butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,640
- 7,943
Tusubiri mradi wa BBT uzae matunda Ili tuongeze export.[emoji1787][emoji1787]Tumefungua nchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusubiri mradi wa BBT uzae matunda Ili tuongeze export.[emoji1787][emoji1787]Tumefungua nchi.
Au wazee wa sandalusi enzi za EPA wameshafanya yao!Nachotaka kujua hii hali imesababishwa na nini?
Mama anafungua nchi!Tulisema
Machawa wakabisha
labda foces of demand and supply wachumi mwageni nondo humu wadau tuelewe/au uzalishaji bidhaa umepungua?Nachotaka kujua hii hali imesababishwa na nini?
Ni vizuri kivuta kitu ya Arusha iliyokaushwa,mbichi ina madhara sana.Ata tukihoji kwanini bei za vyakula zipo juu na tunalima wenyewe,majibu ni kuwa na huko Duniani hali ni hiyohiyo!Jamani tuwe tunasoma soma kidogo! Tatizo la uhaba wa USD currency sio la Tanzania peke yake, hili ni tatizo la dunia yote. Please soma link hizi hapa chini kwa taarifa zaidi
![]()
US government risks running out of cash as soon as June 1, Janet Yellen warns
Biden invites Kevin McCarthy to White House next week as worries grow about debt ceiling crisiswww.ft.com
![]()
Foreign exchange: several African countries have a shortage of US dollars – why this happens and how to fix it
Slow growth of exports and tourism and a resurgence of global inflation have created dollar shortages in some African economies.theconversation.com
![]()
US dollar scarcity threatens Bolivia's 'economic miracle'
LA PAZ, Bolivia (AP) — Sofia Andrade, a lawyer, chose over the past month to withdraw all her dollar savings from the bank as the US currency became scarce on the streets of Bolivia.apnews.com
Acha uwongo wewe[emoji2959]
Mimi siyo mchumi, nimesoma uchumi kwenye magazeti, tuko imara
Ujue pesa ya kigeni hupatikana kwa exportsImport bill kuongezeka kutokana na Sababu mbalimbali ikiwemo mfumuko wa vitu huko ughaibuni..
Ndio maana Ili kujinasua Nchi nyingi saiizi zimeanza kuikacha dollar
Dunia nzima inaitegemea china kama kiwanda.Nchi masikini za Afrika zinajenga uchumi wa china na kumnufaisha china bila kujua , unaagiza bidhaa nyingi kuliko unachouza nje ,mwisho wa siku wewe ni looser Maana hutakiwa na pesa za kigeñi na thamani yako ya pesa itashuka
Swala ni rahisi sana tuwekeze kwenye kilimo bora ili tuuze mazao nje.Huna option labda Serikali izuie msululu wa bidhaa za kutoka China kiasi ikifanya hivyo na wao wanajibu Kwa kuweka vikwazo vya uhafifu wa bidhaa zenu..
Njia pekee ni kuzalisha import substites na kuongeza investments zako tuu.
Hili swala litasumbua sana na wataofaidika ni kina Azam, MO maana wao wanauza nje sana hivyo wanapata dollar.Kila siku tunanunua mavitu kwa pesa za nje miradi yote tunalipa kwa Dollars
Meanwhile hakuna tunachofanya kupata hizo dollars hatuuzi vitu nje
Walitegemea izo pesa hazina hazitaisha?
Miezi zaidi ya 5 dollar haipo banks wanasema hawawezi kukupa peke ako dollar 8000 waache wengine
Kama una kihela chako hauna mpango nacho usiweke fixed acc kanunue dollar sindika ndani mpaka mama atoke unaenda unachange
Bidhaa nyingi zitaongezeka bei maana dollar itafikia 2500 very soonHii ni kitambo sasa, kuna limitations ku transfer USD. Dollars ni bidhaa hadhimu!
Bidhaa zitapanda beiEeeh tuambie impact ya Dola nini ikiwa haipo kwa wingi kwa nchi yetu.
BOT imeipeg kwa 2330 wakati wauzaji wako 2401Hata hizo nchi ulizozitaja zina reserve za kutosha za USD, achilia mbali uwekezaji waliofanya ama serikali zao ama matycoon wao wote upo katika usd.
Leo hata hao suppliers wa china sijui india wanakomaa walipwe kwa dollar. Hawataki kusikia kbs habar za currency za nchi zao.
Ila kinachoshangaza bongo ni exchange rate. Naona mamlaka imeamua kuifix/peg.
Athari zake ni kubwa sana, ikiwamo black markets, wananchi kuitilia shaka financial system na watu ku hold hard cash in usd bila kuziweka kwenye mifumo rasmi.
Leo kununua Dola imefika 2, 405 Haijawahi kufikia bei hiyo hata siku mojaHuko Twitter Carol Ndosi aliuliza "Kuna Uhaba wa Dola"? Majibu yalikuja ata kwa kwa watumishi wengine wa bank wakisema ndiyo!
Sasa hizi mbwembwe za World Bank Uchumi wenu huko imara unatokana na nini kama Reserve yetu ya USD iko chini?
Wachumi tuambiane! Mbona exchange ya USD bado iko palepale ikiwa kuna uhaba wa dola kiasi hiki?
View attachment 2607741
View attachment 2607742
Hizo tozo hazifiki bilioni 300 kwa mwakaKupitia tozo za miamala tungechangia vizuri tu miradi yote ikakamilika kwa wakati. Ingekuwa inaumiza ila kwa maendeleo ya kasi watu wangelalamika ila at last wangeelewa.
Wenzako wanapandisha thamani ya pesa yap kuzuia mfumuko wa beiDollar inakwenda kupoteza thamani yake kama reserve currency ya Dunia. Kibano cha sasa kimewabana wamarekani kuchapisha Dollar na kuzimwaga hovyo Duniani, imewapasa kuzungusha ile iliyoko kwenye mzunguko na kuongeza interest rate.
Dollar inakwenda kuadimika na kupoteza thamani, hata ukiipata na kuificha haitakuwa na thamani ile yuliyoizoea.
BOT amkeni.... Anzeni kuhifadhi dhahabu ya kutosha, siku zijazo kutakuwa na dhoruba kali kwenye soko la fedha.
Mfano nilisoma sehemu Standard Chartered Bank ndo hutumika kwenye 60% ya pesa za kigeni.Mifumo ya kulipa inafanywa kupitia overseas Nostro accounts kupitia mabenki ya US kama Citibank , Bank of America etc hii inamaanisha lazima tuwe na credit account balances ktk hayo mabenki.
Kuna kampuni kubwa inaitwa Travelex ina deal na kkt import na export ya forex hard cash ambazo zikifika huko zinacredit account zetu za USD ktk overseas Banks kwa ajili ya kufanya malipo ktk USD.
Uelewa wako kwenye mambo kama haya Upo chini sana… poleNi vizuri kivuta kitu ya Arusha iliyokaushwa,mbichi ina madhara sana.Ata tukihoji kwanini bei za vyakula zipo juu na tunalima wenyewe,majibu ni kuwa na huko Duniani hali ni hiyohiyo!
Ndio hivyo ila Hilo sio swala la overnight so hakiwezi kuleta suluhu ya upungufu wa dollar in short term maana it needs time,pesa za investments na Wataalamu wa irrigation na mambo ya processing na masoko..Swala ni rahisi sana tuwekeze kwenye kilimo bora ili tuuze mazao nje.
Hao wachina waje wajenge viwanda na kuuza nje na sio kuwa wauza maduka