OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hoja hapa anaingia kama nani? Alishakana kuhusika na hii timuWamiliki wa maduka huingia kuuza pale wanapo ona wafanyakazi wanaleta za kuleta. Nashauri mwiguku aende akafundishe wachezaji na kupanga kikosi kwa sababu anaona kocha hafanyi vile anavyotaka
Hivi vitimu ni vya kuchepushia mapene ukiwa kwenye position fulani kuna mafungu ya kutosha lazima utafute kitu cha kupitishia mafungu yako ya kimyakimyaHoja hapa anaingia kama nani? Alishakana kuhusika na hii timu
Kocha hakusema aliingiliwa majukumu na Mwigulu,alisema baada ya kikao (ambacho Mwigulu hakuwepo),baada ya maamuzi yale ndiokocha aliongea na Mwigulu kujua nini Tatizo.Halafu Mwigulu hamiliki SBS huenda ni mdau tu.Kwani Namungo inamilikiwa na nani?
vijana wa ccm hawa, hawaelewi harakaHuyu sijui kama ameelewa msingi wa hoja
Mbona ni utaratib wa mda mref kwa timu za bongoYaani apange timu?Kweli mpira wa Tanzania una vituko!
Ni ya family zaoHii nchi ina siri Sana, aliyekuwa kocha wa Singida Foundation Gate amelalamika kuingiliwa majukumu yake na Waziri wa Fedha, ikapeleka yeye kufanya vibaya katika kazi yake.
Mimi sipo hapa kwenye soka swali langu ni kwamba, kila timu ina mfumo wake wa uongozi, Sasa Waziri wa Fedha ndiye kiongozi mkuu wa timu?
Kama ndiye huyu Waziri mshahara wake unatosha kugharamia kuendesha timu ya ligi kuu.
View attachment 2756566
Tukianza evaluation za mali za viongoz nakuhakikishia wote wanamiliki mali tofaut na kipato chao!!pesa anatoa wapi, mshahara wa waziri shi ngap? Mpaka aweze kuendesha timu?
Yule jamaa amejaliwa dharau, kiburi na majivuno. Na huu ni mwanzo tu wa yeye kuanza kuumbuka.Eti alisema hana Biashara hata ya Bajaj
Hili liko Wazi OKWI, yaani Mtu anajulikana ndo mmiliki wa mabasi, mmiliki wa timu Mali zote zina thamani zaidi ya bil.100 Kwa mshahara wa serikali?Sio wapambe tu hata yeye aliwahi kukataa. Nchi haina taasisi za maana kuthibiti wezi wakubwa. Inakuwa ni utashi wa rais tu. Ni upumbavu mtupu
Tulikuwa tunadanganywa zamani siyo Sasa.Kocha hakusema aliingiliwa majukumu na Mwigulu,alisema baada ya kikao (ambacho Mwigulu hakuwepo),baada ya maamuzi yale ndio kocha aliongea na Mwigulu kujua nini Tatizo.Halafu Mwigulu hamiliki SBS huenda ni mdau tu.Kwani Namungo inamilikiwa na nani?
Anatuona NYANI TUMbona mo tajili mkubwa analalamika kuusu uendeshaji wa timu , huyu ivyo vibasi na mshahara wake uho unatosha kuendesha timu kubwa?
pesa anatoa wapi?
Timu ina vyanzo vyake vya mapato ikiwemo viingilio, wadhamini wa timu, wadhamini wa ligi, Azam TV, kuuza wachezaji nkHii nchi ina siri Sana, aliyekuwa kocha wa Singida Foundation Gate amelalamika kuingiliwa majukumu yake na Waziri wa Fedha, ikapeleka yeye kufanya vibaya katika kazi yake.
Mimi sipo hapa kwenye soka swali langu ni kwamba, kila timu ina mfumo wake wa uongozi, Sasa Waziri wa Fedha ndiye kiongozi mkuu wa timu?
Kama ndiye huyu Waziri mshahara wake unatosha kugharamia kuendesha timu ya ligi kuu.
View attachment 2756566
ChapuUzi unafutwa
Duuuuu nchi masikini shida wizi mkubwaaaNilisha wahi kusema waziri wa fedha ndiyo kinara wa uwizi wa pesa za serikali halafu hawez kujificha Anaendesha matimu ya mpira tena kwa gharama kubwa why asifanye huko nyuma kabla ya kuwa wazir wa fedha???Hii nchi tunapelekwa wanavyotaka dah Nchemba ni mwiziiiiiiiiij