Jazia Millz
Member
- Oct 5, 2023
- 43
- 117
Mnastahili tuzo ya Nobel 😀😀😀Wenzio tuna miaka 12 na tunadunda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnastahili tuzo ya Nobel 😀😀😀Wenzio tuna miaka 12 na tunadunda
sasa kijana,Hivi nyie wana mliokaa kwenye ndoa zaidi ya miaka kumi mmefanyeje aisee? Yaani sio poa wakuu yaani niko hoi bin taabani ndiyo kwanza ndoa yangu ina wiki mbili tu aisee najihisi kuchoka na kukata tamaa wakuu...
Ulitumwa na nani!?,umewahi kuishi mwezi mmoja au miwili mfululizo na uliyemuoa kabla hamjaoana!?, Au mlikuwa mnaviziana mpewe baraka za kijinga na jamii!?...
Toa ushauri[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
Itamsaidia kweli?Pole
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mambo ya kamnywesooo nnAnza kunywa pombe mambo yatajisort yenyewe
Na utasemaBado hujasema
Apambane na hali yake naamini alioa bila shurti. Yakimshinda kabisa arudishe mtoto wa watu kwao akaolewe na alie tayari kuoa.Toa ushauri
Ameongeaa ukweli ulio wazi kbsaaa...Kuna kipindi kwenye ndoa mnaishi Kama washikaji tuu...😂😂😂 umenikosha sana na kiukwel wewe umeongea ukwel ambao % ndio mambo yunafanya tulio wengi..hapo kwenye kukopa hapo umenichekesha sana mkuu....
Kwa Habari ya Maamuzi, jitahidi kushiriki Sha, ila sio kila kitu.. Maana huu ndio muda nasoma a kwa karibu, jaribu moja baada ya lingine ili kuona maturity ya mwenzako, ukimshirikisha yote alafu ukete ni immature utakomaaaaHivi nyie wana mliokaa kwenye ndoa zaidi ya miaka kumi mmefanyeje aisee? Yaani sio poa wakuu yaani niko hoi bin taabani ndiyo kwanza ndoa yangu ina wiki mbili tu aisee najihisi kuchoka na kukata tamaa wakuu
Majukumu yamenizidi, nakosa uhuru wa kuamua mambo yangu eti lazima mshirikishane wote kwenye nyumba yaani hapa nipo hoi bin taabani fanyeni wana wajamii forum mninusuru mambo sio poa niko chupli chupli mambo yamekwama wakuuu
Ndiyo kwanza nina miaka 27 yaani naona mambo yamenielemea majukumu yanakuwa mengi sana na wakuu naombeni msaada wenu
Cheti c anatoa uvccmUlitumwa na nani!?,umewahi kuishi mwezi mmoja au miwili mfululizo na uliyemuoa kabla hamjaoana!?, Au mlikuwa mnaviziana mpewe baraka za kijinga na jamii!?, Tatizo la ndoa linaanzia pale mnapopanga kuoana kwa kuiridhisha jamii na mbwembwe nyingi. Ila ukiishi na mtu bila masharti na mikakati mingi ya ndoa au msukumo kutoka kwa ndugu jamaa na marafiki mnaishi vizuri tu tena kwa muda usiojulikana.
Ila mkianza mipango ya ndoa ikawa mingi ndo tatizo linapoanzia. Miaka 27 ulikuwa unawahi nini!?.., kama unaishi kijijini ni sawa hata ukiwa na miaka 23 tu. Ila kama ni msomi na upo town 27 unajitafutia matatizo. Muda sio mrefu utaanza kulaumu wazazi, ndugu na jamaa, baadae serikali mwisho kabisa utaanza kuilaumu CCM, nawaona humu kila lawama ni kwa CCM[emoji1787]
Mkuu vumilia ndoa ni kuvumiliana pole pole utaona kawaida.Sema ulikuwa umezoea kukipa uhuru sasa hivi ukichelewa kufika home zaidi ya saa mbili usiku inabidi upige simu kujisalikisha kwamba uko sehemu gani na unafanya nini sababu nyingii za kufikirika.Ulilazimishwa kuoa?
Hivi nyie wana mliokaa kwenye ndoa zaidi ya miaka kumi mmefanyeje aisee? Yaani sio poa wakuu yaani niko hoi bin taabani ndiyo kwanza ndoa yangu ina wiki mbili tu aisee najihisi kuchoka na kukata tamaa wakuu
Majukumu yamenizidi, nakosa uhuru wa kuamua mambo yangu eti lazima mshirikishane wote kwenye nyumba yaani hapa nipo hoi bin taabani fanyeni wana wajamii forum mninusuru mambo sio poa niko chupli chupli mambo yamekwama wakuuu
Ndiyo kwanza nina miaka 27 yaani naona mambo yamenielemea majukumu yanakuwa mengi sana na wakuu naombeni msaada wenu