Kumbe ishu ya Makonda imemlaza Gwajima na viatu

Daaa Ila kweli gwajiboy alikua kiboko Sana Mpaka alisababisha makonda kulia hadharani alikua noma
 
Exactly Bro...Acha nyasi ziumane yajayo ni kunoga!!
Wote ni waongeaji wazuri. Tofauti mmoja kabobea zaidi kwenye siasa kutokana na kuingia siasani muda mrefu, na mungine kabobea zaidi kwenye imani hivyo ana kundi la wanaomkubali na kumuamini kwa kila atachosema.
 
Wote ni waongeaji wazuri. Tofauti mmoja kabobea zaidi kwenye siasa kutokana na kuingia siasani muda mrefu, na mungine kabobea zaidi kwenye imani hivyo ana kundi la wanaomkubali na kumuamini kwa kila atachosema.
Sawa kabisa uko sahihi. Ila Makonda approach yake mi naiita Rough na ndio Gap lililokuwepo.
 
Wote ni waongeaji wazuri. Tofauti mmoja kabobea zaidi kwenye siasa kutokana na kuingia siasani muda mrefu, na mungine kabobea zaidi kwenye imani hivyo ana kundi la wanaomkubali na kumuamini kwa kila atachosema.
Kumbe Makonda kaingia kwenye siasa muda mrefu!!
 
Unamsema Askofu Chidi yule porn star aliyevunja ndoa ya yule Dada Mwimbaji wa Gospel mjukuu wa Askofu Moses Kulola?
 
Acha kutuchonganisha wana CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…