Kumbe Diamond Karanga Diamond ni balozi! Mali ni ya Joseph Kusaga

Mbona hizo karanga zilikuwepo hapo nyuma,
Zikiwa chini ya smart industry
Na baadae wakaingia mkataba wa kutumia jina la Diamond na zikaanza kuitwa Diamond karanga,

Kutoka hapo karanga zinauzwa kwa hali ya juu.

Na wala sijawahi kuona siku Diamond amesema ana kiwanda cha karanga.

Analipwa kwa kuvaa uhusika wa owner wa Diamond karanga na hiyo ni fursa aliyoiona.

Sasa wewe usiumie na mambo ya maisha yako umia na mtu anaingiza pesa zake.
 
Diamond huwa anasema : amekuwa Muuza karanga, na atatoa zawadi ya ushindi ya gari au TV, kumbe karanga zenyewe sio zake, Tutakutanaje shell anipe zawadi yangu? Halafu kuna watu husema Tz kuna Tume ya kuzuia michezo ya bahati nasibu, Hivi ni kweli kama mambo yenyewe ni usanii usanii namna hii, nasikia na hii michezo ya Biko, Tatu mzuka ni usanii mtupu, Hao tume wako wapi, Biko ni hao hao clouds
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…