Kumbe kumwaga chini mbegu ya uzazi, ni kosa kubwa sawa na kuua!

Kumbe kumwaga chini mbegu ya uzazi, ni kosa kubwa sawa na kuua!

Wapiga bao la mkono wanasoma uzi huu huku wakiwa wametoa macho lakini bado hawaelewi kilicho andikwa
🤣🤣🤣🤣 Yaan kama hawaelewielewi ivi
 
Ni kitabu cha Mwanzo 38:6-10 neno linasema hivi, "Yuda akamwoza mke Eric, mzaliwa wake wa kwanza, na jina lake huyo mke ni Tamari. Naye Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mbaya machoni pa Bwana; na Bwana akamwua. Yuda akamwambia Onani, mzaliwa wake wa pili, uingie kwa mke wa nduguyo ukamwoe, ukamwinulie nduguyo uzao."

"Onani alijua ya kwamba huo uzao hautakuwa wake, ikawa, alipoingia kwa mke wa nduguye, akamwagia chini asimpe nduguye uzao. Neno hili alilolifanya likawa baya machoni pa BBwana, basi akamwua yeye naye."

😳Kumwagia nje hizo mbegu kumbe ni chukizo mbele ya Mwenyezi Mungu wajameni?🤦
Kumbe ndo maana wanaume hawafi, WANAUWAWA
 
🤣🤣🤣nimeisubiri comment Yako bala
Uache kusukutulia mdomoni🤣
Zile blow job unazopiga wazungu wakija unachanua chapchap wambwimbilike humo maana sitaki upate dhambi zisizo na msingi🤣
 
Ni mwendo wa

Mimba
Mimba
Mimba

Hakuna kumwaga chini wala pembeni
Mwaga ndani hakikisha unamtia Mimba

Hapo utakua umemfurahisha MUNGU vilivyo

Ushanielewa?
 
Back
Top Bottom