Kumbe kuna uhaba wa USD ($) Tanzania?

Kumbe kuna uhaba wa USD ($) Tanzania?

Twende wizara ya KILIMO tujadili;

1.,Nchi ilinunua mbolea, Kwa kubadili Tshs kwenda Dollar,

Tafsiri ni kuwa Account ya Dollar hazina ilipungua.

2. Baada ya wakulima kuvuna mazao,
Wafanyabiashara Kutoka nje ya nchi wakaruhusiwa kuingia Hadi mashambani na masoko yetu wakisaidiwa na viongozi waovu kununua mazao Kwa pesa ya kitanzania Tshs Badala ya Dollar.

Tafsiri ni kuwa Account ya Dollar hazina Bado haikuongezeka.

3. Serikali kufanya maamuzi ya kununua chakula baada ya uhaba Kutokea nchini,

Account ya Dollar hazina inapungua Ili kupata Dollar za kuagiza chakula nje ya nchi.

Kwa maamuzi hayo yasiyo ya kizalendo, lazima Nchi iwe na SHORTAGE ya Dollar kwenye mzunguko maana hazina imekauka.

Mbali na hayo, data kuhusu Uchumi wetu ni SIRI kutokana na mambo mengi kufanyika gizani.

Tutafika tumechoka sana, maana mbomoa Nchi ni mwananchi mwenyewe.
 
1. Tunaweza kushindwa kulipa mikopo yetu ambayo mingi ipo katika sarafu ya usd

2. Upande wa biashara hasa kwenye kuagiza bidhaa nje itatuwia ugumu.

3. Mashaka ya uchumi wetu hasa kwa wawekezaji.

4. Masoko ya mchongo, maana haipekiki usd, mamlaka zitashindwa kudhibiti mfumo wa fedha hivyo kukosa kuaminiwa.

5. Mfumuko wa bei na riba kuongezeka. Riba kuingezeka ili kuwavutia wawezeji kuweka fedha zao huku, lakini kwa wakopaji ikawa kilio.
Hivi ukisikia mikopo inalipwa unadhani wanapeleka CASH????

Tsh inakuwa converted to USD mkuu, sio kwamba wanabeba kwenye sandarusi mkuu.

Bidhaa pia unaagiza online with the option ya exchange rate.

Unaposikia Dangote ana utajiri wa USD 8 Billions unadhani kwenye akaunti zake zipo hizo DOLA? Zipo NAIRA zaidi sema wanaziconvert to USD

Elimika acha kukariri na vitu vya Advanced School.
 
Mbona mimi ninazo kama zote?
Hawa wajinga huwa wanaongea vitu ambavyo wao wenyewe hawajawai kuvishika
Kachinjie baharini hiyo mijitu fake [emoji2959]
 
Unataka ukanunue Gold ya milion 10?
Gold nzi wengi na kama hauna exposure na madini utapigwa
Dollar ni rahisi kubadili
Nakubaliana nawe Gold Ina kizungumkuti,tatizo Dola imetumika kama fimbo ndo mana wahuni wenzie wameamua kuidondosha taratibu.
Screenshot_20230314-142310_100653.jpg
 
Kama Nchi, tutakapopata Rais na mifumo IMARA itakayoweza kudhibiti RUSHWA Kwa 70%, tutafanikiwa kuondoa Umaskini wa watu wetu Kwa zaidi ya 85%.

WATU wapo 100%, UONGOZI BORA ni 5%, Siasa safi ni 5% UJINGA ni 90%, sasa Nchi itapiga vipi hatua?
 
Kuna vitu havisemwi kuhusu uhaba wa fedha za kigeni, Jiulize utalii umekata mwezi wa tatu, ghafla tu mwezi wa 4 pesa za kigeni zimekuwa haba, unazani zimeenda wapi?

Wapigaji wa pesa za ndani wana hifadhi pesa zao kwa USD, wale wapigaji wa nje ya chi wao wanaingiziwa moja kwa moja kwenye account zao huko kwenye visiwa vya Carribean na Mashariki ya kati, siku hizi hawahidhi tena Ulaya hasa Uswizi.

Na kam tunavyo jua kwa sasa remote iko msoga tungoje uhaba zaidi make watu wajaipigia kama vile watu wanavyo jipigiaga mwanamke kahaba.

Pesa zinazo takatishwa ni hizi za 10% kutoka miradi ya ndani ambayo inaendeshwa kwa fedha za ndani hizo ndio watu wanakomaa kuzibadilisha ziwe $ make watu wamejifunza enzi za jiwe sasa hawataki kufanya makosa tena na njia yabkuhifadhi Pesa nyumbani kwa $ ndio njia salama na inayo tumiwa na watu wengi hasa Africa.
 
Hivi Headmaster wa Shule ya kata aliyepewa milioni ishirini kukamilisha darasa lenye madawati,umeme,Dari la gypsum, sakafu ya tiles,umeme na madirsha ya aluminum anaweza vipi kubakisha chenji na kuitakatisha kwenye Dola Kisha akakificha visiwa vya Caribbeans?
 
Hivi ukisikia mikopo inalipwa unadhani wanapeleka CASH????

Tsh inakuwa converted to USD mkuu, sio kwamba wanabeba kwenye sandarusi mkuu.

Bidhaa pia unaagiza online with the option ya exchange rate.

Unaposikia Dangote ana utajiri wa USD 8 Billions unadhani kwenye akaunti zake zipo hizo DOLA? Zipo NAIRA zaidi sema wanaziconvert to USD

Elimika acha kukariri na vitu vya Advanced School.
Mifumo ya kulipa inafanywa kupitia overseas Nostro accounts kupitia mabenki ya US kama Citibank , Bank of America etc hii inamaanisha lazima tuwe na credit account balances ktk hayo mabenki.
Kuna kampuni kubwa inaitwa Travelex ina deal na kkt import na export ya forex hard cash ambazo zikifika huko zinacredit account zetu za USD ktk overseas Banks kwa ajili ya kufanya malipo ktk USD.
 
Itakuwa tunatumia sehemu kubwa ya mapato yetu ya kigeni kilipa riba za madeni makubwa aloyokopa.

Alafu mwisho wa siku kutakuwa na masoko mawili ya dola, halali ambalo dila hazipatikani na haramu ambalo zitapatikana kwa bei ya juu zaidi.

She is going to crush our economy 😱
 
Itakuwa tunatumia sehemu kubwa ya mapato yetu ya kigeni kilipa riba za madeni makubwa aloyokopa.

Alafu mwisho wa siku kutakuwa na masoko mawili ya dola, halali ambalo dila hazipatikani na haramu ambalo zitapatikana kwa bei ya juu zaidi.

She is going to crush our economy [emoji33]
.
Screenshot_20230430-113713.jpg
 
Huko Twitter Carol Ndosi aliuliza "Kuna Uhaba wa Dola"? Majibu yalikuja ata kwa kwa watumishi wengine wa bank wakisema ndiyo!

Sasa hizi mbwembwe za World Bank Uchumi wenu huko imara unatokana na nini kama Reserve yetu ya USD iko chini?

Wachumi tuambiane! Mbona exchange ya USD bado iko palepale ikiwa kuna uhaba wa dola kiasi hiki?
View attachment 2607741
View attachment 2607742
Waziri wa fedha mwenyewe Mwigulu,ngoja tu tutafika kule walipo Kenya sasa ata kulipa mishahara mbinde!
 
Back
Top Bottom