Kumbe hata Ulaya hakuna Uhuru wa kutoa Maoni, Wanaounga mkono Hamas na kuikosoa Israel wanapigwa rungu

Kumbe hata Ulaya hakuna Uhuru wa kutoa Maoni, Wanaounga mkono Hamas na kuikosoa Israel wanapigwa rungu

Bila shaka mkoa Pouwa Kabisa.

Nilidhani ni hukuhuku kwetu Mambo ya kupigana rungu la mdomo, kuzibana na kukabana makoo ili Watu wasizungumze labda kuhusu jambo fulani.
Wanaharakati na wapiga domo husemaga nchi yetu na nchi za Afrika hakuna Demokrasia ikiwemo uhuru wa kujieleza na kutoa maoni.

Lakini kumbe hata Ulaya mambo ya kupigana rungu la mdomo yapo. Vita inayoendelea huko Mashariki ya Kati baina ya Israel na Palestina (Hamas) imezifanya nchi za Ulaya kuichana Demokrasia kwa wale ambao wanaiunga Mkono Palestina (Hamas).

Wanahubiri kile wasichokifanya. Na hiyo ni dalili ya Unafiki.
Habari za Karim Benzema na wachezaji wengine walioiunga mkono Hamas( maana yake kuipinga Israel) wamejikuta katika kunyimwa haki zao za kujieleza kama nchi hivyo zinavyojiita nchi za kidemokrasia.

Je hiyo ndio demokrasia?

Kama wanaruhusu mtu kushabikia au kufanya ushoga kwa nini iwe shida mtu kuwa upande wa Hamas? Kama wao wanashabikia Israel kwa nini wawazuie wanaoshabikia Hamas? Je hiyo ndio demokrasia?

Jioni njema
Mkuu nakuaminia, fatilia Kwa makini. Hakuna anayeunga mkono palestina anabugudhiwa, wanaobugudhiwa ni wale wanaounga mkono kikundi Cha kigaidi HAMAS. Ni sawa na uunge mkono alkaida utegemee kuchekewa
 
Bila shaka mkoa Pouwa Kabisa.

Nilidhani ni hukuhuku kwetu Mambo ya kupigana rungu la mdomo, kuzibana na kukabana makoo ili Watu wasizungumze labda kuhusu jambo fulani.
Wanaharakati na wapiga domo husemaga nchi yetu na nchi za Afrika hakuna Demokrasia ikiwemo uhuru wa kujieleza na kutoa maoni.

Lakini kumbe hata Ulaya mambo ya kupigana rungu la mdomo yapo. Vita inayoendelea huko Mashariki ya Kati baina ya Israel na Palestina (Hamas) imezifanya nchi za Ulaya kuichana Demokrasia kwa wale ambao wanaiunga Mkono Palestina (Hamas).

Wanahubiri kile wasichokifanya. Na hiyo ni dalili ya Unafiki.
Habari za Karim Benzema na wachezaji wengine walioiunga mkono Hamas( maana yake kuipinga Israel) wamejikuta katika kunyimwa haki zao za kujieleza kama nchi hivyo zinavyojiita nchi za kidemokrasia.

Je hiyo ndio demokrasia?

Kama wanaruhusu mtu kushabikia au kufanya ushoga kwa nini iwe shida mtu kuwa upande wa Hamas? Kama wao wanashabikia Israel kwa nini wawazuie wanaoshabikia Hamas? Je hiyo ndio demokrasia?

Jioni njema

Wanaupinga Israel kwenye Nini?. Maana Israel ndio kachokozwa. Israel angekaa kimya? Punguza unafiki.
 
Hamas ni magaidi . Wapigwe tu
Na wale wapiganaji wa ANC waliotaka kupewa haki na uhuru kwa nchi iliyokuwa na Ubaguzi na ukandamizaji, wazungu waliwaita magaidi pia. Sisi kama nchi msimamo wetu tangu awali ni kuwaunga mkono Palestina kuondoa ukandamizaji na kuleta uhuru kama tulivyokuwa upande wa ANC. Msilete unafiki, kwamba Afrika kusini ni sawa lakini Paleatina hapana? Kaa sababu ni Waislamu? Haki ni haki tu
 
Bila shaka mkoa Pouwa Kabisa.

Nilidhani ni hukuhuku kwetu Mambo ya kupigana rungu la mdomo, kuzibana na kukabana makoo ili Watu wasizungumze labda kuhusu jambo fulani.
Wanaharakati na wapiga domo husemaga nchi yetu na nchi za Afrika hakuna Demokrasia ikiwemo uhuru wa kujieleza na kutoa maoni.

Lakini kumbe hata Ulaya mambo ya kupigana rungu la mdomo yapo. Vita inayoendelea huko Mashariki ya Kati baina ya Israel na Palestina (Hamas) imezifanya nchi za Ulaya kuichana Demokrasia kwa wale ambao wanaiunga Mkono Palestina (Hamas).

Wanahubiri kile wasichokifanya. Na hiyo ni dalili ya Unafiki.
Habari za Karim Benzema na wachezaji wengine walioiunga mkono Hamas( maana yake kuipinga Israel) wamejikuta katika kunyimwa haki zao za kujieleza kama nchi hivyo zinavyojiita nchi za kidemokrasia.

Je hiyo ndio demokrasia?

Kama wanaruhusu mtu kushabikia au kufanya ushoga kwa nini iwe shida mtu kuwa upande wa Hamas? Kama wao wanashabikia Israel kwa nini wawazuie wanaoshabikia Hamas? Je hiyo ndio demokrasia?

Jioni njema
Unaruhusiwa kutoa maoni yako lakini siyo kushabikia ugaidi au majanga ya kiasili. Ugaidi na majanga ya kiasili, ni calamities ambazo hazitakiwi kupata ushabiki. Una uwezo wa kukosoa au kutoa mawazo yako juu ya namna ya kuyashughulikia lakini siyo kuyashangilia.

Kuwashabikia magaidi na wewe unakuwa sehemu ya magaidi. Na kama ikidhihirika kuwa wewe ni sehemu ya magaidi utashughulikiwa kama magaidi wenyewe.
 
Tofautisha Hamas na pskestina.

Kwa Ulaya Hamas ni magaidi sasa ni nchi gani itaruhusu mwananchi wake awaunge mkono magaidi?

Unachotaka wa kufanya ni kuwaunga mkono Wapalestina na hilo Halina shida. Watu wengi tu wakiwemo Wayahudi wenyewe wanaipinga Usrael na kuunga mkono haki za Wapalestina.

Mo Salah kafanya hivyo bila matatizo yoyote
 
Magaidi kwa vigezo vya nani?,

Madai yao yanasema, wamevamiwa.
Ni kama Urusi anavyoivamia Ukraine ndicho anachokifanya Israel
Inaonesha huna uelewa kabisa wa mambo mengi ya Ulimwengu huu.

Ungekuwa una uelewa japo mdogo sana, kamwe usingeweza kulinganisha Urusi na Israel.

Israel, magaidi wa Hamasi yalirusha makombora nchini Israel na kuua raia hovyo. Kisha magaidi zaisi ya 1,000 ya hamasi yakaingia Israel yakianzia maeneo ya pembezoni, yakaua kila aliyeonekana. Yakafanikiwa kuwaua watu zaidi ya 1,400. Kisha Israel ikayafurusha hayo magaidi na kuyafuata mpaka Gaza ili kuyaangamiza.

Kwa upande wa Urusi, je, kuna kombora lolote lilirushwa na Ukraine kuipiga Urusi? Kuna wapiganaji wowote wa Ukraine waliingia Urusi na kuua raia?

Ulinganisho wako ni sawa na kulinganisha mbaazi na nguruwe.
 
Wanaupinga Israel kwenye Nini?. Maana Israel ndio kachokozwa. Israel angekaa kimya? Punguza unafiki.
We ni katika wale ambao hata hujui sababu ya kinachogombaniwa pale Palestina. Mfano mtu aje akutoe nje ya nyumba yako halafu aikalie kwa nguvu. Ukianza kupambana nae kumtoa kwa nguvu na mashambulizi tutasema umemchokoza? Ile ni ardhi ya wapalestina, israel alikaribishwa tu kwa msaada wa Uingereza, sasa kamfanya mwenzake mkimbizi, hawezi kujitawala, hana mamlaka kwenye nchi yake kwa kutumia nguvu ya kijeshi, kwa msaada wa mataifa wazungu!! Nafikiri ukitaka kuelewa utaelewa
 
Na wale wapiganaji wa ANC waliotaka kupewa haki na uhuru kwa nchi iliyokuwa na Ubaguzi na ukandamizaji, wazungu waliwaita magaidi pia. Sisi kama nchi msimamo wetu tangu awali ni kuwaunga mkono Palestina kuondoa ukandamizaji na kuleta uhuru kama tulivyokuwa upande wa ANC. Msilete unafiki, kwamba Afrika kusini ni sawa lakini Paleatina hapana? Kaa sababu ni Waislamu? Haki ni haki tu
Tanzania tunawaunga mkono Palestine chini ya uongozi wa PLO. Hatuwaungi mkono Hamas

Hata kule SA tulikuwa tuna wsi ha mkono ANC na sio wale waliotangaza wazi kuangamiza Makaburu wote
 
Madai yao unayajua?
Wanasema nchi yao(Palestina) imevamiwa na Wayahudi
Walikuambia hivyo lini? Hakuna nchi inayoitwa Palestina, bali kuna mamlaka ya Palestina, kama ilivyo Zanzibar.

Madai ya Hamas ni kwamba wanalipiza kisasi cha kuvunjwa kwa msikiti wao. Hayo ya nchi umeyatengeneza wewe.
 
Unaruhusiwa kutoa maoni yako lakini siyo kushabikia ugaidi au majanga ya kiasili. Ugaidi na majanga ya kiasili, ni calamities ambazo hazitakiwi kupata ushabiki. Una uwezo wa kukosoa au kutoa mawazo yako juu ya namna ya kuyashughulikia lakini siyo kuyashangilia.

Kuwashabikia magaidi na wewe unakuwa sehemu ya magaidi. Na kama ikidhihirika kuwa wewe ni sehemu ya magaidi utashughulikiwa kama magaidi wenyewe.
Unafikiri kukosoa kwa kutoa maoni ndo utaweza kukomboa nchi iliyokaliwa kimabavu? Kama ni hivyo basi tusingekuwa tumepata uhuru mpaka leo! Akina mkwawa unafikiri walivyokuwa wanapigana na wajerumani walikuwa "magaidi"?
 
Bila shaka mkoa Pouwa Kabisa.

Nilidhani ni hukuhuku kwetu Mambo ya kupigana rungu la mdomo, kuzibana na kukabana makoo ili Watu wasizungumze labda kuhusu jambo fulani.
Wanaharakati na wapiga domo husemaga nchi yetu na nchi za Afrika hakuna Demokrasia ikiwemo uhuru wa kujieleza na kutoa maoni.

Lakini kumbe hata Ulaya mambo ya kupigana rungu la mdomo yapo. Vita inayoendelea huko Mashariki ya Kati baina ya Israel na Palestina (Hamas) imezifanya nchi za Ulaya kuichana Demokrasia kwa wale ambao wanaiunga Mkono Palestina (Hamas).

Wanahubiri kile wasichokifanya. Na hiyo ni dalili ya Unafiki.
Habari za Karim Benzema na wachezaji wengine walioiunga mkono Hamas( maana yake kuipinga Israel) wamejikuta katika kunyimwa haki zao za kujieleza kama nchi hivyo zinavyojiita nchi za kidemokrasia.

Je hiyo ndio demokrasia?

Kama wanaruhusu mtu kushabikia au kufanya ushoga kwa nini iwe shida mtu kuwa upande wa Hamas? Kama wao wanashabikia Israel kwa nini wawazuie wanaoshabikia Hamas? Je hiyo ndio demokrasia?

Jioni njema
Hamas wachokozi, walianza wenyewe, acha wapate walichokuwa wanakitafuta!!
 
England yenyewe inawatu wake waliouawa ma Hamas hiyo jumamos, halafu wanawasaidia nini wakati ndiyo walichokoza nyuki wenyewe?

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania tunawaunga mkono Palestine chini ya uongozi wa PLO. Hatuwaungi mkono Hamas

Hata kule SA tulikuwa tuna wsi ha mkono ANC na sio wale waliotangaza wazi kuangamiza Makaburu wote
Kwenye mapambano ya kudai uhuru lazima kuwe na mpango wa kisiasa na pia mpango wa mapambano ya silaha. Hilo neno ugaidi linatumiwa tu na wazungu kuwapa majina mabaya ili kuficha kile wanachodai.
Rudia mapambano ya Sin Fein kisiasa na IRA kijeshi dhidi ya Uingereza kuikalia kimabavu Ireland ya Kaskazini. Hivyo vyote ni kitu kimoja lakini katika hali mbili tofauti.
Walichokuwa wakifanya IRA ni sawa tu na wanachofanya hamas. Wala hamkuwaita magaidi...au kwa sababu walikuwa ni wa dini ya upande wenu?
 
Back
Top Bottom