Naona sasa asubuhi inakaribia.Ukiona kiza kimezidi jua kunakaribia kukucha
Kwa kosa gani? X soldiers ndio wamejaa kwenye makampuni binafai ya ulinzi na hata ya kukodi huko ulimwenguni. Licha ya hapo hapa tanzania tu sio kosa. Na watu wengi wanafanya hivyo. Tunashangaa kwa nini kwa Mbowe tu??Uongo mwingine bwana, hawa jamaa walikamatwa hata kabla kampeni hazijaanza, sasa inakuwa aje unasema kuwa ndio walikuwa wanamlinda lissu, Alafu Uwe ukawa unachukua Ex soldier ukawa unawatumia hata km ni Amerika watakuhis vibaya sana kwanza especially Wale waliofukuzwa jeshini maana itaonekana unatengeneza kikundi cha uasi. Nchi nyingine hata kesi hamna ni inapigwa risas pamoja na ex soldier wako woote
Elimu elimu elimu.Uongo mwingine bwana, hawa jamaa walikamatwa hata kabla kampeni hazijaanza, sasa inakuwa aje unasema kuwa ndio walikuwa wanamlinda lissu, Alafu Uwe ukawa unachukua Ex soldier ukawa unawatumia hata km ni Amerika watakuhis vibaya sana kwanza especially Wale waliofukuzwa jeshini maana itaonekana unatengeneza kikundi cha uasi. Nchi nyingine hata kesi hamna ni inapigwa risas pamoja na ex soldier wako woote
Mamlaka pekee ya kumdhuru Lissu ni moja nayo ni jeshi. Serikali haiwezi, Bunge haliwezi, na mahakama haiwezi. Ndio maana ninyi Maccm mnatumia dola kubaki madarakani. Ndio maana kitu pekee kinachoweza kuiondoa ccm kufumba na kufumbua ni jeshi. Sio Mamlaka zinginezo.Tufikirie tu kidogo nje ya siasa, hivi mamlaka zikikutaka ndani ya ardhi ya Tanzania kweli zinaweza kukushindwa hata kama unalindwa na Commandoz?
Kumbuka hizo mamlaka ndio zinamiliki maelfu ya makomando na silaha zote..
Si kweli eti TL aliamua kukimbia baada ya hao makomando kuacha kumlinda.
Acha uongo Hawa Kumbuka Lissu alikuja mwezi wa nane 2020.je hawa Jamaa walikamatwa lini?Uongo mwingine bwana, hawa jamaa walikamatwa hata kabla kampeni hazijaanza, sasa inakuwa aje unasema kuwa ndio walikuwa wanamlinda lissu, Alafu Uwe ukawa unachukua Ex soldier ukawa unawatumia hata km ni Amerika watakuhis vibaya sana kwanza especially Wale waliofukuzwa jeshini maana itaonekana unatengeneza kikundi cha uasi. Nchi nyingine hata kesi hamna ni inapigwa risas pamoja na ex soldier wako woote
Mbona hakukimbia kabla ya uchaguzi?Aisee kumbe usione vyaelea vimeundwa. Hii inatupa picha gani nyie wataalam
Mgombea wa Chama kikuu cha Upinzani Mh Tundu Lissu alikuwa akilindwa na hawa ma x commandos yaani Khalfani Bwire, Adamu Kusekwa, Mohamed Ligwenya na wenzake.
Baada ya matishio makubwa ya usalama dhidi ya viongozi hawa wa upinzani Kamati kuu ya chama ikiongozwa na Kurugenzi ya intelijensia na Usalama ndani ya chama waliamua kutafuta ulinzi mkali na usio na doa kuhakikisha usalama wa Viongozi wao.
Hayo yamebainika wakati wa mahojiano mahakamani kutoka kwa Msomi Wakili Peter Kibatala Jana ktk kesi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu.
Imeelezwa kuwa baada ya walinzi hawa kukamatwa na kutiwa ndani hali ya usalama wa Tundu Lissu ilikuwa hati hati na ndio sababu ya Tundu Lissu kukimbilia Ulaya tena kuokoa uhai wake.
Wenzangu nyie mnaelewa sasa kinachoendelea huko?
Walikamatwa tarehe May 2020Acha uongo Hawa Kumbuka Lissu alikuja mwezi wa nane 2020.je hawa Jamaa walikamatwa lini?
Kwa hiyo utafutiwe watu siku mbili tuu hata ujawajua vizuri uwape kazi ya kukulinda Kelli. Kwann mnadanganya watu hivi?? Au unaona watu woote wanaakili za kitoto, hawa makomandoo mpaka kufika July, 24 2020 walikuwa hawajaenda kwa Mbowe, lissu alikuja July 17, 2020. Yaan ndio walinzi wanakuaga recruited. Acha kutudanganya
... ni kipi kina-make sense zaidi;Kwa hiyo utafutiwe watu siku mbili tuu hata ujawajua vizuri uwape kazi ya kukulinda Kelli. Kwann mnadanganya watu hivi?? ...
Tufikirie tu kidogo nje ya siasa, hivi mamlaka zikikutaka ndani ya ardhi ya Tanzania kweli zinaweza kukushindwa hata kama unalindwa na Commandoz?
Kumbuka hizo mamlaka ndio zinamiliki maelfu ya makomando na silaha zote..
Si kweli eti TL aliamua kukimbia baada ya hao makomando kuacha kumlinda.
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]Ndio maana namchukia sana Magufuli, huyu jamaa ntamuombea dua mbaya maisha yangu yote, alikuwa na roho mbaya sana uyu mshenzi.
Mitoto inazaliwa kisha inanukishwa ugolo halafu gafla tu linaukwaa uraisi, wananchi wake hawawez kuwa salama katu.
JPM moto wa milele umuangazie na kumchoma rest of his life uko alipo
Tundu Lissu alirejea tarehe 27 July 2020. Hao Makomandoo wamekamatwa mwezi wa nane.Uongo mwingine bwana, hawa jamaa walikamatwa hata kabla kampeni hazijaanza, sasa inakuwa aje unasema kuwa ndio walikuwa wanamlinda lissu, Alafu Uwe ukawa unachukua Ex soldier ukawa unawatumia hata km ni Amerika watakuhis vibaya sana kwanza especially Wale waliofukuzwa jeshini maana itaonekana unatengeneza kikundi cha uasi. Nchi nyingine hata kesi hamna ni inapigwa risas pamoja na ex soldier wako woote
Kuwapa kazi ya ugaidi ndio rahisi, si unawaambia tuu mm bwana nawalipa cash kiasi fulani, mkamuuwe Sabaya, au nalipa cash kias fulani ukakate miti iliyoko pembezoni mwa barabara eneo fulani, simple like that, ila ukabidhi mtu maisha yako, siri zako je km ni imekuja kukupeleleza si utakuwa umekatwa km kuku wa kisasa. Wewe vip aise... ni kipi kina-make sense zaidi;
(1) kuwapa watu kazi ya KUKULINDA, watu ambao umefahamiana nao kwa siku mbili (kama unavyodai wewe) ila ulitafutiwa na uliyeamini kwamba ni rafiki yako mliyefahamiana kwa muda mrefu?
AU (2) kuwapa watu kazi ya kufanya UGAIDI, watu ambao umefahamiana nao kwa siku mbili (kama unavyodai wewe) ila ulitafutiwa na uliyeamini kwamba ni rafiki yako mliyefahamiana kwa muda mrefu?
Kwako kati ya hayo mawili lipi ni sensible zaidi?
Sasa mpaka tarehe 24july walikuwa hawajafika kwa Mbowe na kumbuka walikamatwa kabla hata hawajaanza kazi. Wewe vip bossTundu Lissu alirejea tarehe 27 July 2020. Hao Makomandoo wamekamatwa mwezi wa nane.
Ni sahihi walikuwepo kumpokea Tindu Lissu AirPort tarehe 27 July.
Walikamatwa mwezi August. Lissu alirudi Tanzania tarehe 27 July.Walikamatwa tarehe May 2020
Kwa Mwendazake hii ilikuwa ni usalitiHilo ndio kosa lao kubwa sana .