The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Mpaka aseme.Bado hujasema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka aseme.Bado hujasema
Au avumilie alelewe na vijana wa mjiniApambane na hali yake naamini alioa bila shurti. Yakimshinda kabisa arudishe mtoto wa watu kwao akaolewe na alie tayari kuoa.
Kiukwel kuna time katika ndoa sometimes hutakiw kuwa serious sanaa..just treat ur patner like mchiz wako..uta enjoy..Ameongeaa ukweli ulio wazi kbsaaa...Kuna kipindi kwenye ndoa mnaishi Kama washikaji tuu...
Ukitaka kuoa hakikisha utoto na ujana umemaliza. Uwe tayari kuwa kichwa cha familia.Hivi nyie wana mliokaa kwenye ndoa zaidi ya miaka kumi mmefanyeje aisee? Yaani sio poa wakuu yaani niko hoi bin taabani ndiyo kwanza ndoa yangu ina wiki mbili tu aisee najihisi kuchoka na kukata tamaa wakuu
Majukumu yamenizidi, nakosa uhuru wa kuamua mambo yangu eti lazima mshirikishane wote kwenye nyumba yaani hapa nipo hoi bin taabani fanyeni wana wajamii forum mninusuru mambo sio poa niko chupli chupli mambo yamekwama wakuuu
Ndiyo kwanza nina miaka 27 yaani naona mambo yamenielemea majukumu yanakuwa mengi sana na wakuu naombeni msaada wenu
Na wanaume huwa hatusemi, wavulana tu kitu kidogo wanaona pa kupata relief ni mitandaoniNdoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu.
Wenzio walijipima wakaona haziwatoshi wakafanya maamuzi sahihi. Ona sasa ulijitutumua unaumbuka.
Bear umeoa??Ndoa tamu.
View attachment 2781138
Atapoteza ubingwa mapema sana. Atoke huko ndoani awaachie wanaoweza hizo mambo.Au avumilie alelewe na vijana wa mjini
Akaze sasaAtapoteza ubingwa mapema sana. Atoke huko ndoani awaachie wanaoweza hizo mambo.
Acha fix wewe..nimeoa nikiwa 25 years niko mjini tena msomi halaf nilikua bado najitafuta..nina mwaka wa 10 huu kwenye ndoa
MhhhhBear umeoa ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Mhhhh
Kwakweli wanaolalamika hivii unakuta hamjui mwenza wake vizuriYani mtu mnakutaa geto mnakaa masaa kadhaa kila mtu anakula chake na hapo mahusiano hayana hata miaka miwili afu mnatangza ndoa![]()
Hii kitu ndo inawatesa wengi em juaneni kwanza pangeni mambo yenu vizuri jua hasira ya mwenzio ipo wapi ndo hayo humjui mtu vizuri afu unafunga nae ndoa kumbe mwenzio akiwa na hasira analia![]()
jamani em juaneni vizuri ili hizi mambo zisiwepo ishi na mwenza wako hata miez 6 tuu umjue![]()
Mimi niliishi na wa kwangu mwaka mmoja ndio tukafunga ndoa lakini vituko vilianza baada ya miaka 2 ya ndoa. Ni kuomba kupata mwenza sahihi la sivyo hakuna rangi utaacha kuiona.Kwakweli wanaolalamika hivii unakuta hamjui mwenza wake vizuri[emoji23] Yani mtu mnakutaa geto mnakaa masaa kadhaa kila mtu anakula chake na hapo mahusiano hayana hata miaka miwili afu mnatangza ndoa[emoji23][emoji174] Hii kitu ndo inawatesa wengi em juaneni kwanza pangeni mambo yenu vizuri jua hasira ya mwenzio ipo wapi ndo hayo humjui mtu vizuri afu unafunga nae ndoa kumbe mwenzio akiwa na hasira analia[emoji1787][emoji1787] jamani em juaneni vizuri ili hizi mambo zisiwepo ishi na mwenza wako hata miez 6 tuu umjue vizuri
Hujaona wamesema ndoa kwa wenye Akili, kwahiyo tusio na ndoa hatuna akili😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Haya basi tufanye yameisha.
[emoji81][emoji81]Mie najua akili unazo bhana uoe sasa.Hujaona wamesema ndoa kwa wenye Akili, kwahiyo tusio na ndoa hatuna akili[emoji23]
😁 Kuniponza eeh.[emoji81][emoji81]Mie najua akili unazo bhana uoe sasa.
Umewaza kama mimi ujue ndoa ni kama utapeli flan ivi ukiingia tuu imooo😅😅😅Alijua atakuwa anaichapa kila siku,aahhaaaa
BoyaKmmk