JPM atabaki katika kumbukumbu njema....
Ila USISAHAU.....
Ameacha miradi ya:
1)SGR
2)Bwawa la kufua umeme(MWALIMU NYERERE HYDRO ELECTRIC POWER PLANT) .
Miradi yote hiyo inahitaji Fedha na utawala wa awamu ya 5 haukulipa FEDHA yote kwa sababu ya kutokamilika kwa miradi......
Mh.Rais SSH anaendelea kulipa Fedha ili miradi hiyo ikamilishwe itakiwavyo.....
#SiempreJMT[emoji120]
Kuna government expenditures ambazo lazima zitumie dollars hilo alikwekepeki.
Kwa hivyo uwezi kulaumu necessary government expenditures za nje kama kununua madawa, kulipa madeni, na necessary tangible assets zingine za serikali ambazo hazizalishwi nchini ili kutekeleza miradi yake. Wengine ni wafanyabiashara pia wakubwa na wadogo ambao wanaagiza inventories kutoka nje au machinery kwa shughuli zao.
Issue ni pale wafanyakazi wa serikali wanaposafiri ovyo kuongeza demand ya dollar, mafisadi na wauza nganda wanapo geuza hela zao kuwa dollars (ndio wawekezaji wa baadhi ya bureau de changes) na ndio maana zilipovamiwa nd kufanyiwa forensic auditing zingine hazikuwa na maelezo ya sources za reserves au investment zao. Uwezi kumuongopea auditor makini akikagua; Magufuli hakuwa mjinga hizo zilikuwa hela za majizi.
Sasa hao mafisadi ndio tatizo kwenye uchumi. Hayo matumizi ya serikalini na wafanyabiashara ayazuiliki ndio maana bank kuu inaweka dollar reserve kwa sababu hizo ku-stabilise uchumi.
Lakini kama kuna hela ambazo upatikani wake sio halali mtu kapiga 800 million ambayo ilitakiwa kuingia kwenye matumizi ya mzunguko wa uchumi wa ndani, halafu yeye kaitia mfukoni, awezi kuiweka bank, halafu anataka kutunza hizo hela kama dollars. It’s obvious demand ya dollars itakuwa kubwa, hii ndio dhana ya artificial economy.
Ufisadi una madhara mengi sana kwenye uchumi hasa kwenye kuchochea inflation za sector ambazo hizo hela zinaenda. Mara nyingi huwa kwenye kununua foreign reserves na ardhi au nyumba in prime areas.
Mother hana shida vile, ila kundi gani analoamua kusikiliza ndio linaonyesha uongozi wake.
Na mimi narudia tena, tatizo letu ni Jakaya Mrisho Kikwete