Hata hizo nchi ulizozitaja zina reserve za kutosha za USD, achilia mbali uwekezaji waliofanya ama serikali zao ama matycoon wao wote upo katika usd.
Leo hata hao suppliers wa china sijui india wanakomaa walipwe kwa dollar. Hawataki kusikia kbs habar za currency za nchi zao.
Ila kinachoshangaza bongo ni exchange rate. Naona mamlaka imeamua kuifix/peg.
Athari zake ni kubwa sana, ikiwamo black markets, wananchi kuitilia shaka financial system na watu ku hold hard cash in usd bila kuziweka kwenye mifumo rasmi.