Kumbe Hayati Magufuli ilibaki kidogo kumshtaki Karamagi mahakamani?

Kumbe Hayati Magufuli ilibaki kidogo kumshtaki Karamagi mahakamani?

kama jabali sasa angepambania aishi milele, watu wenye roho mbaya huwa hawadumu ktk dunia
Yesu alidumu miaka mingapi ?? Wakati pilato roho mbaya alidumu mpaka mitume waliofata baada Yesu kufa aliwasulubu na kuwafunga. Hii dunia ukipigania haki lazima ufe mapema.

Martin Luther jr.
Abraham Lincoln
J .F Kennedy.

Wengine simalizii waliotaka kubadili maisha ya watu wakafa.
 
Kwa mfano, ule mchakato wa KATIBA, kuanzia zile shughuri zilizofanywa na tume ya Warioba, mpaka kuishia Samuel Sitta na Bunge lake, ni gharama kubwa sana.
Matokeo yake, imeishia hivyo hivyo tu! Yaani kirahisi rahisi tu! Hapo ilitakiwa watu wawajibike kwa kuiingiza nchi hasara!
Kaka uwajibikaji sio utamaduni wetu kuanzia taasisi ndogo kabisa ya familia mpaka juu kwenye ngazi za taifa. Kama kiongozi anaweza kuvunja katiba na asiwajibishwe na hata bunge kumsema kweli unafikilia kuna uwajibikaji hapo. Vijana magreat thinkers tufanye tafiti na kuandika paper nyingi juu ya hitaji la katiba mpya
 
Unaambiwa vyombo vya dola vilishaenda kumchukua kumpeleka kolokoloni kwa ajili ya kujibu tuhuma za kulisababishia Taifa hasara kupitia baadhi ya mikataba ya madini aliyoingia wakati akiwa Waziri akiiwakilisha Serikali.

Inasemwa mzee Mwinyi aliombwa na mmoja ya Viongozi mkuu mstaafu aende kumbembeleza JPM asifanye hivyo kwa sababu ya kumlindia heshima kwa sababu kwa vyovyote vile Karamagi angemtaja boss wake.

Inasemwa Karamagi alishajipanga kumtaja aliyekuwa kiongozi wake kama ndiye aliyemruhusu kuingia mikataba ile na yeye kama Waziri asingekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo ya boss wake.

Ukweli ni kwamba JPM alipingana na mzee Mwinyi kuhusu kumlenga mkuu wa zamani wa mhusika bali lengo alitaka mhusika akajibu yeye kama yeye tuhuma zile baadae Jaji mkuu wa kipindi kile alimshauri JPM asitishe nia yake hiyo kwa sababu kwa vyovyote vile ilikuwa ni lazima mamlaka za uteuzi wa Karamagi zingeguswa na hiyo kesi jambo ambalo katiba ya Nchi inazuia.

Kumbukeni gesi iliyopo Mtwara Tanzania si ya Watanzania.

Nb: Huenda ndiyo JPM alikufa kifo chema!
Hoja yako imenipa nadharia moja:

"Conspiracy" on the (mysterious?) death of JPM. A coordinated plan or mere coincidence?

Ipo siku, hata kama ni miaka kadhaa ijayo, itafahamika. Ila kwa sasa ni mawazo tu yasiyokuwa na maana.
 
kkwite mungu atamdil ,pwani ya mtwara kauza,bagamoyo kauza.katiba huenda ndo inayotufilisi na kututia umaskini .mtu anauza kila kitu akijua katiba inamlinda anakinga ya kutokuwajibishwa!!
 
Nchi hii ili ikae sawa inabd vizazi fulani viteketezwe kabisa

Ova
Una mawazo mabaya kama mchawi, wewe kama nani unuwie kuteketeza wenzako angali hujalifanyia lolote taifa lako. Umelitolea nini taifa lako ambacho wengine wameshindwa pengine hata baba yako hakuwa kulifanyia chochote cha maana nchi hii. Waliotoa damu yao kwenye uwanja vita kuifia nchi wasemeje. Acha kwenda na upepo wa conspiracy kueneza chuki madhara yake nimekubwa kuliko faida
 
Hoja yako imenipa nadharia moja:

"Conspiracy" on the (mysterious?) death of JPM. A coordinated plan or mere coincidence?

Ipo siku, hata kama ni miaka kadhaa ijayo, itafahamika. Ila kwa sasa ni mawazo tu yasiyokuwa na maana.
Unaweza kukuta mzee alikufa natural death sema approach yake ya uongozi imefanya watu kuleta speculation. Ila kama ni msomi mzuri huwezi kubeba haya matakataka maana alieandika anajua anakifanya anajua wabongo tunapenda majungu. Ogopa plotting conspiracy kama hizi huwa zinazaa kitu kibaya Sana. Zikemee na elimisha watu wanaoziamini
 
Una mawazo mabaya kama mchawi, wewe kama nani unuwie kuteketeza wenzako angali hujalifanyia lolote taifa lako. Umelitolea nini taifa lako ambacho wengine wameshindwa pengine hata baba yako hakuwa kulifanyia chochote cha maana nchi hii. Waliotoa damu yao kwenye uwanja vita kuifia nchi wasemeje. Acha kwenda na upepo wa conspiracy kueneza chuki madhara yake nimekubwa kuliko faida
Basi itungwe sheria ya kunyonga mtu akipatikana akikutwa anafanya ufisadi
Ila bila hivyo upigaji uwizi hautaisha

Ova
 
Unaweza kukuta mzee alikufa natural death sema approach yake ya uongozi imefanya watu kuleta speculation. Ila kama ni msomi mzuri huwezi kubeba haya matakataka maana alieandika anajua anakifanya anajua wabongo tunapenda majungu. Ogopa plotting conspiracy kama hizi huwa zinazaa kitu kibaya Sana. Zikemee na elimisha watu wanaoziamini
Naam mkuu ndo maana nikasema ni mawazo yasiyo na maana.
 
Hii inaonyesha Magufuli hakuwa na nia ya dhati ya kupambana na ufisadi, kama kweli alikuwa na dhamira isiyoyumba kwa nini sasa asikilize maneno ya mtu?

Halafu Kama Magufuli angemfunga Karamagi basi Karamagi asingekuwa waziri wa kwanza kufungwa
1. Mkapa alimfunga waziri wa Mwinyi Nalaila Kiula.
2. Kikwete alimfunga waziri wa Mkapa Daniel Yona

Sasa kitu gani kilimfanya Magufuli ashindwe kumfunga waziri wa Kikwete?

Hata akina Kikwete walipokuwa marais wangetaka kumtia ndani Magufuli wangeshindwa? - Maana Magufuli naye alikuwa na kashfa ya kuuza nyumba za serikali bila kufuata taratibu, hadi kimchepuko chake inasemekana alikitengenezea namna wa kupata nyumba kinyume cha utaratibu
 
Unaambiwa vyombo vya dola vilishaenda kumchukua kumpeleka kolokoloni kwa ajili ya kujibu tuhuma za kulisababishia Taifa hasara kupitia baadhi ya mikataba ya madini aliyoingia wakati akiwa Waziri akiiwakilisha Serikali.

Inasemwa mzee Mwinyi aliombwa na mmoja ya Viongozi mkuu mstaafu aende kumbembeleza JPM asifanye hivyo kwa sababu ya kumlindia heshima kwa sababu kwa vyovyote vile Karamagi angemtaja boss wake.

Inasemwa Karamagi alishajipanga kumtaja aliyekuwa kiongozi wake kama ndiye aliyemruhusu kuingia mikataba ile na yeye kama Waziri asingekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo ya boss wake.

Ukweli ni kwamba JPM alipingana na mzee Mwinyi kuhusu kumlenga mkuu wa zamani wa mhusika bali lengo alitaka mhusika akajibu yeye kama yeye tuhuma zile baadae Jaji mkuu wa kipindi kile alimshauri JPM asitishe nia yake hiyo kwa sababu kwa vyovyote vile ilikuwa ni lazima mamlaka za uteuzi wa Karamagi zingeguswa na hiyo kesi jambo ambalo katiba ya Nchi inazuia.

Kumbukeni gesi iliyopo Mtwara Tanzania si ya Watanzania.

Nb: Huenda ndiyo JPM alikufa kifo chema!
Id mpya ya kimkakati dhidi ya Samia na January

Naona unaendeleza tu nadharia zako humu!

Polee sana! Samia ndo Rais wako hadi 2030 utake usitake.

Na Kikwete ni Mstaafu atakayeendelea kula pensheni hadi Mungu atakaposema basi!

Wasalimie sana Chato Veronica France
 
Basi itungwe sheria ya kunyonga mtu akipatikana akikutwa anafanya ufisadi
Ila bila hivyo upigaji uwizi hautaisha

Ova
Ujenzi wa taifa tukufu ni mtihani mzito sana ndugu yangu. Taifa linasimama katika misingi yake kama nchi yetu tuna tunu zetu za taifa. Lazima tuangalie tulipotoka ili tujue wapi tulipokosea na jinsi kurekebisha. Kujenga uwajibikaji katika utumishi wa umma ni process inayotuhusu wote kuanzia kwenye mitala yetu ya shule, na taasisi zote za mafunzo. Tujitathimini wenyewe bila kubaguana kwa makundi
 
Suzy umetema madini ! Jpm aliondolewa na..........watu wale pande za pwani
Ndo mana kila siku mnaua vikongwe huko kwenu kwa kuwatuhumu wachawi kwa sababu tu wana macho mekundu na hamna ushahidi

Nyie watu washamba sana Kwa kweli! Tangu lini Corona iliwavumilia walioiletea dharau?

Kamuulize Nkurunziza
 
kkwite mungu atamdil ,pwani ya mtwara kauza,bagamoyo kauza.katiba huenda ndo inayotufilisi na kututia umaskini .mtu anauza kila kitu akijua katiba inamlinda anakinga ya kutokuwajibishwa!!
Weka ushahidi kauzaje? Na shs ngapi?
 
Ipo siku Kikwete atafikishwa mahakamani chukua hiyo.
Yupi bora
Mwenye mikataba mibovu ambayo wanyonge hatukujua.AU
Mwenye mikataba na wasiojulikana kuwaumiza na kuwapoteza wanaotetea wanyonge.
Na niyupi ameishi kwa amani
 
Anajiona mjanja Kwa nadharia zake zisizo na kichwa wala miguu!

Wanateseka sana hawa chato gang! Wanafikiri kuendeleza chuki dhidi ya Samia na Kikwete sijui ndo kutamfufua mpuuzi wao?😂😂😂
Wapuuzi marehemu nduguzo marehemu
 
Back
Top Bottom