Kumbe gari ya kampuni?

Kumbe gari ya kampuni?

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
CD28BE1A-2893-4959-8424-818E5AD87A28.jpeg
 
Screenshot_20210716-085657_Instagram.jpg


Kwani zile Scania zilizo agizwa na Azam ni za Azam au Bakheresa.

Ila tunacho shukuru kumbe kweli model yake ni ya 2021,asante kwa kutusaidia hilo.

Tena wameandika WASAFI LIMITED. Sio Wasafi Label wala Media na mchakato mzima wa usafirishaji umesimamiwa na Sallam ambaye meneja wake Diamond.

Tunakushukuru sana kwa hiyo document.
 
Hata kabla hiyo document sijaiona nshajua kuwa kanunua kupitia mgongo wa kampuni. Huwezi kujua hivi vitu kwa vile huna kampuni. Ukiwa na kampuni utayajua haya

Na kwa mujibu wa documents za tcra na brela alizopost baba levo kipindi fulani huko nyuma, Wasafi limited ni kampuni halali ya Mond (80%) na mama yake (20%)! Kwahiyo mmiliki ni yuleyule tu
 
Hata kabla hiyo document sijaiona nshajua kuwa kanunua kupitia mgongo wa kampuni. Huwezi kujua hivi vitu kwa vile huna kampuni. Ukiwa na kampuni utayajua haya

Na kwa mujibu wa documents za tcra na brela alizopost baba levo kipindi fulani huko nyuma, Wasafi limited ni kampuni halali ya Mond (80%) na mama yake (20%)! Kwahiyo mmiliki ni yuleyule tu
F7BEF147-8058-43DC-B934-19A84316AFD1.png
 
Hata kabla hiyo document sijaiona nshajua kuwa kanunua kupitia mgongo wa kampuni. Huwezi kujua hivi vitu kwa vile huna kampuni. Ukiwa na kampuni utayajua haya

Na kwa mujibu wa documents za tcra na brela alizopost baba levo kipindi fulani huko nyuma, Wasafi limited ni kampuni halali ya Mond (80%) na mama yake (20%)! Kwahiyo mmiliki ni yuleyule tu
Faida yake ni ipi ukinunua kupitia kampuni, na mm nijifunze?
 
Back
Top Bottom