Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Mrudishie huyo mtoto wakeNdiyo mama yako alinilazimisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrudishie huyo mtoto wakeNdiyo mama yako alinilazimisha
Actually kwa umri huo kuoa sio dhambi .Hivi nyie wana mliokaa kwenye ndoa zaidi ya miaka kumi mmefanyeje aisee? Yaani sio poa wakuu yaani niko hoi bin taabani ndiyo kwanza ndoa yangu ina wiki mbili tu aisee najihisi kuchoka na kukata tamaa wakuu
Majukumu yamenizidi,nakosa uhuru wa kuamua mambo yangu eti lazima mshirikishane wote kwenye nyumba k.......m......m......k yaani hapa nipo hoi bin taabani fanyeni wana wajamii forum mninusuru mambo sio poa niko chupli chupli mambo yamekwama wakuuu
Ndiyo kwanza nina miaka 27 yaani naona mambo yamenielemea majukumu yanakuwa mengi sana na wakuu naombeni msaada wenu naenda kujichoma moto wakuu
Hivi nyie wana mliokaa kwenye ndoa zaidi ya miaka kumi mmefanyeje aisee? Yaani sio poa wakuu yaani niko hoi bin taabani ndiyo kwanza ndoa yangu ina wiki mbili tu aisee najihisi kuchoka na kukata tamaa wakuu
Majukumu yamenizidi,nakosa uhuru wa kuamua mambo yangu eti lazima mshirikishane wote kwenye nyumba k.......m......m......k yaani hapa nipo hoi bin taabani fanyeni wana wajamii forum mninusuru mambo sio poa niko chupli chupli mambo yamekwama wakuuu
Ndiyo kwanza nina miaka 27 yaani naona mambo yamenielemea majukumu yanakuwa mengi sana na wakuu naombeni msaada wenu naenda kujichoma moto wakuu
Anza kwa kuwauliza wazazi wako, walifanyaje wao?Hivi nyie wana mliokaa kwenye ndoa zaidi ya miaka kumi mmefanyeje aisee? Yaani sio poa wakuu yaani niko hoi bin taabani ndiyo kwanza ndoa yangu ina wiki mbili tu aisee najihisi kuchoka na kukata tamaa wakuu
Majukumu yamenizidi,nakosa uhuru wa kuamua mambo yangu eti lazima mshirikishane wote kwenye nyumba k.......m......m......k yaani hapa nipo hoi bin taabani fanyeni wana wajamii forum mninusuru mambo sio poa niko chupli chupli mambo yamekwama wakuuu
Ndiyo kwanza nina miaka 27 yaani naona mambo yamenielemea majukumu yanakuwa mengi sana na wakuu naombeni msaada wenu naenda kujichoma moto wakuu
Utaniachia simu na chaji na namba ya mkeo boss afu uka jichome jalalani ili watu wajue n takataka znaunguaHivi nyie wana mliokaa kwenye ndoa zaidi ya miaka kumi mmefanyeje aisee? Yaani sio poa wakuu yaani niko hoi bin taabani ndiyo kwanza ndoa yangu ina wiki mbili tu aisee najihisi kuchoka na kukata tamaa wakuu
Majukumu yamenizidi,nakosa uhuru wa kuamua mambo yangu eti lazima mshirikishane wote kwenye nyumba k.......m......m......k yaani hapa nipo hoi bin taabani fanyeni wana wajamii forum mninusuru mambo sio poa niko chupli chupli mambo yamekwama wakuuu
Ndiyo kwanza nina miaka 27 yaani naona mambo yamenielemea majukumu yanakuwa mengi sana na wakuu naombeni msaada wenu naenda kujichoma moto wakuu
Bado ajasemaMpaka asemee
SSH😂😂😂nalooo hili mkalitazameNa hili nalo mkalitazame.
Katibu mkuu, msikilize kijana na mkayafanyie kazi malalamiko yake.
Shida huna hela.Hivi nyie wana mliokaa kwenye ndoa zaidi ya miaka kumi mmefanyeje aisee? Yaani sio poa wakuu yaani niko hoi bin taabani ndiyo kwanza ndoa yangu ina wiki mbili tu aisee najihisi kuchoka na kukata tamaa wakuu
Majukumu yamenizidi,nakosa uhuru wa kuamua mambo yangu eti lazima mshirikishane wote kwenye nyumba k.......m......m......k yaani hapa nipo hoi bin taabani fanyeni wana wajamii forum mninusuru mambo sio poa niko chupli chupli mambo yamekwama wakuuu
Ndiyo kwanza nina miaka 27 yaani naona mambo yamenielemea majukumu yanakuwa mengi sana na wakuu naombeni msaada wenu naenda kujichoma moto wakuu
Kijana akishakuwa na Sabufa na Kitanda anajiona ka winMadhara ya kuoa kwa sababu kichupa kimejaa ndiyo kama haya.
Ndoa ina week mbili kijana analia lia,hizo wiki mbili unazolalamika mimi nilikuwa bado fungate wewe unaonekana hukujipanga ulioa ili kumaliza haja zako za mwili sasa zimekuisha akili imerudi ndiyo unaona makosa yako