Kumbe Dkt. Mwigulu Nchemba ni mtoa maamuzi Singida Foundation

Jamii forum kwa tabia za sasa, huu uzi utakatwa
 
Jazia nyama Uzi wako .
vinginevyo Mods wana upitia chap
 
Tatizo Samia dhaifu sana.
 
Hili mbona liko wazi siku nyingi tu, alikuwa akificha tu lakini nilijua muda ukifika utamuumbua..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…