Kumbe Diamond Karanga Diamond ni balozi! Mali ni ya Joseph Kusaga

Kwan kusema Diamond Karanga si mali ya chibu ni kutomtakia mema?
Diamond Jubilee ipo kabla hata mama yake Naseeb hajazaliwa, achilia mbali Diamond Motors na Diamond bank, bila kuisahau Diamond Sound wana Ikinda nkoi.

Mizuzu na misukule ya Naseeb ni hasara na mzigo kwa Taifa.
 
Hata WASAFI sio yake ni ya Ruge, wale watoto na Zari sio wake ni wa Katunzi na Ivan, yule na Hamisa Mabito ni wa Majizo. Nyumba zote anazopiga picha sio zake ni za Le Mutuz. Yaani huyu Diamond ni bure kabisa. Kiki tu kama pikipiki.
 
Wewe za kwako ziko wapi??
 
Mtu anakaa kabisa kusema Diamond afanye maamuzi magumu kuonyesha jinsi gani tulivyo wajinga!.. Hizo karanga hata kama zingekuwa za Ali Kiba sawa tu cha kujiuliza ni Diamond analipwa kiasi gani kuzitangaza!?.
 
Ok nilidhani umeona kipengele cha mkataba
 
Diamond Jubilee ipo kabla hata mama yake Naseeb hajazaliwa, achilia mbali Diamond Motors na Diamond bank, bila kuisahau Diamond Sound wana Ikinda nkoi.

Mizuzu na misukule ya Naseeb ni hasara na mzigo kwa Taifa.
Ila mazombi ya mange kwa kweli ni mizigo na mitumwa ya kudumu.PLS DA MANGE WA JF,HIDE MY ID
 
Mkuu samahani wewe profession yako ni ipi?..Yani kama umesoma ulisomea nini!?
 
Kwa hiyo povu la nini??
Yaani uzi wote huu ni kwamba kumtakia mabaya jamaa, dah! Iwe zake au sio zake kuna tatizo lolote?? Kuna siku yeye alisema ni zake au sio zake??
Wanaume wa kike mnaongezeka kwa kasi ya ajabu sana.
Hahaaa eti wa kike,unakuta janaume zima linakaa ooh DA MANGE.yani unacheeka mpaka basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…