Kumbe Dkt. Mwigulu Nchemba ni mtoa maamuzi Singida Foundation

Kumbe Dkt. Mwigulu Nchemba ni mtoa maamuzi Singida Foundation

kitonsa

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2011
Posts
1,211
Reaction score
2,649
Hii nchi ina siri Sana, aliyekuwa kocha wa Singida Foundation Gate amelalamika kuingiliwa majukumu yake na Waziri wa Fedha, ikapeleka yeye kufanya vibaya katika kazi yake.

Mimi sipo hapa kwenye soka swali langu ni kwamba, kila timu ina mfumo wake wa uongozi, Sasa Waziri wa Fedha ndiye kiongozi mkuu wa timu?

Kama ndiye huyu Waziri mshahara wake unatosha kugharamia kuendesha timu ya ligi kuu.

Screenshot_20230921-065857.png
 
Mbona mo tajili mkubwa analalamika kuusu uendeshaji wa timu , huyu ivyo vibasi na mshahara wake uho unatosha kuendesha timu kubwa?
pesa anatoa wapi?
 
Sio wapambe tu hata yeye aliwahi kukataa. Nchi haina taasisi za maana kuthibiti wezi wakubwa. Inakuwa ni utashi wa rais tu. Ni upumbavu mtupu
Huyu jamaa unaambiwa ananuka ukwasi! Anapata wapi hela zote hizo, hakuna anayejua! Hii nchi inatafunwa aisee!!

Halafu unakuta kuna kima anakuambia eti ulipe kodi kwa ajili ya maendeleo!!
 
Huyu jamaa unaambiwa ananuka ukwasi! Anapata wapi hela zote hizo, hakuna anayejua! Hii nchi inatafunwa aisee!!

Halafu unakuta kuna kima anakuambia eti ulipe kodi kwa ajili ya maendeleo!!
Usisahau kwamba yeye ni waziri wa maokoto
 
Kocha hakusema aliingiliwa majukumu na Mwigulu,alisema baada ya kikao (ambacho Mwigulu hakuwepo),baada ya maamuzi yale ndio kocha aliongea na Mwigulu kujua nini Tatizo.Halafu Mwigulu hamiliki SBS huenda ni mdau tu.Kwani Namungo inamilikiwa na nani?
Mdau kivipi kwenye role ipi. Mimi ni mdau wa Simba, role yangu ni shabiki na mwanachama. Taja role ya Mwigulu kiasi cha kuhusika kwenye maamuzi ya uendeshaji?
 
Mbona mo tajili mkubwa analalamika kuusu uendeshaji wa timu , huyu ivyo vibasi na mshahara wake uho unatosha kuendesha timu kubwa?
pesa anatoa wapi?
Mbona mo tajili mkubwa analalamika kuusu uendeshaji wa timu , huyu ivyo vibasi na mshahara wake uho unatosha kuendesha timu kubwa?
pesa anatoa wapi?
Hii imekuingia sio kwa mapovu haya
Bosi wako ni mwizi na tapeli wa mali za umma
 
Huyu jamaa unaambiwa ananuka ukwasi! Anapata wapi hela zote hizo, hakuna anayejua! Hii nchi inatafunwa aisee!!

Halafu unakuta kuna kima anakuambia eti ulipe kodi kwa ajili ya maendeleo!!
Wanatia sana hasira
 
Mwenye umiliki kwann usiwe na maamuz kweny mali yako?
Wamiliki wa maduka huingia kuuza pale wanapo ona wafanyakazi wanaleta za kuleta. Nashauri mwiguku aende akafundishe wachezaji na kupanga kikosi kwa sababu anaona kocha hafanyi vile anavyotaka
 
Back
Top Bottom