kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,058
- 3,613
nadhani jamaa alioa kwa sababu ya maneno ya watu au mazingira
mfano kwa sasa nipo GEITA ,ila nmekuta utaratibutofaut kidgo,yaan huku kijana akifikisha miaka 24+ na hajaoa anaonekana wa ajabu
wengine wanafikia hatua ya kukutania "hakaamki"
ila kudadek singo maza ni weng
kinoma ,
ukimuuliza anakwambia "nliona nitafute mwanaume wa kuzaa naye maana walikuw wananisema sana"
mfano kwa sasa nipo GEITA ,ila nmekuta utaratibutofaut kidgo,yaan huku kijana akifikisha miaka 24+ na hajaoa anaonekana wa ajabu
wengine wanafikia hatua ya kukutania "hakaamki"
ila kudadek singo maza ni weng
kinoma ,
ukimuuliza anakwambia "nliona nitafute mwanaume wa kuzaa naye maana walikuw wananisema sana"