Kumbe Khalfan Bwire na wenzake ndio walikuwa Walinzi wa Tundu Lissu wakati anaingia Tanzania Julai 28, 2020?

Walitaka kumuua Lissu
 

Mbona hakukimbia kabla ya uchaguzi?
Baada ya kumaliza uchaguzi hakua na kazi ya kufanya tanzania hivyo akaona aondoke tu.
Magufuli alikuwa muuaji na wala hilo halina ubishi sasa kama wangeendelea kukaa hapa na kucheza kamari huenda leo hii wangekuwanae huko wakimzaba vibao kwa kuwaua.

Wewe rais wa nchi mpaka anaunda genge la wauaji hadi anawapachika jina la wasiojulikana unafikiri huyo ni mtu wa kubeza. Alimwambia Ndugai wewe utawashughulikia huko bungeni na mimi nitadili nao huku nje, huyo kweli ni mtu si shetani 😈 kabisa.
 
Unajua kuwa Urio alikutana tarehe kati tarehe 10 mpaka 15 july ndio akamwambia issue ya kumtafutia hao makomandoo,? Unajua mpaka tarehe 24july bado makomandoo walikuwa hawajaenda kuonana na na mbowe, rudi kwenye massage za akina Mbowe na urio utaona, ni lini walitumiwa nauli.
 
Walikamatwa mwezi August. Lissu alirudi Tanzania tarehe 27 July.
Sasa km alirudi tarehe 27 july, mpaka tarehe 24july hawa makomandoo walikuwa bado hawajafika kwa Mbowe, rudi kwenye massage za Mbowe na urio utaona lini Urio aliwatafuta na walipotumiwa nauli,
 
Je kwenye hiyo video ya kumpokea Lisu wanaonekana?
 
Mweleze vizuri amekalia ubishi tu.
 
Sasa mpaka tarehe 24july walikuwa hawajafika kwa Mbowe na kumbuka walikamatwa kabla hata hawajaanza kazi. Wewe vip boss
Kwa mujibu wa mashataka ya mchongo. Lakini ukweli ni huo
 
You are comment is supper.
 
Ingekuwa mtu ukifanya matendo ya hovyo kama jiwe na ukifa adhabu hata wanao na mkeo watapewa sehemu ya adhabu ingesaidia watu kuogopa kutenda matendo ya hovyo maana watatithisha taabu uzao wao.
Lakini sivyo, ona kule Chato wanakula Bata tu kwa kodi zetu!
 
Mkuu mamlaka ya Tanzania ikimtaka yoyote yule.. Inampata hata kama ni balozi wa nje.. Inampata.. Mamlaka ingemtaka Lissu ingempata tuu hata kama angelindwa na UN.
Shida ya Tanzania wakati ule wa awamu ya giza (5) mamlaka ilikuwa ikikutaka kwa njia mbili.. Ambazo ni wito / au hata taarifa unaenda na nyingine ni kufanyiwa arrest...
Lakini awamu hiyo hiyo mamlaka ilikuwa na njia za giza zingine ambazo unapotea tuu.. Au unatandikwa risasi tu bila kujua aliyefanya hivyo ni nani... Sasa ukiweka ulinzi mkali hasa matendo ya gizani yatoweke ndio shida ikawatokea hawa makomandoo
 
Nilijiuliza sana aisee.kuwarudisha mtaani makomando wanne waliofundishwa wakaiva.Naona kama ni hatari kubwa ikiwa wataamua kujiingiza kwenye uharifu.halafu kwenye maelezo inaonekana mwingine aliamua kwenda kuanza kuponda kokoto baada ya kutimuliwa jeshini.
 
Kwa mujibu wa mashataka ya mchongo. Lakini ukweli ni huo
Sawa sasa wewe mbona unasema mambo ya uongo, unajua kabisa tarehe 20july Mbowe alimuuliza umefanikiwa wangapi akajibu wawil, akamwambia hao wawil kwa kuanzia sio mbaya, sasa hizo ni msg na, july 20 alitumiwa nauli 500,000/= , 24july walikutana moro akawafanyia vetting alafu ndio wakaenda kwa Mbowe,
 
Mamlaka inatenda kwa mujibu wa sheria, hapo kwenye kutenda maovu ni watu individual ndani ya mamlaka.
Matendo ya Magufuli sio official kama amemnyonga Ben, ni yeye binafsi kwa kutumia raslimali za umma. Hivyo lazima afanye kwa siri
 
M
Mbona zilishindwa kwa Hamza.
 
hii ni dunia ya mwaka gani? Chukua nafasi kujielimisha mkuu achana na story za season na series
 
Ni kweli serekali ikikutaka haitakukosa. Lkn pia hawatakuondoa kama mbuzi achinjwavyo machinjioni, hata zile pure dictatorship regimes wanawekaga tusababu sababu ku mu excute mtu.
Binafsi mpaka dakika hii naamini awamu ya Magu alishiriki kikamilifu kumhujumu Lisu.
 
Sasa mpaka tarehe 24july walikuwa hawajafika kwa Mbowe na kumbuka walikamatwa kabla hata hawajaanza kazi. Wewe vip boss
Kwa uhakika gani? Mbowe alituma laki tano ya nauli tarehe 20 July. Baada ya hapo wakaenda Moshi kumfuata Mbowe,
Most likely Mbowe akaja nao Dar kumpokea Lissu tarehe 27 July.

Hivi wengine mnasoma case ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…