Uchaguzi 2020 Kumbe kuna hatari ya kukosa Trilioni 2 kutoka kwa Wahisani kutokana na Kasoro za Uchaguzi(?)

Habari za vibarazani zinasema kuwa viti Maalum bara vyote CHADEMA na Zanzibar ACT ndivyo wanavyotaka CCM. Mimi nasema waachiwe CCM waongoze nchi wakiwa peke yao tu ya nini wanajisumbua bure!
 
Jiwe= To Everything

Nchi inaingia kwenye Full dictatorship
Na zile nchi zenye tawala za kifalme (mfano Uk, Japan nk) pia ni ziko kwenye full dictatorship au zina utawala wa kidemokrasia???
 
Sawa. Waacheni viongozi wetu msiwatishe au kuwahonga ili wateue wabunge viti maalum.
Si mna hela? Nini kinawahangaisha hadi mnataka kughushi saini za viongozi wetu ili tu muwateue kuhadaa ulimwengu kuwa wapinzani wamewakubali?
Mbowe akionyeshwa hela hawezi kuikataa. Jeuri alikuwa nayo wakati CHADEMA inapata ruzuku kubwa ambayo ndiyo ilikuwa inamuendeshea maisha yeye na familia yake. Sasa hivi ruzuku hamna, zile atakazopata kutokana na mke wake kuwa mbunge viti maalumu hazitoshi!
 
Wahisani au jumuiya ya kimataifa wakitupa hela au wakitusifu but mabeberu wakitukosoa
 
Kwa hiyo hamuandamani tena? Mnatia aibu kwa kuliombea taifa mabaya
Suala la babu yako kushindwa kumpeleka shule vizuri, na baba yako kushindwa kukusimamia katika elimu na maarifa vizuri, sio tatizo letu.
Tunataka CCM waelewe impact ya kuminya demokrasia basi.
Ili next time watumie akili, hasa watu kaa wewe mnaoshabikia kama vile uchaguzi ni mechi ya simba na yanga
 
Hahahaha
Kususia Bunge kuliwanyima kura.

Naona hamjajifunza bado...
 
Watakayemweka kwamba ni mpinzani tukimjua ama zake ama zetu! Labda wahamishie battalion nzima nyumbani kwake na kwa ndugu zake!
Unapata faida gani ukiutoa uhai wa mwenzako tena mwanachama mwenzio! ? Kumbe mnauana wenyewe kwa wenyewe mkimaliza kuuana mtasema ilikua njama za CCM.
 
Kwa kauli ya jiwe " serikali yyangu haiendeshwi kwa pesa za msaada kutoka kwa mabeberu, tutajenga nchi kwa kodi za watanzania"🚢🚢🚢
 
Pesa ya mihogo hy kwa serikali ya Tanzania
 
Acha uzushi njaa bado mnayo na ombuomba misaada ndiyo kwanza imezidi mara Dufu CCM ni ile ile ukoo wa panya
 
Hakuna cha saccos ingekuwa ni saccos msingekuwa kutwa kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi uonevu unyanyasaji uovu mateso manyanyaso yasiyokwisha msingekuwa mnatumia mabilioni kuihujumu kuidhoofisha chadema, maandamano tarehe 2 wewe nyinyi tarehe 1 siku moja kabla ya maandamano mkaenda kuwakamata viongozi wa chadema kwa uoga wenu wa kishamba, nani angehamasisha wakati uoga wa Polisiccm umetamalaki? Uchaguzi upi chadema wameshindwa? au ni uchaguzi wako binafsi hapo gheto kwa cyprian Musiba mnaposhinda mkivuta Bangi? Kama ni uchaguzi wa Tanzania nina uhakika chadema waliahinda kwa kura nyingi lakini NECCCM Tumeccm wakurugenziccm na Polisiccm wakaamua kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi wote kwa njia haramu za kishetani
 
Mkuu, hawa hawashindwi kujiundia upinzani wao!
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜…πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜…πŸ€£πŸ˜… eeeh Tukiona mnatuzingua Wapinzani watakaofungu Kesi za uchaguzi Wa ubunge wrote watashinda Tunapata WapinzaniπŸ˜‚πŸ€£πŸ˜…πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜…πŸ€£πŸ˜… Tena Tunatuma Wa TLP MCCR wakafungue kesi ila Pia Zitto Keshalegezwaa ACT wanakuja bungeni
 
is interesting kuona baadhi yenu mnafurahia na kushangiria uharamia mlioufanya! hivi kweli huu ni ubinadamu? hivi mngefanyiwa upande wenu mambo kama haya ingekuwaje?
Mkae mkijuwa kwamba kuna leo na kesho. Leo mnacheka na kufurahia dhulma na waliodhulumiwa ni mingoni mwetu sisi kwa sisi! Hivi mnapofurahia haya madhila mnajuwa kesho yenu?
 
Mmmmhhh sio kweli
 
CUF Ina wabunge watatu. Hao wanatosha kupewa uenyekiti wa kamati hizo

Hakuna wa kumbembeleza mtu mmeshindwa uchaguzi kazi inaendelea
 
Ule msaada alioomba kwa ajili ya athari za korona ni sadaka za wahisani sio..


Achen kupotosha umma...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…