa wa kadhaa kwako umeona kama ni ufahari hivi, kumbe wenzako wanakuona zuzu tu maana huwezi kuwamaliza mabinti wote duniani.

Na kwasababu hiyo ndio maana wanaume wenye akili WAMEMUHONGA WEMA GARI wakasingizia kuwa ni Kadinda ndie alietoa, ukiacha dharau watu watakuheshimu.

Sijui niendelee au niishie hapa?! Aah nikiishia hapa ntakuwa nimekuogopa. Mdogo wangu wewe kimziki sio kwamba uko juu sana kuliko Alikiba, Linex, Barnaba, Ben Paul au hata Lady Jaydee ni kwamba umepata promo nyingi sana kiasi cha mashabiki KUAMUA kukukubali.

Unashangaa watu pale leaders waliamua kukuzomea ni kwasababu watanzania wamechoka na majivuno yako na dharau.

Sasa T.I anataka kufanya collabo na Ali Kiba ile inaonesha dhahiri kuwa wewe BADO.

Anyways kama umemaindi poa ila hayo ni maoni yangu kama SHABIKI na ungekuwa wewe ni chama cha siasa hakika leo ningerudisha kadi yangu ya Uanachama mpaka pale utakapojirekebisha!

Usije ukakonda bure kwa makavu haya. La mwisho Gwanda zile zitakuletea matatizo, inawezekana ulionywa hukusikia jaribu tena uone cha mtema kuni.

Next time hutaitwa Oysterbay watakuficha wenye nazo!


Kama ni suala la kubadili wanawake, hivi haufahamu kuwa Hata Ali Kiba nae ana watoto wanne tena wote sio wa mama mmoja, je hiyo haimaanishi kuwa na yeye anabadilisha wanawake?

Kwanini Ali kiba kama ni msanii mkali hamshindanishi na wasanii wengine wakubwa hapa Tanzania? kwann kila thread hapa JF ni Ali kiba VS Diamond..? hiyo inathibitisha dhahiri kuwa Diamond ni Mkubwa thus why mnatamani ashuke ili Ali Kiba arudi kwenye nafasi yake.
if that is the case sioni haja ya teamkiba kutumia nguvu kuwa kumponda Diamond ili wengine pia wamchukie, kama Ali Kiba ni ni mkali atamfunika tu.
 
Makavu Ya Leo: Masikini Akipata ------ Hulia Mbwata, bwana mdogo Diamond mtoto wa Tandale ambae wakati Wema Sepetu anakuwa miss yeye alikuwa anauza mitumba kule Tandale kapata pesa sasa naona makalio yake yanalia Mbwata.

Kama unampenda sana Diamond usipanic endelea kusoma utanielewa tu Diamond amewakera mashabiki ndio maana yamemkuta yale yaliomkuta pale Leaders.

Kijana Diamond alikuwa moja kati ya watu masikini sana nchini, alikuwa ANALALA kwenye mazingira magumu ila leo amediriki kusema kuwa MBEYA HAKUNA HOTELI YENYE HADHI YAKE, hahahaa inachekesha sana. Anasahau kuwa umaarufu wake umekuja kwasababu mashabiki WALIAMUA kumkubali.

Wema Sepetu wakati ana make headlines akiwa Miss Tanzania hakuwa anatambua kuwa pale mitaa ya Tandale kuna kijana anaitwa Nassibu anauza mitumba, na ninaamini hata kama angeonana na Diaomnd kipindi kile HAKIKA asingemuangalia mara mbili.

Ila dogo leo kapata hela anaanza kuleta dharau kwa mashabiki. Dogo ana kauli chafu sana, anapenda kujikweza.

Ukitaka ufanikiwe na ufaidi kuwa msanii bongo hakikisha UNAWAFURAHISHA mashabiki wako mdogo wangu.

Waache watu wakusifie wewe. Kitu ambacho hujui ni kwamba hapa bongo kulikwa na wasanii wakubwa kama akina Mr. Nice lakini walilewa sifa na sasa wanaishia kucheza pool pale Sinza Ambiance na kutia huruma.

Usipoangalia wewe na kaka yako Nice mtakaa kijiwe kimoja na kusema ZAMANI NILIKUWA MAARUFU.

Diamond umekuwa na tabia ya kusema wewe ni maarufu na kukataa mara kadhaa (HATA UKIOMBWA) kufanya show sehemu mbali mbali, unajiona ni msanii wa kufanya SHOO ZA MILL 30, kuna cases kadhaa za wewe kuwatolea nje mashabiki kufanya shoo eti kwa madai unataka hela nyingi.

Unasahau watanzania hawa hawa ndio waliokupigia kura ukapata hizo tuzo na kuwa nominated hata kwenye hizo BET, lakini naona sasa UMEUCHOKA umaarufu wako na uko tayari kuupoteza kwa upuuzi tu usio wa maana.

Kuna mambo mengi sana unakosea kama binadamu ila kuna mengi unayafanya makusudi kwasababu wewe ni LIMBUKENI, kwa mfano suala la kutoka na mabinti kadhaa wa kadhaa kwako umeona kama ni ufahari hivi, kumbe wenzako wanakuona zuzu tu maana huwezi kuwamaliza mabinti wote duniani.

Na kwasababu hiyo ndio maana wanaume wenye akili WAMEMUHONGA WEMA GARI wakasingizia kuwa ni Kadinda ndie alietoa, ukiacha dharau watu watakuheshimu.

Sijui niendelee au niishie hapa?! Aah nikiishia hapa ntakuwa nimekuogopa. Mdogo wangu wewe kimziki sio kwamba uko juu sana kuliko Alikiba, Linex, Barnaba, Ben Paul au hata Lady Jaydee ni kwamba umepata promo nyingi sana kiasi cha mashabiki KUAMUA kukukubali.

Unashangaa watu pale leaders waliamua kukuzomea ni kwasababu watanzania wamechoka na majivuno yako na dharau.

Sasa T.I anataka kufanya collabo na Ali Kiba ile inaonesha dhahiri kuwa wewe BADO.

Anyways kama umemaindi poa ila hayo ni maoni yangu kama SHABIKI na ungekuwa wewe ni chama cha siasa hakika leo ningerudisha kadi yangu ya Uanachama mpaka pale utakapojirekebisha!

Usije ukakonda bure kwa makavu haya. La mwisho Gwanda zile zitakuletea matatizo, inawezekana ulionywa hukusikia jaribu tena uone cha mtema kuni.

Next time hutaitwa Oysterbay watakuficha wenye nazo!

Nimesoma aya mbili nimegundua huyu aliyeandika huu uzi si mjinga bali ni mpumbavu..hana akili we ulitaka dimond apige shoo za bei ya chini ili iweje..

TANZANIA na umaskini wetu T.i kutoka marekani anakuja kupiga shoo na anachukua hela za watu maskini..asa kwanini msanii wa hapa bongo akichukua pesa ww inakuuma...!!una chuki za kike na za kimaskini..

Ni kheri kuwa mjinga kuliko kuwa Mpumbavu
 
Shoga ni sheeedraaaaaaa leo nililala mapema nimeamka tena,nimekumissijee kule kwa kiba ngoja niende kuna mtu namtafutia ban akinipotezea tu ntaumiajeee

Nimekumiss pia shoga angu...nlikuwa busy for nothing, (najishauaje sasa) ila leo nipo sana...!
Ngoja nije huko kwa Kiba...
 
Nimesoma aya mbili nimegundua huyu aliyeandika huu uzi si mjinga bali ni mpumbavu..hana akili we ulitaka dimond apige shoo za bei ya chini ili iweje..

TANZANIA na umaskini wetu T.i kutoka marekani anakuja kupiga shoo na anachukua hela za watu maskini..asa kwanini msanii wa hapa bongo akichukua pesa ww inakuuma...!!una chuki za kike na za kimaskini..

Ni kheri kuwa mjinga kuliko kuwa Mpumbavu

Na swala la t.I kupiga collabo na kiba inausu nini kila shetan na mbuyu wake mbona usem diamond kawania tuzo Bet au kapiga collabo na wangap ambao kiba ajapiga nao
 
Nawapa mwaka mmoja mtakuja kuniambia kama mtamsikia huyo Diamond maana hatosikika kabisaaa Alikiba now kila mtu anamsaidia maana wameshaona kwa Tanzania mtu wa kupigana na Diamond ni Alikiba na hii yote wanafanya kumuonyesha dunia huwa inabadilika na dharau hazifai.....subirini muone tu....
 
Mwambien boss wenu ahame sinza jaman anatia aibu, ameshindwa hata kukaa masaki kama dada jide? Jide ukisema habar

Bora umesema angekuwa ana hela angekaa sinza kwenye mitaro ya maji machafu......watu wengine bana
 
Nawapa mwaka mmoja mtakuja kuniambia kama mtamsikia huyo Diamond maana hatosikika kabisaaa Alikiba now kila mtu anamsaidia maana wameshaona kwa Tanzania mtu wa kupigana na Diamond ni Alikiba na hii yote wanafanya kumuonyesha dunia huwa inabadilika na dharau hazifai.....subirini muone tu....

Umeshaanza kujipa majukumu ya unabii ...utatabiri sana mwaka huu
 
Kwann kiba asitangulie huko masaki??

Think first before you comment,Uliambiwa Ally kiba ameweka argument zozote au kujitangaza kwamba ana maisha mazuri??nini unachobisha hapo??

Unataka Ally Kiba atangulie wapi??kwanza yeye anajisikia??
 
Umeshaanza kujipa majukumu ya unabii ...utatabiri sana mwaka huu

Kiroho kimekuuma naona si umeshaona dalili mwenyewe,kama mashabiki ndio wanakuweka mjini alafu wanakuzomea unategemea nini???endelea kusema ni utabiri...
 
Mtu yeyote anayeijua kz yake hawezi kukubali kuburuzwa, kwahy hata yeye hawezi kukubali kwa mfano, TI alipwe usd 50m halafu yeye alipwe 1m, huu ni upuuzi, ila kama mmeamua kumjengea fitina ili aonekane wa ovyo kwa kudai malipo yenye kueleweka ni sawa kwa upande wa wapuuzi, lakini sisi wafuatiliaji wa mambo tunapenda kuona wasanii wa kitanzania nao wanafaidika kupitia kazi zao za kisanii, na katika suala la hawa wasanii wawili Diamond na Ali inabidi tuwashindanishe au tuwape sifa kupitia kazi zao ndio tutajua ni nani mkali kati yao na siyo kupitia ushawishi wa nje ya kazi zao.
Waandaaji walitaka akubali dau la wasanii waliojisahau ili wao wapige hela, maana inajulikana kuwa waandaaji wanataka kufaidika zaidi wao na si kuwainua wasanii, ndio maana wasanii wakitoa single 3 tu baaaas ndio imetoka, matokeo wanaendelea kusubiri ugali wa folen kwa wazazi na kupishana nao kwenda chooni, lakin waandaaji wanakula maisha safi kwa upuuzi wa baadhi ya wasanii kujikomba ili wauze sura na si kupata lipato. Inabidi wabadilike waufanye muziki ni kazi yao na si kufanya bora liende, mwenzao mjanja ametumia fursa zilizopo lakini leo hii mnataka kumshusha kwa njia haram, lakin endeleen labda mtafanikiwa waungwana.
Tuendelee kuchangia kwa hoja na si matusi!

Usd 50m??????????????
 
Think first before you comment,Uliambiwa Ally kiba ameweka argument zozote au kujitangaza kwamba ana maisha mazuri??nini unachobisha hapo??

Unataka Ally Kiba atangulie wapi??kwanza yeye anajisikia??

Ile nyumba aliyopost sio kujitangaza kule???

au kujitangaza hadi upite na gari la matangazo mtaani
 
Ile nyumba aliyopost sio kujitangaza kule???

au kujitangaza hadi upite na gari la matangazo mtaani

Pepo la umaskini limekamata bongo za Watanzania wengi, mtu kwa vile anapata mlo mara moja kwa siku akiona Dimond kapost picha anakula kuku anasema anajitangaza...haha halafu akiambiwa unfollow hataki.
 
Back
Top Bottom