Kumbe Hayati Magufuli ilibaki kidogo kumshtaki Karamagi mahakamani?

Kumbe Hayati Magufuli ilibaki kidogo kumshtaki Karamagi mahakamani?

Watanzania wenzangu tena magreat thinkers hizi ni conspiracies tuziangalie vizuri kwa makini. Maelezo haya yamekaa kishabiki sana kuna kitu yanataka kuvuruga, naona kuna misigano mikubwa ya utawala uliopita na wa sasa wanaocheza hii michezo kuweni makini nchi yetu sio nyepesi tuko vizuri kulinda tunu zetu za Taifa Umoja na mshikamano
Hii tunu ndo inayotutia vidole watanzania tunaonekana wengine fisi na wengine sungura ,siku zote fisi ni mjinga na sungura yeye ni mjanja sasa ipo siku isiyokuwa na jina.
 
Magufuli kama aliamua kupambana na hao jamaa angepambana nao mwanzo mwisho, kuliko kuwa na nia, uwezo, na sababu lakini akaacha kwa lengo la kuwalinda wastaafu.

Hata kama sheria inawalinda, lakini jamaa wangeweza kwenda mahakamani kama mashahidi, coz sio wao walioshtakiwa, kitendo cha JPM kuwaacha ndio aliharibu, leo wako mitandaoni wanamsema kila siku.

Wangepandishwa kizimbani watoe ushahidi, Karamagi kwenye utetezi wake angewataja, wenye akili timamu wangejua nani alikuwa muhusika mkuu hata kama sheria inamlinda.
Mkuu hujaielewa vizuri hoja ya mleta mada! Ukisoma mistari ya chini hapo kuna statement inasema, aliitwa hadi aliyekuwa jaji mkuu wa wakati huo ili kutoa ushauri naye akashauri kesi isifunguliwe! Hapo ni kwamba jaji mwenyewe alijiridhisha kuwa kama kesi hiyo ingefunguliwa basi mkono wa sheria usingeiacha salama mamlaka ya uteuzi wa Karamagi!
Mfano hata wewe kama uliua mtu mwaka 2010, ukaja kukamatwa leo na katika utetezi ukaja kumtaja alokutuma au mliyeshirikiana nae kufanya hivyo, sheria haitamuacha salama!
Hivyo kama hayo ni ya kweli basi kesi hii ilizimwa kuepusha shari kwani ni lazma wangeguswa watu nyeti!
 
Ndo mana kila siku mnaua vikongwe huko kwenu kwa kuwatuhumu wachawi kwa sababu tu wana macho mekundu na hamna ushahidi

Nyie watu washamba sana Kwa kweli! Tangu lini Corona iliwavumilia walioiletea dharau?

Kamuulize Nkurunziza
We mbona hujafa swine
 
Bro hizi ni consipiryacies hiyo iko wazi kabisa na wala hii sio hoja ( opinion ) nakuomba usome kwa makini utaelewa. Mimi sijasema kama ni uongo ila makala ina bias inaonesha kumtukuza flani na kumchafua flani. Nakuambie tu ufahamu kuwa kuna makala zimekaa kiochochezi pale nchi inapopita kwenye changamoto na tatizo lingine tulilonalo watu wanaandika tu vitu hakuna supportive documents kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika. Usipelekwe na upepo wa majungu weka kwanza kwenye ufahamu wako
Unaelewa maana ya 'where we dare to talk openly?'
 
Unaambiwa vyombo vya dola vilishaenda kumchukua kumpeleka kolokoloni kwa ajili ya kujibu tuhuma za kulisababishia Taifa hasara kupitia baadhi ya mikataba ya madini aliyoingia wakati akiwa Waziri akiiwakilisha Serikali.

Inasemwa mzee Mwinyi aliombwa na mmoja ya Viongozi mkuu mstaafu aende kumbembeleza JPM asifanye hivyo kwa sababu ya kumlindia heshima kwa sababu kwa vyovyote vile Karamagi angemtaja boss wake.

Inasemwa Karamagi alishajipanga kumtaja aliyekuwa kiongozi wake kama ndiye aliyemruhusu kuingia mikataba ile na yeye kama Waziri asingekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo ya boss wake.

Ukweli ni kwamba JPM alipingana na mzee Mwinyi kuhusu kumlenga mkuu wa zamani wa mhusika bali lengo alitaka mhusika akajibu yeye kama yeye tuhuma zile baadae Jaji mkuu wa kipindi kile alimshauri JPM asitishe nia yake hiyo kwa sababu kwa vyovyote vile ilikuwa ni lazima mamlaka za uteuzi wa Karamagi zingeguswa na hiyo kesi jambo ambalo katiba ya Nchi inazuia.

Kumbukeni gesi iliyopo Mtwara Tanzania si ya Watanzania.

Nb: Huenda ndiyo JPM alikufa kifo chema!
Si kweli JPM hakuwa dhaifu kiasi hicho akiamua lake lazima liwe hata ashauriwe na nani katu habadiriki.
 
Hii tunu ndo inayotutia vidole watanzania tunaonekana wengine fisi na wengine sungura ,siku zote fisi ni mjinga na sungura yeye ni mjanja sasa ipo siku isiyokuwa na jina.
Kijana punguza hasira ukizidiwa kunywa maji utulize moyo wako. Usipige ramli za vitisho wakati hujawahi hata kusikia mlio wa mzinga, kama una nia njema na taifa lako toa maoni majukwaa yapo mengi sana watu watakusoma, andika vitabu vya comic kuelimisha watu hata viongozi wajifunze kutenda haki na uzalendo lakini kuoneza chuki tutalibomoa taifa letu vipandevipande
 
Nakumbuka dege liliungurumishwa usiku wa manane kwenda kufanya bargain na kiongozi wa juu wa china, kulikuwa na mawili kuingia mkataba wa kinyonyaji hasa huu wa gesi ama prince anyongwe hadharani.

Hii nchi ilichezewa mno wakati wa awamu ya tano.
Kama mna ubavu wafungulieni kesi ya uhujumu uchumi na utakatishaji fedha. Hakuna haja ya kulia lia humu.
 
Unaelewa maana ya 'where we dare to talk openly?'
Naelewa vizuri sana lakini haimanishi kila kinachosemwa ni ukweli, we don't have to believe in every thing we hear until we prove them to be worthwhile. Kuna makala you must read between the lines zingine zinakuwa kimajungu kwa sababu ni kitu tunapenda
 
Kijana punguza hasira ukizidiwa kunywa maji utulize moyo wako. Usipige ramli za vitisho wakati hujawahi hata kusikia mlio wa mzinga, kama una nia njema na taifa lako toa maoni majukwaa yapo mengi sana watu watakusoma, andika vitabu vya comic kuelimisha watu hata viongozi wajifunze kutenda haki na uzalendo lakini kuoneza chuki tutalibomoa taifa letu vipandevipande
Acha libomoke
 
Unaambiwa vyombo vya dola vilishaenda kumchukua kumpeleka kolokoloni kwa ajili ya kujibu tuhuma za kulisababishia Taifa hasara kupitia baadhi ya mikataba ya madini aliyoingia wakati akiwa Waziri akiiwakilisha Serikali.

Inasemwa mzee Mwinyi aliombwa na mmoja ya Viongozi mkuu mstaafu aende kumbembeleza JPM asifanye hivyo kwa sababu ya kumlindia heshima kwa sababu kwa vyovyote vile Karamagi angemtaja boss wake.

Inasemwa Karamagi alishajipanga kumtaja aliyekuwa kiongozi wake kama ndiye aliyemruhusu kuingia mikataba ile na yeye kama Waziri asingekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo ya boss wake.

Ukweli ni kwamba JPM alipingana na mzee Mwinyi kuhusu kumlenga mkuu wa zamani wa mhusika bali lengo alitaka mhusika akajibu yeye kama yeye tuhuma zile baadae Jaji mkuu wa kipindi kile alimshauri JPM asitishe nia yake hiyo kwa sababu kwa vyovyote vile ilikuwa ni lazima mamlaka za uteuzi wa Karamagi zingeguswa na hiyo kesi jambo ambalo katiba ya Nchi inazuia.

Kumbukeni gesi iliyopo Mtwara Tanzania si ya Watanzania.

Nb: Huenda ndiyo JPM alikufa kifo chema!
Mwacheni mpendwa JPM apumzike kwa amani na mwacheni mzee wetu, JK aendelee kufurahia maisha ya kustaafu kwake.

Hii tabia ya kuonyesha Mzee Kikwete hakuwa na uhusiano mzuri na Hayati JPM mliifanya na bado mnaifanya licha ya kwamba mmoja hayupo ktk uso wa dunia. Kibaya zaidi ni stories tu za vijiweni zisizo na uthibitisho. Hii ni tabia mbaya na haipendezi kabisa.
 
Unaambiwa vyombo vya dola vilishaenda kumchukua kumpeleka kolokoloni kwa ajili ya kujibu tuhuma za kulisababishia Taifa hasara kupitia baadhi ya mikataba ya madini aliyoingia wakati akiwa Waziri akiiwakilisha Serikali.

Inasemwa mzee Mwinyi aliombwa na mmoja ya Viongozi mkuu mstaafu aende kumbembeleza JPM asifanye hivyo kwa sababu ya kumlindia heshima kwa sababu kwa vyovyote vile Karamagi angemtaja boss wake.

Inasemwa Karamagi alishajipanga kumtaja aliyekuwa kiongozi wake kama ndiye aliyemruhusu kuingia mikataba ile na yeye kama Waziri asingekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo ya boss wake.

Ukweli ni kwamba JPM alipingana na mzee Mwinyi kuhusu kumlenga mkuu wa zamani wa mhusika bali lengo alitaka mhusika akajibu yeye kama yeye tuhuma zile baadae Jaji mkuu wa kipindi kile alimshauri JPM asitishe nia yake hiyo kwa sababu kwa vyovyote vile ilikuwa ni lazima mamlaka za uteuzi wa Karamagi zingeguswa na hiyo kesi jambo ambalo katiba ya Nchi inazuia.

Kumbukeni gesi iliyopo Mtwara Tanzania si ya Watanzania.

Nb: Huenda ndiyo JPM alikufa kifo chema!
Sukuma gang mnaunga unga tu story,mkapa alitajwa na balozi mahalu kuhusu nyumba ya ubalozi italy so cha ajabu ni kipi rais ana kinga ujue
 
Unaweza kukuta mzee alikufa natural death sema approach yake ya uongozi imefanya watu kuleta speculation. Ila kama ni msomi mzuri huwezi kubeba haya matakataka maana alieandika anajua anakifanya anajua wabongo tunapenda majungu. Ogopa plotting conspiracy kama hizi huwa zinazaa kitu kibaya Sana. Zikemee na elimisha watu wanaoziamini
Natural death iliyotabiriwa na Lema, Nape, Lissu, hata hapa jf watu walisema mapema kuwa lazima afe!
 
Wakati mtawala fulani anafanya atakayo, kutenza nguvu, kuonea, kugawa vibaya keki ya taifa na mengine mabaya zaidi ya hayo; Tuliambiwa tukae kimya tumuache anyooshe nchi! kanyoosha katuachia deni la matrilioni na uchumi ulioparaganyika na vitumbo vya usaha!
Sasa naona hamtaki kutunza hiyo principle, mnatulazimisha tufunguke ya awamu ya tano! Amini hapatakalika hapa!
 
Back
Top Bottom