Kumbe Hayati Magufuli ilibaki kidogo kumshtaki Karamagi mahakamani?

Kumbe Hayati Magufuli ilibaki kidogo kumshtaki Karamagi mahakamani?

Unaambiwa vyombo vya dola vilishaenda kumchukua kumpeleka kolokoloni kwa ajili ya kujibu tuhuma za kulisababishia Taifa hasara kupitia baadhi ya mikataba ya madini aliyoingia wakati akiwa Waziri akiiwakilisha Serikali.

Inasemwa mzee Mwinyi aliombwa na mmoja ya Viongozi mkuu mstaafu aende kumbembeleza JPM asifanye hivyo kwa sababu ya kumlindia heshima kwa sababu kwa vyovyote vile Karamagi angemtaja boss wake.

Inasemwa Karamagi alishajipanga kumtaja aliyekuwa kiongozi wake kama ndiye aliyemruhusu kuingia mikataba ile na yeye kama Waziri asingekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo ya boss wake.

Ukweli ni kwamba JPM alipingana na mzee Mwinyi kuhusu kumlenga mkuu wa zamani wa mhusika bali lengo alitaka mhusika akajibu yeye kama yeye tuhuma zile baadae Jaji mkuu wa kipindi kile alimshauri JPM asitishe nia yake hiyo kwa sababu kwa vyovyote vile ilikuwa ni lazima mamlaka za uteuzi wa Karamagi zingeguswa na hiyo kesi jambo ambalo katiba ya Nchi inazuia.

Kumbukeni gesi iliyopo Mtwara Tanzania si ya Watanzania.

Nb: Huenda ndiyo JPM alikufa kifo chema!
Kumbukeni gesi iliyopo Mtwara Tanzania si ya Watanzania.[emoji29][emoji29][emoji29][emoji2827]
 
Magufuli alikuwa ni binadamu kama binadamu wengine kitu kilichomgharimu ni kutokuchukua hatua kwa mamlaka za juu za awamu iliyopita.

Hapa kuna kitu nimejifunza ukiwa moto kuwa moto kwelikweli maana hata maandiko yamesema ukiwa vuguvugu huna nafasi katika ufalme wa mbingu.

Na baada ya huyu bwana kutaka kujaribu kuanza kugusa baadhi ya watu na kuacha wengine hapo ndipo alipokosea wale aliowaacha ndio wakamuwahi yeye.
Kwa nini asinge anza na yeye mwenyewe kwa ufisadi wa kugawa nyumba za serikali kwa Sundi (hawara yake) na kwa Musa (mdogo wake) kama kweli alikuwa serious!
 
Kwa mfano, ule mchakato wa KATIBA, kuanzia zile shughuri zilizofanywa na tume ya Warioba, mpaka kuishia Samuel Sitta na Bunge lake, ni gharama kubwa sana.
Matokeo yake, imeishia hivyo hivyo tu! Yaani kirahisi rahisi tu! Hapo ilitakiwa watu wawajibike kwa kuiingiza nchi hasara!
Kwani nani alikwamisha ule mchakato!?
 
Unaambiwa vyombo vya dola vilishaenda kumchukua kumpeleka kolokoloni kwa ajili ya kujibu tuhuma za kulisababishia Taifa hasara kupitia baadhi ya mikataba ya madini aliyoingia wakati akiwa Waziri akiiwakilisha Serikali.

Inasemwa mzee Mwinyi aliombwa na mmoja ya Viongozi mkuu mstaafu aende kumbembeleza JPM asifanye hivyo kwa sababu ya kumlindia heshima kwa sababu kwa vyovyote vile Karamagi angemtaja boss wake.

Inasemwa Karamagi alishajipanga kumtaja aliyekuwa kiongozi wake kama ndiye aliyemruhusu kuingia mikataba ile na yeye kama Waziri asingekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo ya boss wake.

Ukweli ni kwamba JPM alipingana na mzee Mwinyi kuhusu kumlenga mkuu wa zamani wa mhusika bali lengo alitaka mhusika akajibu yeye kama yeye tuhuma zile baadae Jaji mkuu wa kipindi kile alimshauri JPM asitishe nia yake hiyo kwa sababu kwa vyovyote vile ilikuwa ni lazima mamlaka za uteuzi wa Karamagi zingeguswa na hiyo kesi jambo ambalo katiba ya Nchi inazuia.

Kumbukeni gesi iliyopo Mtwara Tanzania si ya Watanzania.

Nb: Huenda ndiyo JPM alikufa kifo chema!

si alishasema mtamkumbuka sku akiondoka
 
Anajiona mjanja Kwa nadharia zake zisizo na kichwa wala miguu!

Wanateseka sana hawa chato gang! Wanafikiri kuendeleza chuki dhidi ya Samia na Kikwete sijui ndo kutamfufua mpuuzi wao?😂😂😂
Kwamwambie jambazi arejeshe gesi yetu ya Mtwara kwanza simbilizi we
 
Watanzania wenzangu tena magreat thinkers hizi ni conspiracies tuziangalie vizuri kwa makini. Maelezo haya yamekaa kishabiki sana kuna kitu yanataka kuvuruga, naona kuna misigano mikubwa ya utawala uliopita na wa sasa wanaocheza hii michezo kuweni makini nchi yetu sio nyepesi tuko vizuri kulinda tunu zetu za Taifa Umoja na mshikamano
hoja hujibiwa kwa hoja..
mambo ya kusema ooh maelezo yamekaa kishabiki sana hiyo ni siasa..
 
Kumbukeni gesi iliyopo Mtwara Tanzania si ya Watanzania.[emoji29][emoji29][emoji29][emoji2827]
Tupe ushahidi kuwa sio ya Watanzania?

Alafu kama sio ya Watanzania kwa nini haya makampuni sasa yanafanya mazungumzo na serikali ya Tanzania ili kuwekeza kiwanda cha kuchakata Gesi? Kama sio ya kwetu si wangeenda tu kufanya mazungumzo na hao ambao ni ya kwao na sio serikali yetu?
 
hoja hujibiwa kwa hoja..
mambo ya kusema ooh maelezo yamekaa kishabiki sana hiyo ni siasa..
Bro hizi ni consipiryacies hiyo iko wazi kabisa na wala hii sio hoja ( opinion ) nakuomba usome kwa makini utaelewa. Mimi sijasema kama ni uongo ila makala ina bias inaonesha kumtukuza flani na kumchafua flani. Nakuambie tu ufahamu kuwa kuna makala zimekaa kiochochezi pale nchi inapopita kwenye changamoto na tatizo lingine tulilonalo watu wanaandika tu vitu hakuna supportive documents kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika. Usipelekwe na upepo wa majungu weka kwanza kwenye ufahamu wako
 
Yesu alidumu miaka mingapi ?? Wakati pilato roho mbaya alidumu mpaka mitume waliofata baada Yesu kufa aliwasulubu na kuwafunga. Hii dunia ukipigania haki lazima ufe mapema.

Martin Luther jr.
Abraham Lincoln
J .F Kennedy.

Wengine simalizii waliotaka kubadili maisha ya watu wakafa.
Pilato hakuwa na roho mbaya,alikua hakimu tu,alipelekewa mmtuhumiwa akahukumu Kama Sheria zilivyotaka
 
Back
Top Bottom