Kumbe kuna uhaba wa USD ($) Tanzania?

Kumbe kuna uhaba wa USD ($) Tanzania?

Kuna watu nilikuwa nawaambia hapa yanayoendelea Kenya kiuchumi yanakuja mpaka hapa ,hii credit crunch ni real ,na sio utani , na ukumbuke madeni yetu mengi inabidi yalipwe kwa USD ,sasa ndio mkianza kuambiwa mshahara hamna mtajua jinsi serious hii kitu ipo
 
Kuna watu nilikuwa nawaambia hapa yanayoendelea Kenya kiuchumi yanakuja mpaka hapa ,hii credit crunch ni real ,na sio utani , na ukumbuke madeni yetu mengi inabidi yalipwe kwa USD ,sasa ndio mkianza kuambiwa mshahara hamna mtajua jinsi serious hii kitu ipo
Kwamba tusimcheke Mamba..........

Hata tukisema tugeukie pesa nyingine mfano Yuan, bado tutahitaji fanya biashara na China ili tupate Yuan.

Kwa ufupi miradi mikubwa mingi inatakiwa isimame kwanza au .......
 
Huko Twitter Carol Ndosi aliuliza "Kuna Uhaba wa Dola"? Majibu yalikuja ata kwa kwa watumishi wengine wa bank wakisema ndiyo!

Sasa hizi mbwembwe za World Bank Uchumi wenu huko imara unatokana na nini kama Reserve yetu ya USD iko chini?

Wachumi tuambiane! Mbona exchange ya USD bado iko palepale ikiwa kuna uhaba wa dola kiasi hiki?
View attachment 2607741
View attachment 2607742
Mbona muda mrefu
 
Mmhh ok!! Hii hali imetoka na nini hasa? Maana nimeona leo pia Treasure wa Marekani akiinyo Serikali kiwa wasipokuwa makini hawatukiwa na CashView attachment 2607755
Si benki kuu ya Marekani federal reserve wamepandisha interest rate ? , hivyo uhaba wa cash ni lazima ,na wanazidi kuipandisha ili kupambana na mfumuko wa bei
 
Back
Top Bottom