Kumbe Dkt. Mwigulu Nchemba ni mtoa maamuzi Singida Foundation

Kumbe Dkt. Mwigulu Nchemba ni mtoa maamuzi Singida Foundation

Nilisha wahi kusema waziri wa fedha ndiyo kinara wa uwizi wa pesa za serikali halafu hawez kujificha Anaendesha matimu ya mpira tena kwa gharama kubwa why asifanye huko nyuma kabla ya kuwa wazir wa fedha???Hii nchi tunapelekwa wanavyotaka dah Nchemba ni mwiziiiiiiiiij
Jazia nyama Uzi wako .
vinginevyo Mods wana upitia chap
 
Nilisha wahi kusema waziri wa fedha ndiyo kinara wa uwizi wa pesa za serikali halafu hawez kujificha Anaendesha matimu ya mpira tena kwa gharama kubwa why asifanye huko nyuma kabla ya kuwa wazir wa fedha???Hii nchi tunapelekwa wanavyotaka dah Nchemba ni mwiziiiiiiiiij
Tatizo Samia dhaifu sana.
 
Hili mbona liko wazi siku nyingi tu, alikuwa akificha tu lakini nilijua muda ukifika utamuumbua..
 
Back
Top Bottom