Kumbe Hayati Magufuli ilibaki kidogo kumshtaki Karamagi mahakamani?

Kumbe Hayati Magufuli ilibaki kidogo kumshtaki Karamagi mahakamani?

Kikwete hata akishitakiwa leo atapata watetezi kutoka dunia nzima ! Hii ni kwasababu pamoja na mapungufu yake hayo, hakula pekeake aligawia na wengine wengi tu ispokuwa wachache waliokuwa na mikosi yao! Ukitaka kuja hapa nazungumzia nini fatialia mambo yafuatayo wakati wa awamu ya Kikwete:-
1.Alimwaga ajira kila mwaka, hivyo kila mmoja aliyejibidiisha kusoma alionja matunda ya elimu yake
2.Waulize watumishi walioajiriwa mwaka 2006 wakati ambao Kikwete aliingia madarakani kuna watu walikuwa wanapokea mshahara 145,000, alipoondoka 2015 aliwaacha na mshahara wa 950,000 sawa na ongezeko la asilimia 656% !
3.Wapo waliotengeneza watumishi hewa na wote wakapandishwa hadi madaraja na kulipwa stahiki zao zote
4.Waafunzi mikopo ya elimu ya juu walilipwa hadi wanafunzi hewa!
5.Kuna wizara na taasisi nyingi tu zilianzishwa na watz wengi wakaajiriwa na kukwaa vyeo
6. Hata wapinzani aliwaachia majimbo mengi tu kwa vyama vyote
Kwa ufupi hakuwa mbinafsi sana keki ya Taifa alikula na wengi isipokuwa kila mmoja alikula kulingana na urefu wa kamba yake!
 
Natural death iliyotabiriwa na Lema, Nape, Lissu, hata hapa jf watu walisema mapema kuwa lazima afe!
Wengine wana karama ya unabii akikutabilia kitu huchomoi ila yote tisa mia amani ya nchi yetu lazima iendelee you don't have to miss your water till your well runs dry. Hate turns human into a savage hence he or she can act like an animal
 
Angemsweka jela tuu kucheza na kima ndio maana mpaka leo taifa haliendelei. Kamata huyo fisadi wa kihaya tupa lupango
 
Magufuli kama aliamua kupambana na hao jamaa angepambana nao mwanzo mwisho, kuliko kuwa na nia, uwezo, na sababu lakini akaacha kwa lengo la kuwalinda wastaafu.

Hata kama sheria inawalinda, lakini jamaa wangeweza kwenda mahakamani kama mashahidi, coz sio wao walioshtakiwa, kitendo cha JPM kuwaacha ndio aliharibu, leo wako mitandaoni wanamsema kila siku.

Wangepandishwa kizimbani watoe ushahidi, Karamagi kwenye utetezi wake angewataja, wenye akili timamu wangejua nani alikuwa muhusika mkuu hata kama sheria inamlinda.
Yani wote angewatia jela wote kuanzia na makengeza mpaka huko mwaka 1965 wote tupia jela wameturostisha sana
 
Mwacheni mpendwa JPM apumzike kwa amani na mwacheni mzee wetu, JK aendelee kufurahia maisha ya kustaafu kwake.

Hii tabia ya kuonyesha Mzee Kikwete hakuwa na uhusiano mzuri na Hayati JPM mliifanya na bado mnaifanya licha ya kwamba mmoja hayupo ktk uso wa dunia. Kibaya zaidi ni stories tu za vijiweni zisizo na uthibitisho. Hii ni tabia mbaya na haipendezi kabisa.
Umeongea point tuache JPM apumzike kwa Amani wenye hasira hasa vijana wenzangu tuliomaliza elimu ya juu na kukosa ajira tuna hasira na machungu mengi tusamehe tu yameshapita. Kikundi kinachoeneza propaganda za kupika majungu yao tuyapuuze, vijana tuliokosa ajira tusikonde tupambane na hali zetu tutatoboa licha kusimangwa kila sehemu. Mimi na degree yangu ya political science naangaika kujinasua kwenye mtego huu wa umasikini maana nimetoka familia ya wakulima. Tusieneze chuki kwa viongozi wetu tuwasamehe kwa waliyotokosea
 
Watu Wanasema sasa hivi JK Hachomoi,
....."Hivi nilichomeka wapi?".....
😂 Nakumbuka kipindi hiki, NYUMBU wa ufipa walikuwa wanafurahi Sana eti jpm anatekeleza Sera zao. Over sudden wakabadilika wakamwita dkt UCHWALA na operation UKUTA yao....
 
Nakumbuka dege liliungurumishwa usiku wa manane kwenda kufanya bargain na kiongozi wa juu wa china, kulikuwa na mawili kuingia mkataba wa kinyonyaji hasa huu wa gesi ama prince anyongwe hadharani.

Hii nchi ilichezewa mno wakati wa awamu ya tano.
He.. Awamu ya tano tena?! Content is about what happened in 4th presidential period na wailamu awamu ya tano kivipi mkuu?
 
Umeongea point tuache JPM apumzike kwa Amani wenye hasira hasa vijana wenzangu tuliomaliza elimu ya juu na kukosa ajira tuna hasira na machungu mengi tusamehe tu yameshapita. Kikundi kinachoeneza propaganda za kupika majungu yao tuyapuuze, vijana tuliokosa ajira tusikonde tupambane na hali zetu tutatoboa licha kusimangwa kila sehemu. Mimi na degree yangu ya political science naangaika kujinasua kwenye mtego huu wa umasikini maana nimetoka familia ya wakulima. Tusieneze chuki kwa viongozi wetu tuwasamehe kwa waliyotokosea
Cheti fake ktk ubora wake sijasema ubora wako
 
Cheti fake ktk ubora wake sijasema ubora wako
Nimegundua unaendeshwa na chuki mbaya siwezi kukulaumu maana ndio saikolojia ya jamii tulio nayo sasa hivi, mtu kama wewe niwakupuuza tu mpo wengi sana wenye akili kama zako ambao wanabeba mambo yanayowafulihisha tu. Unasema cheti fake hata hujuwi kukiona kwa macho tu, zaidi ya kuambiwa hujui kama unadanywa au lah.
 
Ulikuwa chawa tuu na mpiga dili hukuwa na maisha
It is ur opinion.Uko sahihi kwakua hupangiwi cha kufikir na kusema ila ungejitahid kupanua akil zako zaid ya unavyopanua mdomo wako ungeweza kuwa na maoni constructive
 
Ulipata maisha wewe wakati ndugu zako walikosa madawa na huduma bora huo ni ubinafsi.
Mkuu mimi sina maisha yoyote.Najaribu tu kuegama kwenye ile kauli maarufu ya "wengi wape" .na mleta maada mwe yewe kakiri kuwa WENGI wanamshadadia kikwete sasa unadhan wanamshadadia bure.? Ni kwakua hao wengi walinufaika.

Upumbavu wa watanzania walio wengi ni KUKAA KIMYA wakat wanaumia.Wanakosa elimu bora, madawa na huduma nyingine nyeti halaf wanaacha wachache wanaoneema kuonekana wengi kwakua wanapaza sauti zao.Sasa mkuu hapo kosa ni la nani.Mnaojihangaisha kila siku kuwatetea wala hawana hata sense ya kujali msaada wanaopatiwa sasa kwann kuendelea kujitesa bure???
 
Unaambiwa vyombo vya dola vilishaenda kumchukua kumpeleka kolokoloni kwa ajili ya kujibu tuhuma za kulisababishia Taifa hasara kupitia baadhi ya mikataba ya madini aliyoingia wakati akiwa Waziri akiiwakilisha Serikali.

Inasemwa mzee Mwinyi aliombwa na mmoja ya Viongozi mkuu mstaafu aende kumbembeleza JPM asifanye hivyo kwa sababu ya kumlindia heshima kwa sababu kwa vyovyote vile Karamagi angemtaja boss wake.

Inasemwa Karamagi alishajipanga kumtaja aliyekuwa kiongozi wake kama ndiye aliyemruhusu kuingia mikataba ile na yeye kama Waziri asingekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo ya boss wake.

Ukweli ni kwamba JPM alipingana na mzee Mwinyi kuhusu kumlenga mkuu wa zamani wa mhusika bali lengo alitaka mhusika akajibu yeye kama yeye tuhuma zile baadae Jaji mkuu wa kipindi kile alimshauri JPM asitishe nia yake hiyo kwa sababu kwa vyovyote vile ilikuwa ni lazima mamlaka za uteuzi wa Karamagi zingeguswa na hiyo kesi jambo ambalo katiba ya Nchi inazuia.

Kumbukeni gesi iliyopo Mtwara Tanzania si ya Watanzania.

Nb: Huenda ndiyo JPM alikufa kifo chema!
JPM walimuua wajanja, Ona sasa la Bagamoyo sijui wamepewa ngapi? Yupo Samia, Ndugai etc etc how do you sell land for 99 years. Wabunge Nadi lini sheria ili matais washitskiwa wakomaliza muda wao. They are very corrupt, Kikwete should be hanged
 
Unaambiwa vyombo vya dola vilishaenda kumchukua kumpeleka kolokoloni kwa ajili ya kujibu tuhuma za kulisababishia Taifa hasara kupitia baadhi ya mikataba ya madini aliyoingia wakati akiwa Waziri akiiwakilisha Serikali.
Kama ambavyo aliweza kumpeleka mahakamani mwanasiasa gani mwingine?!

Kila anayetumia kichwa kufikiri anafahamu JPM alikuwa ana-deal na wafanyabiashara na vitumishi vya umma! HAKUNA Mwanasiasa yeyote from ministerial level aliyewahi kumfikisha mahakamani, na kama yupo MTAJE HAPA!!

Chige's First Corruption Theory states that:-

To every grand corruption, there MUST BE two players to make it happen viz... high profile private sector executives in one hand and high profile politicians and/or top government executives in another hand.

Kwamba, hili Rushwa Kubwa ziweze kufanyika, ni LAZIMA pawe na pande mbili za kuwezesha rushwa hiyo kukamilika... kwa upande mmoja ni lazima pawepo na watendaji kutoka sekta na wanasiasa wakubwa na/au watendaji wakuu wa serikali!

Magu ALWAYS dealt with private sector executives na sio Wanasiasa wenye hadhi ya juu wala Watendaji wakuu wa serikali, na ndo maana katika miaka yake 5 YOTE, hakumgusa Mwanasiasa yeyote... alibaki tu kuishia "...gesi yote imeuzwa", imeuzwa na nani hakuwahi kutaja!

Mara kule kusini mtu ametafuna 20 Billion... Mtaje; HAKUWAHI KUTAJA!

Mara Mkataba wa Bandari ya Bagamoyo ni wa kifisadi... peleka basi mahakamani, hakuna hata mmoja aliyepelekwa!!

Akatangaza hadharani Kangi Lugola na Andengenye wamefanya yao... what happened?! Aliishia tu kuwatoa katika nafasi zao lakini cha ajabu akamrejesha tena Andengenye kwa madai eti ameomba msamaha!!!

Ni ZUZU tu ndie anaweza kudanganyika na Vita Dhidi ya Ufisadi wakati wa JPM!! Hata huyo Makonda ambae Magu mwenyewe alithibitisha kuagiza kontena lenye fenicha na kuzingizia ni vifaa vya walimu, bado alimwacha aendelee kuwa Mkuu wa Mkoa!!

Na hata huyo Kalamagi angeanzia wapi kwa mfano?! Kalamagi ni Swahibu Mkubwa wa Lowassa na Rostam Azizi!!

From nowhere, Rostam Azizi, hatua kwa hatua akaanza kuwa Swahibu wa JPM hadi kumtaka akagombee ubunge Morogoro!!!
 
Mkuu mimi sina maisha yoyote.Najaribu tu kuegama kwenye ile kauli maarufu ya "wengi wape" .na mleta maada mwe yewe kakiri kuwa WENGI wanamshadadia kikwete sasa unadhan wanamshadadia bure.? Ni kwakua hao wengi walinufaika.

Upumbavu wa watanzania walio wengi ni KUKAA KIMYA wakat wanaumia.Wanakosa elimu bora, madawa na huduma nyingine nyeti halaf wanaacha wachache wanaoneema kuonekana wengi kwakua wanapaza sauti zao.Sasa mkuu hapo kosa ni la nani.Mnaojihangaisha kila siku kuwatetea wala hawana hata sense ya kujali msaada wanaopatiwa sasa kwann kuendelea kujitesa bure???
Ukisema inatupwa kizuizini for yesrd
 
HAKUWA NA HIYO NIA...

Chige's First Corruption Theory states that:-

To every grand corruption, there MUST BE two players to make it happen viz... high profile private sector executives in one hand and high profile politicians and/or top government executives in another hand.

Kwamba, hili Rushwa Kubwa ziweze kufanyika, ni LAZIMA pawe na pande mbili za kuwezesha rushwa hiyo kukamilika... kwa upande mmoja ni lazima pawepo na watendaji kutoka sekta na wanasiasa wakubwa na/au watendaji wakuu wa serikali!

Magu ALWAYS dealt with private sector executives na sio Wanasiasa wenye hadhi ya juu wala Watendaji wakuu wa serikali, na ndo maana katika miaka yake 5 YOTE, hakumgusa Mwanasiasa yeyote... alibaki tu kuishia "...gesi yote imeuzwa", imeuzwa na nani hakuwahi kutaja!

Mara kule kusini mtu ametafuna 20 Billion... Mtaje; HAKUWAHI KUTAJA!

Mara Mkataba wa Bandari ya Bagamoyo ni wa kifisadi... peleka basi mahakamani, hakuna hata mmoja aliyepelekwa!!

Akatangaza hadharani Kangi Lugola na Andengenye wamefanya yao... what happened?! Aliishia tu kuwatoa katika nafasi zao lakini cha ajabu akamrejesha tena Andengenye kwa madai eti ameomba msamaha!!!

Ni ZUZU tu ndie anaweza kudanganyika na Vita Dhidi ya Ufisadi wakati wa JPM!! Hata huyo Makonda ambae Magu mwenyewe alithibitisha kuagiza kontena lenye fenicha na kuzingizia ni vifaa vya walimu, bado alimwacha aendelee kuwa Mkuu wa Mkoa!!

Na hata huyo Kalamagi angeanzia wapi kwa mfano?! Kalamagi ni Swahibu Mkubwa wa Lowassa na Rostam Azizi!!

From nowhere, Rostam Azizi, hatua kwa hatua akaanza kuwa Swahibu wa JPM hadi kumtaka akagombee ubunge Morogoro!!!
Ona Samia, yale yale. Hii sheria ya kuakong matais mani walipitisha? It is terrible. Samia will bankrupt Bongo na yeye arudi Zanzibar kwao.
 
HAKUWA NA HIYO NIA...

Chige's First Corruption Theory states that:-

To every grand corruption, there MUST BE two players to make it happen viz... high profile private sector executives in one hand and high profile politicians and/or top government executives in another hand.

Kwamba, hili Rushwa Kubwa ziweze kufanyika, ni LAZIMA pawe na pande mbili za kuwezesha rushwa hiyo kukamilika... kwa upande mmoja ni lazima pawepo na watendaji kutoka sekta na wanasiasa wakubwa na/au watendaji wakuu wa serikali!

Magu ALWAYS dealt with private sector executives na sio Wanasiasa wenye hadhi ya juu wala Watendaji wakuu wa serikali, na ndo maana katika miaka yake 5 YOTE, hakumgusa Mwanasiasa yeyote... alibaki tu kuishia "...gesi yote imeuzwa", imeuzwa na nani hakuwahi kutaja!

Mara kule kusini mtu ametafuna 20 Billion... Mtaje; HAKUWAHI KUTAJA!

Mara Mkataba wa Bandari ya Bagamoyo ni wa kifisadi... peleka basi mahakamani, hakuna hata mmoja aliyepelekwa!!

Akatangaza hadharani Kangi Lugola na Andengenye wamefanya yao... what happened?! Aliishia tu kuwatoa katika nafasi zao lakini cha ajabu akamrejesha tena Andengenye kwa madai eti ameomba msamaha!!!

Ni ZUZU tu ndie anaweza kudanganyika na Vita Dhidi ya Ufisadi wakati wa JPM!! Hata huyo Makonda ambae Magu mwenyewe alithibitisha kuagiza kontena lenye fenicha na kuzingizia ni vifaa vya walimu, bado alimwacha aendelee kuwa Mkuu wa Mkoa!!

Na hata huyo Kalamagi angeanzia wapi kwa mfano?! Kalamagi ni Swahibu Mkubwa wa Lowassa na Rostam Azizi!!

From nowhere, Rostam Azizi, hatua kwa hatua akaanza kuwa Swahibu wa JPM hadi kumtaka akagombee ubunge Morogoro!!!
Hii nondo inasummarize usanii wa serikali ya Mwendazake
 
Back
Top Bottom