Kumbe Khalfan Bwire na wenzake ndio walikuwa Walinzi wa Tundu Lissu wakati anaingia Tanzania Julai 28, 2020?

Kumbe Khalfan Bwire na wenzake ndio walikuwa Walinzi wa Tundu Lissu wakati anaingia Tanzania Julai 28, 2020?

Uongo mwingine bwana, hawa jamaa walikamatwa hata kabla kampeni hazijaanza, sasa inakuwa aje unasema kuwa ndio walikuwa wanamlinda lissu, Alafu Uwe ukawa unachukua Ex soldier ukawa unawatumia hata km ni Amerika watakuhis vibaya sana kwanza especially Wale waliofukuzwa jeshini maana itaonekana unatengeneza kikundi cha uasi. Nchi nyingine hata kesi hamna ni inapigwa risas pamoja na ex soldier wako woote
 
Uongo mwingine bwana, hawa jamaa walikamatwa hata kabla kampeni hazijaanza, sasa inakuwa aje unasema kuwa ndio walikuwa wanamlinda lissu, Alafu Uwe ukawa unachukua Ex soldier ukawa unawatumia hata km ni Amerika watakuhis vibaya sana kwanza especially Wale waliofukuzwa jeshini maana itaonekana unatengeneza kikundi cha uasi. Nchi nyingine hata kesi hamna ni inapigwa risas pamoja na ex soldier wako woote
Kwa kosa gani? X soldiers ndio wamejaa kwenye makampuni binafai ya ulinzi na hata ya kukodi huko ulimwenguni. Licha ya hapo hapa tanzania tu sio kosa. Na watu wengi wanafanya hivyo. Tunashangaa kwa nini kwa Mbowe tu??
 
Uongo mwingine bwana, hawa jamaa walikamatwa hata kabla kampeni hazijaanza, sasa inakuwa aje unasema kuwa ndio walikuwa wanamlinda lissu, Alafu Uwe ukawa unachukua Ex soldier ukawa unawatumia hata km ni Amerika watakuhis vibaya sana kwanza especially Wale waliofukuzwa jeshini maana itaonekana unatengeneza kikundi cha uasi. Nchi nyingine hata kesi hamna ni inapigwa risas pamoja na ex soldier wako woote
Elimu elimu elimu.
 
Tufikirie tu kidogo nje ya siasa, hivi mamlaka zikikutaka ndani ya ardhi ya Tanzania kweli zinaweza kukushindwa hata kama unalindwa na Commandoz?

Kumbuka hizo mamlaka ndio zinamiliki maelfu ya makomando na silaha zote..

Si kweli eti TL aliamua kukimbia baada ya hao makomando kuacha kumlinda.
Mamlaka pekee ya kumdhuru Lissu ni moja nayo ni jeshi. Serikali haiwezi, Bunge haliwezi, na mahakama haiwezi. Ndio maana ninyi Maccm mnatumia dola kubaki madarakani. Ndio maana kitu pekee kinachoweza kuiondoa ccm kufumba na kufumbua ni jeshi. Sio Mamlaka zinginezo.
Tumia akili zaidi ya hapo dada Samu
 
Uongo mwingine bwana, hawa jamaa walikamatwa hata kabla kampeni hazijaanza, sasa inakuwa aje unasema kuwa ndio walikuwa wanamlinda lissu, Alafu Uwe ukawa unachukua Ex soldier ukawa unawatumia hata km ni Amerika watakuhis vibaya sana kwanza especially Wale waliofukuzwa jeshini maana itaonekana unatengeneza kikundi cha uasi. Nchi nyingine hata kesi hamna ni inapigwa risas pamoja na ex soldier wako woote
Acha uongo Hawa Kumbuka Lissu alikuja mwezi wa nane 2020.je hawa Jamaa walikamatwa lini?
 
Aisee kumbe usione vyaelea vimeundwa. Hii inatupa picha gani nyie wataalam

Mgombea wa Chama kikuu cha Upinzani Mh Tundu Lissu alikuwa akilindwa na hawa ma x commandos yaani Khalfani Bwire, Adamu Kusekwa, Mohamed Ligwenya na wenzake.

Baada ya matishio makubwa ya usalama dhidi ya viongozi hawa wa upinzani Kamati kuu ya chama ikiongozwa na Kurugenzi ya intelijensia na Usalama ndani ya chama waliamua kutafuta ulinzi mkali na usio na doa kuhakikisha usalama wa Viongozi wao.

Hayo yamebainika wakati wa mahojiano mahakamani kutoka kwa Msomi Wakili Peter Kibatala Jana ktk kesi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu.

Imeelezwa kuwa baada ya walinzi hawa kukamatwa na kutiwa ndani hali ya usalama wa Tundu Lissu ilikuwa hati hati na ndio sababu ya Tundu Lissu kukimbilia Ulaya tena kuokoa uhai wake.

Wenzangu nyie mnaelewa sasa kinachoendelea huko?


Mbona hakukimbia kabla ya uchaguzi?
Baada ya kumaliza uchaguzi hakua na kazi ya kufanya tanzania hivyo akaona aondoke tu.
 
Kwa hiyo utafutiwe watu siku mbili tuu hata ujawajua vizuri uwape kazi ya kukulinda Kelli. Kwann mnadanganya watu hivi?? Au unaona watu woote wanaakili za kitoto, hawa makomandoo mpaka kufika July, 24 2020 walikuwa hawajaenda kwa Mbowe, lissu alikuja July 17, 2020. Yaan ndio walinzi wanakuaga recruited. Acha kutudanganya
 
Ebu tusaidie mkuu, sisi hatujui walinzi wanavyokuwa recruited. Ninyi huwa mnafanyaje? Au Chadema walitakiwa wafanyeje? Sheria inasemaje kwenye kutafuta ulinzi binafsi?
Kwa hiyo utafutiwe watu siku mbili tuu hata ujawajua vizuri uwape kazi ya kukulinda Kelli. Kwann mnadanganya watu hivi?? Au unaona watu woote wanaakili za kitoto, hawa makomandoo mpaka kufika July, 24 2020 walikuwa hawajaenda kwa Mbowe, lissu alikuja July 17, 2020. Yaan ndio walinzi wanakuaga recruited. Acha kutudanganya
 
Kwa hiyo utafutiwe watu siku mbili tuu hata ujawajua vizuri uwape kazi ya kukulinda Kelli. Kwann mnadanganya watu hivi?? ...
... ni kipi kina-make sense zaidi;

(1) kuwapa watu kazi ya KUKULINDA, watu ambao umefahamiana nao kwa siku mbili (kama unavyodai wewe) ila ulitafutiwa na uliyeamini kwamba ni rafiki yako mliyefahamiana kwa muda mrefu?
AU
(2) kuwapa watu kazi ya kufanya UGAIDI, watu ambao umefahamiana nao kwa siku mbili (kama unavyodai wewe) ila ulitafutiwa na uliyeamini kwamba ni rafiki yako mliyefahamiana kwa muda mrefu?

Kwako kati ya hayo mawili lipi ni sensible zaidi?
 
Tufikirie tu kidogo nje ya siasa, hivi mamlaka zikikutaka ndani ya ardhi ya Tanzania kweli zinaweza kukushindwa hata kama unalindwa na Commandoz?

Kumbuka hizo mamlaka ndio zinamiliki maelfu ya makomando na silaha zote..

Si kweli eti TL aliamua kukimbia baada ya hao makomando kuacha kumlinda.

Hapo ndo umefikiria nje ya siasa.!
 
Ndio maana namchukia sana Magufuli, huyu jamaa ntamuombea dua mbaya maisha yangu yote, alikuwa na roho mbaya sana uyu mshenzi.

Mitoto inazaliwa kisha inanukishwa ugolo halafu gafla tu linaukwaa uraisi, wananchi wake hawawez kuwa salama katu.

JPM moto wa milele umuangazie na kumchoma rest of his life uko alipo
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]
 
Uongo mwingine bwana, hawa jamaa walikamatwa hata kabla kampeni hazijaanza, sasa inakuwa aje unasema kuwa ndio walikuwa wanamlinda lissu, Alafu Uwe ukawa unachukua Ex soldier ukawa unawatumia hata km ni Amerika watakuhis vibaya sana kwanza especially Wale waliofukuzwa jeshini maana itaonekana unatengeneza kikundi cha uasi. Nchi nyingine hata kesi hamna ni inapigwa risas pamoja na ex soldier wako woote
Tundu Lissu alirejea tarehe 27 July 2020. Hao Makomandoo wamekamatwa mwezi wa nane.
Ni sahihi walikuwepo kumpokea Tindu Lissu AirPort tarehe 27 July.

Hakuna ubaya wowote kutukua ex soldiers kwa shughuli za ulinzi. In fact wanatumika hivyo sehemu mbalimbali.
 
... ni kipi kina-make sense zaidi;

(1) kuwapa watu kazi ya KUKULINDA, watu ambao umefahamiana nao kwa siku mbili (kama unavyodai wewe) ila ulitafutiwa na uliyeamini kwamba ni rafiki yako mliyefahamiana kwa muda mrefu?
AU
(2) kuwapa watu kazi ya kufanya UGAIDI, watu ambao umefahamiana nao kwa siku mbili (kama unavyodai wewe) ila ulitafutiwa na uliyeamini kwamba ni rafiki yako mliyefahamiana kwa muda mrefu?

Kwako kati ya hayo mawili lipi ni sensible zaidi?
Kuwapa kazi ya ugaidi ndio rahisi, si unawaambia tuu mm bwana nawalipa cash kiasi fulani, mkamuuwe Sabaya, au nalipa cash kias fulani ukakate miti iliyoko pembezoni mwa barabara eneo fulani, simple like that, ila ukabidhi mtu maisha yako, siri zako je km ni imekuja kukupeleleza si utakuwa umekatwa km kuku wa kisasa. Wewe vip aise
 
Tundu Lissu alirejea tarehe 27 July 2020. Hao Makomandoo wamekamatwa mwezi wa nane.
Ni sahihi walikuwepo kumpokea Tindu Lissu AirPort tarehe 27 July.
Sasa mpaka tarehe 24july walikuwa hawajafika kwa Mbowe na kumbuka walikamatwa kabla hata hawajaanza kazi. Wewe vip boss
 
Back
Top Bottom