Kumbe Hayati Magufuli ilibaki kidogo kumshtaki Karamagi mahakamani?

Kama JPM alimuona Karamagi kuwa si muadilifu ilikuwaje akamuachia aendelee na kampuni yake ya kushusha makontena bandarini? 🤔
 
Ila Kikwete alituharibia nchi sana, nashangaa sana watu wanaomshadadia
Si Kikwete Bali ccm maana walishaambiwa kuwa huyo Jamaa maadili ni zero . Ndo maana Mama anapoteza credit kwa kutaka Huyu Jamaa kujihusishahusisha na mambo ya nchi
 
Kaka adengenye sasa hivi ni mkuu wa mkoa wa Kigoma anakula tu mgebuka na ugali wa muhogo. Tatizo lilianzia pale kiongozi flani alianza kujenga image yake mwenyewe ya utakatifu na kama unavyojua tabia zetu watu weusi wale delegated kalibu wote wakabadilika wakageuka machawa. Rejea report ya CAG na upotevu wa 1.5tr mkulu alivyochimba mikwala lakini ma opportunist walioendelea kuimba nyimbo za sifa na kuabudu akina makonda mpaka kuweka plate number za serikalii kwenye magari yao binafsi. Ufisadi ni kitu kigumu sana vita yake sio ya maigizo unapaswa kuwa committed haswa
 
Nyie watu wa ajabu sana. Magufuli mwenyewe alikuwa mwizi kupindukia tatizo ni kwamba alitaka abakie anaiba peke yake.

Ila kwa umbumbumbu wenu mnamuona alikuwa anatetea wanyonge wa Tanzania.
 
Huenda niki ni cheti fake ama ndugu yake alikuwa cheti fake na ndiyo maana hiki cheti fake huwa kina hasira mbaya sana na Dk wa vyeti fake bwana JPM.

Vipi cheti fake umesharejeshwa kazini baada ya wenye roho nzuri kuingia madarakani?
Sawa cheti feki siyo huyo wa kwanza wako wengi tu. Hata yeye mwenyewe Magufuli PhD yake ilikuwa feki ndiyo maana alimuua Ben Saanane alipohoji. Na mwanaye Bashite naye alifoji jina la Makonda.

Leta hoja nyingine
 
Upuuzi tu mikataba ya hovyo ya madini na nishati imesainiwa tangu wakati wa mwinyi wakati huo magufuli BADO mshamba tu
 
Ila Kikwete alituharibia nchi sana, nashangaa sana watu wanaomshadadia
Sema ccm

unakumbuka mwinyi na mkwewe waliyo totosha dhahabu, mrema anajua

unaikumbuka kashfa ya Chavda??

Unajua mbuga ya loriondo iliiuzwa wakati gani?

Unajua kuwa loriondo iliuzwa wakati gani

Baada ya kuondoka Mwalimu awami zote zimefanya ufisadi wa kutisha
 
Nakumbuka dege liliungurumishwa usiku wa manane kwenda kufanya bargain na kiongozi wa juu wa china, kulikuwa na mawili kuingia mkataba wa kinyonyaji hasa huu wa gesi ama prince anyongwe hadharani.

Hii nchi ilichezewa mno wakati wa awamu ya tano.
Awami zote ccm haifai
 
Kwenye Richmond, Lowassa alimuuliza JK... "kuna kipi nilifanya ambacho ulikuwa hujui?"

Anyways, hakuna jambo kubwa serikali inafanya bila Cabinet kulipitia na kujadili. Karamagi asingeweza kusaini mikataba ya madini na makampuni huko nje bila Rais na Cabinet kuwa na taarifa.
 
Huwa nafikiri nchi hii iingie vitani Kwanza halafu tuanze upya ustaarabu
 
Tukibadili katiba tutaanza na yule kikongwe, kaburi la mkapa, kaburi la chato na mkwere pia wote tutawanyonga na vibaraka wao,
 
CCM ni ukoo wa panya wote majizi
 

..Magu angemshtaki vipi Karamagi wakati alishaanza kula na Rostam Aziz?
 
Magufuli kama aliamua kupambana na hao jamaa angepambana nao mwanzo mwisho, kuliko kuwa na nia, uwezo, na sababu lakini akaacha kwa lengo la kuwalinda wastaafu.
Nilimkubali Magufuli kwa baadhi ya mambo aliyosimamia na kuyafanya; lakini kulialia kila siku kuwa nchi imechezewa sana huku akishindwa kuwachukulia hatua hao waliochezea nchi naye alionekana mbabaishaji na mpigaji kama waliomtangulia.

Hii nchi haiwezi kunyooka bila kuongozwa kijeshi japo kwa miaka miwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…