Kumbe ishu ya Makonda imemlaza Gwajima na viatu

Gwaji boy akiingia umu kusoma ulichoandika lazima j'pili atumie nusu ya muda wake wa mahubiri yake kujipigia debe eti kwa kaz nzur anayofanya kwa jimbo lenu

"Aroo ndugu zangu wana kawe ebu nireteeni gwajima apa mbere" πŸ˜„πŸ˜„
 
Nasikia hana hamu na Mama Samia [emoji1787]. Anasema yote kayaleta Samia. Kweli Makonda ni kiboko ya wabunge janjajanja wote.
Shauri yake, maana watu tulimshauri kabla hata mama hajamteuwa Makonda, lkn yeye akajifanya kuweka masikio pamba.

Sasa kazi yake na ulaghai wake kwa wana Kawe umefika mwisho.
 
Mikono yake ina damu zinamliliaaa
Kama zinavyomlilia yule aliekatisha maisha ya ChaCha Wangwe, kwa sababu ya madaraka ya kisiasa tu, na kusababisha watoto wake leo hii kuishi bila baba yao.

Siasa au uongozi wa vyama vya kisiasa tumeukuta, na tutauacha.
Sasa hakukua sababu ya mtu kukatisha maisha ya mungine na kuwanyima haki ya watoto wake kuishi bila baba yao....

Ebu jaribu kuvaa viatu vya watoto wa hayati ChaCha Wangwe ili uone maumivu yake.
 
Gwaji boy akiingia umu kusoma ulichoandika lazima j'pili atumie nusu ya muda wake wa mahubiri yake kujipigia debe eti kwa kaz nzur anayofanya kwa jimbo lenu

"Aroo ndugu zangu wana kawe ebu nireteeni gwajima apa mbere" πŸ˜„πŸ˜„
Sasa hivi mteremko umekwisha. Kila mtu apambanie mechi yake πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ungepata ushauri wa namna nzuri ya kuweka heading yako. Kiufupi haieleweki. Kama Kuna mtu alimdhalilisha Makonda ni Askofu Gwajima. Nani angejua hata jina alilonalo siyo lake!! Cheza na Gwajima wewe!! Makonda Amelia miguuni pa wachungaji sababu ya Gwajima tena na Magu akiwepo mpaka wakabuni igizo la kihuni kupitia cloud kwenye kipindi chao cha Shilawadu ambalo lilimtia aibu mpaka JPM mwenyewe japo alimkingia kifua ukweli unabaki ilikuwa aibu kubwa sana kwa Rais wa nchi kuhusishwa na ule uhuni.
 
Sawa sawa mkuu, ngoja tuone huko mbele hali itakuaje .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…